Nimepata offer ya ku volunteer huko Brazil kupitia kanisa letu

Nimepata offer ya ku volunteer huko Brazil kupitia kanisa letu

Nimepata offer ya ku volunteer huko Brazil kupitia kanisa letu.

Swali langu ni kwamba Kuna fursa huko? Maana sijawahi sikia watu wakiiongelea hii nchi, je kwa mtu alomalizia form six bila kwenda chuo, Kuna uwezekano wa kutoboa huko?

Wadau karibuni...
Siri moja wapo ya mafanikio yako
Ni kutotangaza mambo yako ya heri.

Hizo taarifa kuhusu mahali unapoenda ungezipata hata mitandaoni
 
Siri moja wapo ya mafanikio yako
Ni kutotangaza mambo yako ya heri.

Hizo taarifa kuhusu mahali unapoenda ungezipata hata mitandaoni
Siamini katika Hilo, Mimi naamini kwa Mungu tu, na nyie ndo Huwa wachoyobwa michongo mkifika majuu. Huwa natangaza siku zote na Huwa nafanikiwa baadhi ya mambo.
Nimetafuta sijapata ndo maana nikauliza, kama nimekukera si lazima ku comment😂
 
Siamini katika Hilo, Mimi naamini kwa Mungu tu, na nyie ndo Huwa wachoyobwa michongo mkifika majuu. Huwa natangaza siku zote na Huwa nafanikiwa baadhi ya mambo.
Nimetafuta sijapata ndo maana nikauliza, kama nimekukera si lazima ku comment😂
Hujanikera na nina uhuru wa ku comment kwa sababu ni haki yangu ku comment
 
Nimepata offer ya ku volunteer huko Brazil kupitia kanisa letu.

Swali langu ni kwamba Kuna fursa huko? Maana sijawahi sikia watu wakiiongelea hii nchi, je kwa mtu alomalizia form six bila kwenda chuo, Kuna uwezekano wa kutoboa huko?

Wadau karibuni...
Nenda katafute toto zuri ya yenye asili ya kireno uje nayo huku bongo, kule kuna warembo sana
 
Nimepata offer ya ku volunteer huko Brazil kupitia kanisa letu.

Swali langu ni kwamba Kuna fursa huko? Maana sijawahi sikia watu wakiiongelea hii nchi, je kwa mtu alomalizia form six bila kwenda chuo, Kuna uwezekano wa kutoboa huko?

Wadau karibuni...
Ah huko mwanawane ukisafirisha kilo 2 za madawa ulishatoboa kimaisha
 
Nimepata offer ya ku volunteer huko Brazil kupitia kanisa letu.

Swali langu ni kwamba Kuna fursa huko? Maana sijawahi sikia watu wakiiongelea hii nchi, je kwa mtu alomalizia form six bila kwenda chuo, Kuna uwezekano wa kutoboa huko?

Wadau karibuni...
Kauze ngada mkuu kwa mgongo wa kanisa miaka 2 tu inakutosha ushatoboa
 
Back
Top Bottom