Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Mimi nakusaidia utoke ulipo, unasema nakufatilia 🤣🤣🤣yaan ww unanifuatilia😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nakusaidia utoke ulipo, unasema nakufatilia 🤣🤣🤣yaan ww unanifuatilia😂😂
Uvumilivu ni muhimu kwenye mafanikio.Mwaka 2017 nilinunua pagara huko mbeya!
Baadae niliezeka wakawa wanaishi watu.
cost nilizotumia ni 4.5 M.Hadi leo kodi nayopokea haizidi elf 30 sehemu za mkoa wa mbeya demand ya nyumba ndogo mno tofauti na mikoa kama dodoma mwanza au dar.
Kifupi hailipi.
Nawaza ningeweka UTT leo ningekua nmezalisha hata milion 3 nyingine
hapo navumilia nnUvumilivu ni muhimu kwenye mafanikio.
na naniMbona utt inapigiwa promo kuna nn wadau
si wa uhakika hasa pale unapoitaji pesa yako12% ya 4,500,000 ni 540,000
12% ya 5,040,000 ni 604,800
12% ya 5,644,800 ni 678,000
Kwa miaka mitatu ungepata 1,823,000
NB; Bado uwekezaji wa ardhi ni mzuri kwako.
😂😂Kabisa UTT mpango mzima
sasa mkuu wa kuniumbua kwene huu uzi kwamba nataka nikope😂😂😂Mimi nakusaidia utoke ulipo, unasema nakufatilia 🤣🤣🤣
Kodi kidogo unayopata baadae itakuweka pazuri. Nyumba au ardhi ni kati ya uwekezaji mzuri. Kama vp uza hyo nyumba then turn up to UTT, you will get the realityhapo navumilia nn
Reality ikoje mkuu??Kodi kidogo unayopata baadae itakuweka pazuri. Nyumba au ardhi ni kati ya uwekezaji mzuri. Kama vp uza hyo nyumba then turn up to UTT, you will get the reality
Sina helaMkuu, usijilaumu sana, utt pia ingekufaa lakini percent ambayo ingeongezeka ni ndogo mnoo, angalia namna ya kuboresha hiyo nyumba itakufaa siku za mbeleni
Anza kidogo kidogo mkuuSina hela
Sina hela
Nimeona hiyo ndio njia sahihi ya kutatua changamoto inayokukabili.sasa mkuu wa kuniumbua kwene huu uzi kwamba nataka nikope😂😂😂
ni kama umeenda sehemu mtu anaanza kuelezea historia ya magumu ulopitia aisee
Acha uhuni😅Kama una vipande vingi UTT liquid fund leo ni kicheko. Check salio