Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Yoyote yale ya kunifariji sio ya kuniumiza
Huwezi kupata vyote. Kama ulikuwa unakwenda club ulitegemea nini? Jipange uanze kozi upya maana hizo supp sidhani kama inaweza kuwa umekwepa disco.
 
Kama upo SUA hapo umeliwa kichwa tayari,fanya mpango wa kuhama chuo,hamia chuo cha Kampala International University,wale wanakupokea kiulainiiiii.......
 
Technically ushadisco tafuta issue nyingine yakukuingizia kipato walau uanze kulipa mkopo uliotumia mpaka sasa.
 
Chuo gani mkuu
 
Kwanza nakupongeza mana inaonekana una high self esteem, chamsingi komaa hizo semister zilizobaki japo hujasema upo mwaka wa ngapi na semister gani
 
Ww angalia kama kuna pesa za boom zimebaki kidogo ukajiajiri mapema ili ulio waacha chuo wakimaliza na ww uwe umeshapiga hatua mbele
Live hapo hana namna . hana budi kutafuta Alternative nyingine maana maisha sio kusoma tu bali kuna ishu nyingi za kufanya
 
Pole Sana mkuu, hapo fanya mpango mwak huu uombe mkopo napia ufanye application tcu, usiendelee semester nyngne hutoweza kufaulu tafuta ishu ya kufany miezi hii, UPO CHUO GAN HIKO WASHATOA MATOKEO SAS HIVI???
 
Kwa mambo kama haya Nimebahatika kupata mke
Utakuwa umesha disco , ndo faida hiyo ya kushinda kwenye mitandao ya kijamii badala ya kufanya kilichokupeleka chuoni
 
hilo mkuu siwezi kukwambia kwa sababu za kiusalama zaidi
We jamaa utakua unasoma SUA au ARDHI maana hv vyuo kupata sup 5,8 ni kawaida sana..... Acha kuchat Now hapa jf wafate washkaj walio vzur ktk hayo masomo uliyofel then waombe wakusaidie na utapangua kama tu upo siriaz... Huez kudisco kama ndio mwaka wa kwanza na upo semister ya kwanza
 
mh! We ni poyoyo. Rudi tu kitaa kuzurura. Sup 5 kat ya 8 ni sawa na kutokuwepo chuon semester nzima. Ulikuwa unauza sura? Pole sana njoo tu tuuze maneno.
 
MUHAS nako vp?
 
Afadhali Tunahitaji marejesho ya mkopo wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…