Sawa.Bora wewe umefafanua ila kwa vile umeanza na dharau basi ushauri wako ni BURE, kingine hujawahi sikia watu wanafundisha kuwa muwazi na kushirikisha watu kabla ya kufanya maamuzi??? 😂 Mimi ndo maana haya mambo sipendagi kusikiliza Yani ni kama afya tu, au hizo nazo ni akili zangu za shule?
SawaSawa.
Chaguo ni lako lakini najua nimefikisha ujumbe. Utapata kitu tu with time.
Nimetimiza wajibu. Huo ni wajibu wangu kusaidia nikiona naweza.
Soma post #57My kuu,mbona hapo hamn baya lolote lile??
Hivi baya gani litampata kwa kuomba tu ushauri?
Kwamba walikuambia maelekezo ya offer yako wameyaweka humu?Ni brazilians
Mkuu unaonekana unahasira za kitoto, Brazil utapigwa Shaba.Siamini katika Hilo, Mimi naamini kwa Mungu tu, na nyie ndo Huwa wachoyobwa michongo mkifika majuu. Huwa natangaza siku zote na Huwa nafanikiwa baadhi ya mambo.
Nimetafuta sijapata ndo maana nikauliza, kama nimekukera si lazima ku comment😂
Acha wivu na ushirikinaWewe unaonekana ni mshamba halafu ni limbukeni, unashauriwa vitu vya kweli unaleta ujuaji.
Una mawazo ya kizaramo sana.Watoto wa kilatino nywele mpaka mgongoni, senhoritas kama wote
Dark chocolate thick curvy na kajungu fulani hivi kakichokozi
Una mawazo ya kizaramo sana.