Nimepata msiba wa mwanangu wa pili, ana miaka 2

Jamaa post zake nyingi kama unamfuatilia nyingi ni za kutunga,sio mkweli,ana post nyingi humu za kutunga. Ata hii naamini sio kweli.
 
Makuzi ya Watu wengi yanawafanya waweze kuandika chochote na popote bila kujali anaathiri kiasi gani Watanzania wengi hawajakulia maisha ya kuambiwa Utotoni hiki usifanye na majibu ya humu ndio kioo cha makuzi yao..
Mtu anatupa taarifa ana msiba wa Mtoto wake anamkebehi asieee watu pana mtoto wa Kike alifiwa na Baba yake aliendesha gari ikiwa na maiti ya Baba yake toka KCMC Hospital mpaka Mbeya huyu Mzala anaona kutoa taarifa ni tatizo mbona tukifiwa tunapiga simu na kutuma meseji...
 
Nadhan age hii ya social media imechangia pakubwa watu kukosa ujasiri.
Zamani ilikuwa unafiwa, halafu unalazimika kuandika barua kadhaa za taarifa ya msiba huo na kuzituma kwa ndugu na jamaa mikoani kwa kutumia vyombbo vya usafiri
Na ilivyo kuwa ni kwamba unampatia mtu yeyote barua, akifika kijiji husika ye anatupa tu barua hapo kijijini, atakayeiokota ndio anamtafuta mlengwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…