Nimepiga hesabu ningewekeza UTT ningekua niko vizuri

Nimepiga hesabu ningewekeza UTT ningekua niko vizuri

ndio ya hivo hivo sina hela ya kutosha ya kumalizia
Huu ndiyo unaitwa ununda wa kuwekeza. Tangu lini nyumba za swekeni huko zikaitwa uwezekeji? Unakuwa kama jamaa mmoja alipata fedha za chapchap akakimbilia kujenga bonge la nyumba kijijini. Matokeo yake baadae alifilisika na nyumba haikumsadia. Wewe hata kipindi hicho ungetafuta kiwanja sehemu kama Dar, ukakinunua na kukiacha bila kufanya lolote, sasa hivi ungekuwa na faida.
 
Huu ndiyo unaitwa ununda wa kuwekeza. Tangu lini nyumba za swekeni huko zikaitwa uwezekeji? Unakuwa kama jamaa mmoja alipata fedha za chapchap akakimbilia kujenga bonge la nyumba kijijini. Matokeo yake baadae alifilisika na nyumba haikumsadia. Wewe hata kipindi hicho ungetafuta kiwanja sehemu kama Dar, ukakinunua na kukiacha bila kufanya lolote, sasa hivi ungekuwa na faida.
Huo ndo ushauri au unazidi kumpiga nyundo
 
Back
Top Bottom