Nimepata ujauzito sijui ni wa nani

Haahah!,hapo lazima mwanaume mmoja wapo apasuke kwenye kuhudumia...ila nyie wanawake mungu anawaona...
 
Kwa kweli wanaume kazi tunayo, tunalea watoto wa wanaume wenzetu,
Yaani nimepanga kuanzia mwaka kesho naanza opereshen tia mimba yaan anaejichanganya nnae halafu nawageuzia kibao wote kua sio mimba yangu, nakusanya ela tu za kutosha kuwalainisha,
Na mpaka sasa nshaseti watatu nasubiri tuu mwanangu mchanga akuekue,
Nna hasira sana na ile takwimu ya mkemia mkuu wa serikali
 
Mbambike huyo aliyekuwa mume wa mtu maana mnapendana sana. Ukimpa habari hizi atakenua gego mpaka gego na kutangaza ndoa haraka sana, ila machale yakimcheza na akitaka kufanya DNA inaweza kula kwako kama majibu husika yakionyesha YOU'RE NOT THE FATHER OF THIS BEAUTIFIL CHILD.

 
Umecheat umepata mimba mara unawapenda wote, mahusiano yamekuwaje siku hizi?? Huyo mpenz wako wa arusha amekukosea nn hadi astahili uliyomfanyia. Ndo mana sishangai kiukwel watu wakiua kwa ajil ya mapenzi kiukweli sishangai
 
anunue selfie stick tu
 
Umecheat umepata mimba mara unawapenda wote, mahusiano yamekuwaje siku hizi?? Huyo mpenz wako wa arusha amekukosea nn hadi astahili uliyomfanyia. Ndo mana sishangai kiukwel watu wakiua kwa ajil ya mapenzi kiukweli sishangai
waarusha hampendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…