Nimepata msiba wa mwanangu wa pili, ana miaka 2

Nimewaza pia
 
Poleni Sana na MWENYEZI MUNGU AWATIE NGUVU KATIKA KIPINDI IKI KIGUMU
 
Pole sana ni kazi ya Mungu
Kwa hiyo Mungu kamuua mtoto wa ndugu yetu Magical power ?

Kwa nini mnapenda kumfanya Mungu aonekane mkatili sana wakuu?

Kweli Mungu awanyang'anye Magical power na mke wake mtoto wa miaka 2 waliyempenda?

Kwa hiyo wazazi wanavyolia kwa uchungu Mungu anafurahi au naye anahuzunika?

Kama Mungu ndiye kamchukua mtoto kwa nini tena tunamuomba muuaji huyohuyo awafariji na kuwatia nguvu wafiwa?

Does it make sense?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…