Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Sawa.Bora wewe umefafanua ila kwa vile umeanza na dharau basi ushauri wako ni BURE, kingine hujawahi sikia watu wanafundisha kuwa muwazi na kushirikisha watu kabla ya kufanya maamuzi??? 😂 Mimi ndo maana haya mambo sipendagi kusikiliza Yani ni kama afya tu, au hizo nazo ni akili zangu za shule?
Chaguo ni lako lakini najua nimefikisha ujumbe. Utapata kitu tu with time.
Nimetimiza wajibu. Huo ni wajibu wangu kusaidia nikiona naweza.