Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
-
- #401
Ok shukrani mkuuKila kitu kinawezekana na ukafaulu vizuri bila wasiwasi.
Nina rafiki yangu alipata sapu 5 kama wewe na akazitoboa zote kwa wakati mmoja.
Chakufanya nikuanza mapema maandalizi usingoje zima moto. Wenzako wakiondoka kwenda likizo wewe baki kusoma na kama kuna wenzako wako jirani na unajua wataweza kukusaidia katika baadhi ya hizo sapu omba wawe wanakufundisha pale utapoitaj msaada wao.
Kama utaitaji uzoefu zaidi utanitumia namba yako pm nikuunganishe na huyo rafiki yangu aliyekuwa amepata sapu 5 na akazifaulu zote akupe 'his experience'
Sasa na wewe kwanini maswali mengine hukujazaYap ni kweli
Bado mtihani mmoja tu wa project ambao tunaufanya kesho kutwa
Ila kwenye final papers nyingi nimefanya vibaya ,maswali mengi sikujaza hivyo baasi hakuna muujiza wa kufaulu
Na chuoni kwetu mpaka ufaulu unatakiwa uwe una 40 %
Sikusoma vizuri mkuuSasa na wewe kwanini maswali mengine hukujaza
Sasa kwanini usisome vizuri jamani?Sikusoma vizuri mkuu
Mtihani wa project?!?[emoji15]
Hainiingii akilini mtihani bado unaendelea kufanya wakati huo huo mitihani uliyofanya tayar majibu yametoka. Huu ni ugundu.Huyu MTU anavyoongea Sijui hata kama hata jengo la chuo analijua lilivyo.......kama sikosei in kilaza aliefeli form four sasa anajidanganya kwa mfano angekuwa chuo..........we matokeo hata UE bado.....au anasoma nchi gani?
Rejea post namba100Huyu MTU anavyoongea Sijui hata kama hata jengo la chuo analijua lilivyo.......kama sikosei in kilaza aliefeli form four sasa anajidanganya kwa mfano angekuwa chuo..........we matokeo hata UE bado.....au anasoma nchi gani?
Usijitoe ufahamuHainiingii akilini mtihani bado unaendelea kufanya wakati huo huo mitihani uliyofanya tayar majibu yametoka. Huu ni ugundu.
sasa na wewe hizo SUP 5 ilikuwajekuwaje hadi ukazijaza hivyo
Kunywa supu ya mkojo wa inzi.Yoyote yale ya kunifariji sio ya kuniumiza
Hahaaaaaaa....!!! Au inaonekana unasoma course ambayo huiwezi...!!??Sasa na wewe kwanini maswali mengine hukujaza