Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mbona sina mbambamba mkuu au nimefanya nnYaani ata kae kuwa mkwe kwa huyu nusu albino, kazI anayo😃😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona sina mbambamba mkuu au nimefanya nnYaani ata kae kuwa mkwe kwa huyu nusu albino, kazI anayo😃😂
We nusu albino ni dishi 😂😂Mbona sina mbambamba mkuu au nimefanya nn
Ushaanza ujenziWakuu habarini!!
Nimeoa katika familia ya mzee mmoja msitafu,huyu mke wangu ni mtoto wa mwisho kwao...
Leo nimeshangaa ameniita kwenda kuangalia kiwanja akasema kama nimekipenda nichukue.
Ninachogopa ni kuwa kiwanja nilichopewaa na Baba mkwe wangu nitakosa nguvu kama kidume Cha familia...hata tukikosana na mke wangu..
Naombeni ushauri kwa wale mmeshawai pata kadhia kama hii
Na sifa ya dishi ni kuyumbaWe nusu albino ni dishi 😂😂
Mtego huo, mwanaye akianza kukuendesha usishangaeWakuu habarini!!
Nimeoa katika familia ya mzee mmoja msitafu,huyu mke wangu ni mtoto wa mwisho kwao...
Leo nimeshangaa ameniita kwenda kuangalia kiwanja akasema kama nimekipenda nichukue.
Ninachogopa ni kuwa kiwanja nilichopewaa na Baba mkwe wangu nitakosa nguvu kama kidume Cha familia...hata tukikosana na mke wangu..
Naombeni ushauri kwa wale mmeshawai pata kadhia kama hii
Madishi yenu siku hizi ni exceptional, Yana misumali ya kufungua😂😂Na sifa ya dishi ni kuyumba
😂 ndio mazuriMadishi yenu siku hizi ni exceptional, Yana misumali ya kufungua😂😂
Kichukue na kabadilishe hati fasta isome majina yakoWakuu habarini!!
Nimeoa katika familia ya mzee mmoja msitafu,huyu mke wangu ni mtoto wa mwisho kwao...
Leo nimeshangaa ameniita kwenda kuangalia kiwanja akasema kama nimekipenda nichukue.
Ninachogopa ni kuwa kiwanja nilichopewaa na Baba mkwe wangu nitakosa nguvu kama kidume Cha familia...hata tukikosana na mke wangu..
Naombeni ushauri kwa wale mmeshawai pata kadhia kama hii