Nimepata ujauzito sijui ni wa nani

Hebu andika vizuri kwa mpangilio..sijakuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una umri na elimu gani, labda tuanzie hapo!
Ndipo nianze kukupa ushauri au ni PM
 
Ooooy wana eeeh mwenye amepoteza mimba aje aichukue maana imeokotwa apa ninavyosikia
 

Toa hiyo mimba bado hujachelewa.Halafu uwe makini kwenye mahusiano.
 
mzigua na Inna mambo yen hayo.
 
Huu Uzi ni wa 2016 nadhani kwa sasa una mtoto hongera sana
 
Kwan mimba anayo nani? C nimeskia umesema una mimba and then hujui mwenye nayo wakat unayo wewe una akili timamu
 
Kila mmoja mwambie ni mimba yake, utakapojifungua atakaefanana nae ndo baba ake, mtoto akifanana na wewe hiyo sasa itakua kupatwa kwa mimba....
Evelyn, Evelyn ulianza mapenzi una umri gani, maana nimecheka mpaka basi
 
hehehe inaelekea umekaa kubarazwa barazwa tu weye...
nshakutamania hata sijakuona..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…