Nimepata Visa ya Canada, mpango wangu ni kuzamia mazima (SIRUDI TENA)

Nimepata Visa ya Canada, mpango wangu ni kuzamia mazima (SIRUDI TENA)

Itakusaidia nini? Nenda Marekani. Kuna wamarekani wengi wamerudishwa toka Kanada hata wahindi tena waliokwenda kule kwa kisingizio cha kusoma bila makaratasi yaliyo sahihi. Unaweza kujidanganya. Mfumo wao ni foolproof watakunasa tu.
Watu hawaielewi Canada. Picha linaanza pale una hela mfukoni but you can't buy anything. Hela yako inakua kama ile cement ilikua ikitumika kujenga barabara ya mwendo kasi, iba utakavyo lakini hauwezi kufanyia kitu au kokoto za reli ya tazara utaiba ujengee lakini hazishiki cement
 
Wakuu naombeni kujua jimbo sahihi kuanzia maisha, ntashukia Toronto Pearson International Airport, simjui yeyote na hii ni visa ya matembezi tu kwenye documents niliwaambia ntakaa wiki 1 ila nimeapa abadani afe kipa afe beki sirudi bongo labda waniue.

Mkisha nijulisha jimbo, mnijulishe na jinsi ya kupata makazi maana sina Social Insurance Number (SIN) na nasikia bila hiyo huwezi fanya chochote cha maana ila potelea mbali nyie nijuzeni mbinu zote mnazodhani zitanisaidia.

Pia kama unafahamu recruitment agency ambayo inaweza nipatia kazi bila kuwa na documents, usisite kunijuza, siamini kama huko hakuna dhambi hivyo njia za panya zitakuwepo tu.

Karibuni wadau mnaoishi huko.

NB: HATA MKINITISHA KUWA MAISHA NI MAGUMU NAKUJA, MBONA NYIE HAMRUDI?
Umefanya vizuri kusema kabla; hautaenda tena Canada, utaishia Airport. Bora tu hata usifike kabisa hata Airport ku-save muda wako
 
Hii njia inaitwa asylum sujapanga kutumia njia ya kipuuzi hii, mimi nataka kuishi kibabe
Asylum si ya kuomba hifadhi? Mimi namaanisha upitie njia ya kusoma, Yaani ukishapata mwenyeji wewe unatafuta kikoz kitakacho kusaidia kupata kazi halali
 
Maskini wazungu ndo walitumalizia vijana kumbe akikubali kuwa ni shoga au msagaji anapokelewa kwa mikono miwili? Ukute vijana wetu wakifika huko wanalazimika kutumia hii njia maskini.

Mleta mada hope utasoma hapa mimi sina experience ya huko nina marafiki tu ila walinambia ukifika huko jaribu kusoma hata short course hii itakufungulia njia hawa wapuuzi wasije kuharibia maisha.

All the best.

I will play the devil's advocate here:

Ukikubali wewe ni shoga ili upate documents za kuishi kihalali nini kibaya kinakutokea kama ndani ya nafsi yako unajua wewe sio shoga? Documents zinaandikwa wewe ni shoga?

Ukikubali wewe ni shoga na kesho ukasema umekuwa straight inakatazwa? Sikuhizi kuna gender inaitwa non-binary umeisikia? Hao non-binary wanakatazwa na nani kuwa non-binary?

Kuna story nyingi sana za mitaani mnazitilia maanani na kujazana woga tu.
 
Hujui

Wewe huijui Kanada. Watakurudisha vinginevyo useme wewe ni msenge au msagaji. System yao hsipenyekils

Wakuu naombeni kujua jimbo sahihi kuanzia maisha, ntashukia Toronto Pearson International Airport, simjui yeyote na hii ni visa ya matembezi tu kwenye documents niliwaambia ntakaa wiki 1 ila nimeapa abadani afe kipa afe beki sirudi bongo labda waniue.

Mkisha nijulisha jimbo, mnijulishe na jinsi ya kupata makazi maana sina Social Insurance Number (SIN) na nasikia bila hiyo huwezi fanya chochote cha maana ila potelea mbali nyie nijuzeni mbinu zote mnazodhani zitanisaidia.

Pia kama unafahamu recruitment agency ambayo inaweza nipatia kazi bila kuwa na documents, usisite kunijuza, siamini kama huko hakuna dhambi hivyo njia za panya zitakuwepo tu.

Karibuni wadau mnaoishi huko.

NB: HATA MKINITISHA KUWA MAISHA NI MAGUMU NAKUJA, MBONA NYIE HAMRUDI?
Kabla ya kuondoka ,tengeneza mazingira na documents za kuonyesha wewe ni shoga😀😀wapange ata jamaa zako wajifanye wamekufumania unataka kuliwa mzigo Kisha kareport police wamekuvamia kisa ushoga ,zitunze documents zote Kisha,tafuta organization yoyote inayosupport ushoga jiandikishe na uwe na documents za uanachama,Kisha sepa Canada ukifika tu tafuta LGBTQ organization jiandikishe na wape stori yako ya kukimbia Tanzania kwa sababu ya kutishiwa maisha kwa sababu wewe shoga,Kisha tafuta lawyer akupe msaada WA kuomba hifadhi Canada ya kuishi kwa sababu hauwezi kurudi Tanzania,kwa sababu ya kuhatarisha maisha yako,hii mbinu ukiitumia unapata permit ya kuishi na kufanya kazi,hii mbinu watu WA Uganda wengi wataitumia
 
Kila Mtu na bahati yake nakuombea Kwakuwa lengo ufanikiwe utakutana na mawili matatu magumu ila ndio maisha unajua mambo mazuri msoto upo kila la kheri Mungu akutangulie.
We wenzetu hawana hayo mambo ya kubahatisha! Maoni ya wengi huku Yana mantiki mtoa mada zingatia , wenzetu wako very systematic
 
Back
Top Bottom