Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Itakusaidia nini? Nenda Marekani. Kuna wamarekani wengi wamerudishwa toka Kanada hata wahindi tena waliokwenda kule kwa kisingizio cha kusoma bila makaratasi yaliyo sahihi. Unaweza kujidanganya. Mfumo wao ni foolproof watakunasa tu.Nioneshe Mtanzania unayemjua aliyerudishwa Canada.
Watu hawaielewi Canada. Picha linaanza pale una hela mfukoni but you can't buy anything. Hela yako inakua kama ile cement ilikua ikitumika kujenga barabara ya mwendo kasi, iba utakavyo lakini hauwezi kufanyia kitu au kokoto za reli ya tazara utaiba ujengee lakini hazishiki cementItakusaidia nini? Nenda Marekani. Kuna wamarekani wengi wamerudishwa toka Kanada hata wahindi tena waliokwenda kule kwa kisingizio cha kusoma bila makaratasi yaliyo sahihi. Unaweza kujidanganya. Mfumo wao ni foolproof watakunasa tu.
Umefanya vizuri kusema kabla; hautaenda tena Canada, utaishia Airport. Bora tu hata usifike kabisa hata Airport ku-save muda wakoWakuu naombeni kujua jimbo sahihi kuanzia maisha, ntashukia Toronto Pearson International Airport, simjui yeyote na hii ni visa ya matembezi tu kwenye documents niliwaambia ntakaa wiki 1 ila nimeapa abadani afe kipa afe beki sirudi bongo labda waniue.
Mkisha nijulisha jimbo, mnijulishe na jinsi ya kupata makazi maana sina Social Insurance Number (SIN) na nasikia bila hiyo huwezi fanya chochote cha maana ila potelea mbali nyie nijuzeni mbinu zote mnazodhani zitanisaidia.
Pia kama unafahamu recruitment agency ambayo inaweza nipatia kazi bila kuwa na documents, usisite kunijuza, siamini kama huko hakuna dhambi hivyo njia za panya zitakuwepo tu.
Karibuni wadau mnaoishi huko.
NB: HATA MKINITISHA KUWA MAISHA NI MAGUMU NAKUJA, MBONA NYIE HAMRUDI?
Siwezi kuishia airport kwasababu nina strong reason ya kuingia, na nimelipia kila kitu, issue ni kuwa nikisha maliza hiyo event ndiyo nazamia.Umefanya vizuri kusema kabla; hautaenda tena Canada, utaishia Airport. Bora tu hata usifike kabisa hata Airport ku-save muda wako
Asylum si ya kuomba hifadhi? Mimi namaanisha upitie njia ya kusoma, Yaani ukishapata mwenyeji wewe unatafuta kikoz kitakacho kusaidia kupata kazi halaliHii njia inaitwa asylum sujapanga kutumia njia ya kipuuzi hii, mimi nataka kuishi kibabe
Sirudi tena mkuu hakuna wa kunirudishaPambana mkuu ukirudi Bongo utachekwa sana
Kusoma nimechoka, sitaki tena kusoma.Asylum si ya kuomba hifadhi? Mimi namaanisha upitie njia ya kusoma, Yaani ukishapata mwenyeji wewe unatafuta kikoz kitakacho kusaidia kupata kazi halali
Hiyo misemo ya waafrica imewapa umasikini wa kutupwa.Fainali uzeeni; una miaka mingapi?
Baki hapa nyumbani kumenoga, pori unaweza kupata kwa elfu 50 lakini huko unakoenda unaenda kupanga na kupoteza muda kwa sababu umri haurudi nyuma.Hiyo misemo ya waafrica imewapa umasikini wa kutupwa.
Kule wazee wanalelewa kwenye vituo maalumu, mikate, maziwa, asali nkBaki hapa nyumbani kumenoga, pori unaweza kupata kwa elfu 50 lakini huko unakoenda unaenda kupanga na kupoteza muda kwa sababu umri haurudi nyuma.
Kile kipindi cha covid kilitupa picha halisi, watu weusi namna wanavyobaguliwa huko njeKule wazee wanalelewa kwenye vituo maalumu, mikate, maziwa, asali nk
Haya jipe moyo wakimnasa na kumrejesha mtaanza kulaumiana
Yani una ujasiri wa kwenda ng'ambo kuwa chokoraa.
Ila huna ujasiri wa kurudi kijijini kwenu ukalime!
Useless..
Maskini wazungu ndo walitumalizia vijana kumbe akikubali kuwa ni shoga au msagaji anapokelewa kwa mikono miwili? Ukute vijana wetu wakifika huko wanalazimika kutumia hii njia maskini.
Mleta mada hope utasoma hapa mimi sina experience ya huko nina marafiki tu ila walinambia ukifika huko jaribu kusoma hata short course hii itakufungulia njia hawa wapuuzi wasije kuharibia maisha.
All the best.
Hujui
Wewe huijui Kanada. Watakurudisha vinginevyo useme wewe ni msenge au msagaji. System yao hsipenyekils
Kabla ya kuondoka ,tengeneza mazingira na documents za kuonyesha wewe ni shoga😀😀wapange ata jamaa zako wajifanye wamekufumania unataka kuliwa mzigo Kisha kareport police wamekuvamia kisa ushoga ,zitunze documents zote Kisha,tafuta organization yoyote inayosupport ushoga jiandikishe na uwe na documents za uanachama,Kisha sepa Canada ukifika tu tafuta LGBTQ organization jiandikishe na wape stori yako ya kukimbia Tanzania kwa sababu ya kutishiwa maisha kwa sababu wewe shoga,Kisha tafuta lawyer akupe msaada WA kuomba hifadhi Canada ya kuishi kwa sababu hauwezi kurudi Tanzania,kwa sababu ya kuhatarisha maisha yako,hii mbinu ukiitumia unapata permit ya kuishi na kufanya kazi,hii mbinu watu WA Uganda wengi wataitumiaWakuu naombeni kujua jimbo sahihi kuanzia maisha, ntashukia Toronto Pearson International Airport, simjui yeyote na hii ni visa ya matembezi tu kwenye documents niliwaambia ntakaa wiki 1 ila nimeapa abadani afe kipa afe beki sirudi bongo labda waniue.
Mkisha nijulisha jimbo, mnijulishe na jinsi ya kupata makazi maana sina Social Insurance Number (SIN) na nasikia bila hiyo huwezi fanya chochote cha maana ila potelea mbali nyie nijuzeni mbinu zote mnazodhani zitanisaidia.
Pia kama unafahamu recruitment agency ambayo inaweza nipatia kazi bila kuwa na documents, usisite kunijuza, siamini kama huko hakuna dhambi hivyo njia za panya zitakuwepo tu.
Karibuni wadau mnaoishi huko.
NB: HATA MKINITISHA KUWA MAISHA NI MAGUMU NAKUJA, MBONA NYIE HAMRUDI?
Jipe moyo tu. Huu ndiyo ujinga wa baadhi ya watu. Unataka utiwe moyo hata kwenye jambo ambalo haliwezekani! Mie huwa sipendi kudanganya au kujidanganyaYou have no idea what you're talking about. Piga kimya
We wenzetu hawana hayo mambo ya kubahatisha! Maoni ya wengi huku Yana mantiki mtoa mada zingatia , wenzetu wako very systematicKila Mtu na bahati yake nakuombea Kwakuwa lengo ufanikiwe utakutana na mawili matatu magumu ila ndio maisha unajua mambo mazuri msoto upo kila la kheri Mungu akutangulie.