Nimepata offer ya ku volunteer huko Brazil kupitia kanisa letu

Nimepata offer ya ku volunteer huko Brazil kupitia kanisa letu

Siamini katika Hilo, Mimi naamini kwa Mungu tu, na nyie ndo Huwa wachoyobwa michongo mkifika majuu. Huwa natangaza siku zote na Huwa nafanikiwa baadhi ya mambo.
Nimetafuta sijapata ndo maana nikauliza, kama nimekukera si lazima ku comment😂
Siri nyingine ya mafanikio ni kutopanik hovyo. Wewe umeshafeli
 
Fursa utaipata ndani ya kanisa kutokana na waumini utakaokutana nao.
 
Tabia ya ulevi , kupenda starehe za madisco na uzinzi ndio kitanzi cha Waafrika wengi wanapokwenda nchi za dunia ya kwanza
 
Wewe ndo mshamba na mlimbukeni, kwahyo unachotaka kusema nitarogwa au? Kila Mtu ana Imani yake, si lazima Mimi kukubaliana na wewe na Wala sio lazima wewe kukubaliana na Mimi, wewe Baki na Imani Yako ya kukaa kimya ukiogopa kusema kwamba watakuchawia ila Mimi Huwa nasema na mambo yangu yanaenda.
Urogwe na nani we Pimbi tu?
Unaenda kufanya kazi za kujitolea tena za kanisa. Dah 🤣🤣🤣
 
Urogwe na nani we Pimbi tu?
Unaenda kufanya kazi za kujitolea tena za kanisa. Dah 🤣🤣🤣
Sasa si ndo nikushangae wewe unaniambia ninyamaze wakati Mimi pimbi tu ninaeenda kufanya kazi ya kujitolea tena ya kanisa😂😂 Kuna haja gani ya kukaa kimya.... Wewe mkurugenzi ndo ukae kimya kwenye mambo ya kampuni Yako sawa???😂😂
 
Siamini katika Hilo, Mimi naamini kwa Mungu tu, na nyie ndo Huwa wachoyobwa michongo mkifika majuu. Huwa natangaza siku zote na Huwa nafanikiwa baadhi ya mambo.
Nimetafuta sijapata ndo maana nikauliza, kama nimekukera si lazima ku comment😂
Sasa kama unaamini kwa Mungu, unakuja huku kuuliza nini? Si uende tu utakuta huko huko? Na kwa vile ni volunteering ukiona hapajakaa sawa unajirudia zako.
 
Nimepata offer ya ku volunteer huko Brazil kupitia kanisa letu.

Swali langu ni kwamba Kuna fursa huko? Maana sijawahi sikia watu wakiiongelea hii nchi, je kwa mtu alomalizia form six bila kwenda chuo, Kuna uwezekano wa kutoboa huko?

Wadau karibuni...
Huko mademu wa moto sana
 
K
Sasa kama unaamini kwa Mungu, unakuja huku kuuliza nini? Si uende tu utakuta huko huko? Na kwa vile ni volunteering ukiona hapajakaa sawa unajirudia zako.
Kwani nimekuuliza wewe? Mbona wenye uelewa washajibu? Si lazima ku comment
 
Jitu linafanya mambo ya Kanisa halafu linakuwa na hofu ya kurogwa! Pimbi kabisa
Mimi jitu wewe nani? Alafu umesoma mjadala ulipoanzia au unadakia tu? Soma kwanza ndo urudi hapa🤣🤣 unaelewa kwanza hata kinachoongelewa
 
Kule mpka utulie itakuchukua muda kwamaana kwanza lugha wanayotumia pil huta pata fursa kwasababu huna captal zaid ya bible ulioshka mkononi kama kufanikiwa ki imani kule 100% utatoka umejazwa roho mtakatifu ila ki pesa mzee utangoja sana.. ukiwa mjanja pga mimba sinyora moja ya maana kikubwa utulize kichwa tu mana warembo n weng kulko wanaume kwaio chagua mke au dem anae toka familia yenye nafuu kimaisha Mengne Bwana atatenda
 
Unaniletea motivation speakers🤣 hao wanakupigia hesabu ya kilimo unajionabushakuwa tajiri hata hujaingia shamba
Kweli wewe ni form six bado upo na akili za shule siyo za maisha. Ubishi mwingi. Learn to listen.
Hujapata hoja ya msingi kwenye hiyo video au ushauri wa wadau. Unawaza watu wanaogopa uchawi.

Ngoja nikupe mfano wa usiri toka kwenye biblia.
Unakijua kisa cha Yusufu (Joseph) na nduguze?

Joseph alijikuta utumwani sababu ya kutokuwa msiri. Alipata maono au kuoteshwa ndoto ya maisha yake yajayo na Mungu kwamba yeye atakuwa tegemeo la familia yao. Wote watampigia magoti kaka zake na wazazi wake.
Akaanza kuwaambia kwa furaha familia yao kila alipopata maono hayo.
Kilichotokea nduguze wakapata wivu, wakapanga kumuangamiza wakamtumbukiza kisima kikavu cha zamani, kisha mmoja akapata huruma akashauri wamtoe wamuuze utumwani ....

