Siri moja wapo ya mafanikio yakoNimepata offer ya ku volunteer huko Brazil kupitia kanisa letu.
Swali langu ni kwamba Kuna fursa huko? Maana sijawahi sikia watu wakiiongelea hii nchi, je kwa mtu alomalizia form six bila kwenda chuo, Kuna uwezekano wa kutoboa huko?
Wadau karibuni...
Kuna ma manzi wakali huko, tubadilishane basiNimepata offer ya ku volunteer huko Brazil kupitia kanisa letu.
Swali langu ni kwamba Kuna fursa huko? Maana sijawahi sikia watu wakiiongelea hii nchi, je kwa mtu alomalizia form six bila kwenda chuo, Kuna uwezekano wa kutoboa huko?
Wadau karibuni...
Siamini katika Hilo, Mimi naamini kwa Mungu tu, na nyie ndo Huwa wachoyobwa michongo mkifika majuu. Huwa natangaza siku zote na Huwa nafanikiwa baadhi ya mambo.Siri moja wapo ya mafanikio yako
Ni kutotangaza mambo yako ya heri.
Hizo taarifa kuhusu mahali unapoenda ungezipata hata mitandaoni
Vp wewe upo huko Brazil?Ingia maeneo ya Vila Mimosa, Rio de Janeiro au Rua Augusta SΓ£o Paulo utanishukuru
Mabaharia enzi hizo walikuwa hawachomoki wakienda wanarudi mikono mitupu
Hujanikera na nina uhuru wa ku comment kwa sababu ni haki yangu ku commentSiamini katika Hilo, Mimi naamini kwa Mungu tu, na nyie ndo Huwa wachoyobwa michongo mkifika majuu. Huwa natangaza siku zote na Huwa nafanikiwa baadhi ya mambo.
Nimetafuta sijapata ndo maana nikauliza, kama nimekukera si lazima ku commentπ
Haya endelea ku commentHujanikera na nina uhuru wa ku comment kwa sababu ni haki yangu ku comment
Miaka ya nyumaVp wewe upo huko Brazil?
Nenda katafute toto zuri ya yenye asili ya kireno uje nayo huku bongo, kule kuna warembo sanaNimepata offer ya ku volunteer huko Brazil kupitia kanisa letu.
Swali langu ni kwamba Kuna fursa huko? Maana sijawahi sikia watu wakiiongelea hii nchi, je kwa mtu alomalizia form six bila kwenda chuo, Kuna uwezekano wa kutoboa huko?
Wadau karibuni...
Panaeleweka Yani fursaMiaka ya nyuma
πππNenda katafute toto zuri ya yenye asili ya kireno uje nayo huku bongo, kule kuna warembo sana
Ah huko mwanawane ukisafirisha kilo 2 za madawa ulishatoboa kimaishaNimepata offer ya ku volunteer huko Brazil kupitia kanisa letu.
Swali langu ni kwamba Kuna fursa huko? Maana sijawahi sikia watu wakiiongelea hii nchi, je kwa mtu alomalizia form six bila kwenda chuo, Kuna uwezekano wa kutoboa huko?
Wadau karibuni...
Tatizo atawalisha nini, kama yeye anaenda kama volunteer tu? au ndio ile unakula kwa macho?Watoto wa kilatino nywele mpaka mgongoni, senhoritas kama wote
Dark chocolate thick curvy na kajungu fulani hivi kakichokozi
KwaniniInasikitisha sana
Kauze ngada mkuu kwa mgongo wa kanisa miaka 2 tu inakutosha ushatoboaNimepata offer ya ku volunteer huko Brazil kupitia kanisa letu.
Swali langu ni kwamba Kuna fursa huko? Maana sijawahi sikia watu wakiiongelea hii nchi, je kwa mtu alomalizia form six bila kwenda chuo, Kuna uwezekano wa kutoboa huko?
Wadau karibuni...