Do you know what is the moral of the story?
I will tell you one of them, and that is Keep silence kwenye baadhi ya mambo hasa yale ya kukuletea mafanikio. At least for a while. Nazungumzia yale mambo ya kutoboa maisha. Lengo hasa Avoid envy (epuka wivu au husuda) dhidi ya ndugu jamaa na marafiki, Wana JF inclusive.
Kuna wengine wakisikia wanaweza kufanya fitina ukwame, au kukupa ushauri wa kukukatisha tamaa usifanye hivyo au usiende huko Brazil, n.k.
Wengine watalaani mpango wako kwa maneno tu. Wanasema maneno huumba.
Hili somo muinjilisti maarufu Hayati Myles Munroe amefundisha sana. Ni mojawapo ya kanuni za mafanikio.
Nikupe mifano miwili ya hapa Tanzania.

1 . Mzozo wa Marehemu Ruge na Sugu kuhusu mradi wa malaria, Sugu katika stori kaongea na Ruge plan zake Ruge kaichukua kaipeleka Mawingu, Sugu kabaki kulalamika watu wakapiga pesa .
2. Kuna mtu sitamtaja alikuwa na wazo la internet ya Wi fi Zanzibar yote kila sehemu. Akaenda kwa mdau mmoja wenye mamlaka akawasilisha bila kuwasainisha NDA (Mkataba wa usiri) bila kusajiri hati miliki n.k. Watu wakaichukua plan yake wakaipigia pesa anastuka mradi unaanza hayumo. Hata hivyo mradi haujafanikiwa kihivyo sababu nini? That is another story.
 
Kweli wewe ni form six bado upo na akili za shule siyo za maisha. Ubishi mwingi. Learn to listen.
Hujapata hoja ya msingi kwenye hiyo video au ushauri wa wadau. Unawaza watu wanaogopa uchawi.

Ngoja nikupe mfano wa usiri toka kwenye biblia.
Unakijua kisa cha Yusufu (Joseph) na nduguze?
Joseph alijikuta utumwani sababu ya kutokuwa msiri. Alipata maono au kuoteshwa ndoto na Mungu kwamba yeye atakuwa tegemeo la familia yao. Wote watampigia magoti kaka zake na wazazi wake.
Akaanza kuwaambia familia yao kila alipata maoni hayo. Kilichotokea nduguze wakapata wivu, wakapanga kumuangamiza wakamtumbukiza kisima kikavu cha zamani, kisha mmoja akapata huruma akashauri wamtoe wamuuze utumwani ....

Do you know what is the moral of the story?
I will tell you one of them, and that is Keep silence kwenye baadhi ya mambo hasa yale ya kukuletea mafanikio. At least for a while. Nazungumzia yale mambo ya kutoboa maisha. Lengo hasa Avoid envy (epuka wivu au husuda) dhidi ya ndugu jamaa na marafiki, Wana JF inclusive.
Kuna wengine wakisikia wanaweza kufanya fitina ukwame, au kukupa ushauri wa kukukatisha tamaa usifanye hivyo au usiende huko Brazil, n.k.
Wengine watalaani mpango wako kwa maneno tu. Wanasema maneno huumba.
Hili somo muinjilisti maarufu Hayati Myles Munroe amefundisha sana. Ni mojawapo ya kanuni za mafanikio.
Nikupe mifano miwili ya hapa Tanzania.

1 . Mzozo wa Marehemu Ruge na Sugu kuhusu mradi wa malaria, Sugu katika stori kaongea na Ruge plan zake Ruge kaichukua kaipeleka Mawingu, Sugu kabaki kulalamika watu wakapiga pesa .
2. Kuna mtu sitamtaja alikuwa na wazo la internet ya Wi fi Zanzibar yote kila sehemu. Akaenda kwa mdau mmoja wenye mamlaka akawasilisha bila kuwasainisha NDA (Mkataba wa usiri) bila kusajiri hati miliki n.k. Watu wakaichukua plan yake wakaipigia pesa anastuka mradi unaanza hayumo. Hata hivyo mradi haujafanikiwa kihivyo sababu nini? That is another story.
Bora wewe umefafanua ila kwa vile umeanza na dharau basi ushauri wako ni BURE, kingine hujawahi sikia watu wanafundisha kuwa muwazi na kushirikisha watu kabla ya kufanya maamuzi??? 😂 Mimi ndo maana haya mambo sipendagi kusikiliza Yani ni kama afya tu, au hizo nazo ni akili zangu za shule?
 
Kule mpka utulie itakuchukua muda kwamaana kwanza lugha wanayotumia pil huta pata fursa kwasababu huna captal zaid ya bible ulioshka mkononi kama kufanikiwa ki imani kule 100% utatoka umejazwa roho mtakatifu ila ki pesa mzee utangoja sana.. ukiwa mjanja pga mimba sinyora moja ya maana kikubwa utulize kichwa tu mana warembo n weng kulko wanaume kwaio chagua mke au dem anae toka familia yenye nafuu kimaisha Mengne Bwana atatenda
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hii njia Yako hii sio poa
 
Back
Top Bottom