macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Huu ndiyo unaitwa ununda wa kuwekeza. Tangu lini nyumba za swekeni huko zikaitwa uwezekeji? Unakuwa kama jamaa mmoja alipata fedha za chapchap akakimbilia kujenga bonge la nyumba kijijini. Matokeo yake baadae alifilisika na nyumba haikumsadia. Wewe hata kipindi hicho ungetafuta kiwanja sehemu kama Dar, ukakinunua na kukiacha bila kufanya lolote, sasa hivi ungekuwa na faida.ndio ya hivo hivo sina hela ya kutosha ya kumalizia
Check salioAcha uhuniπ
Sure mkuu hata mimi nimeshangaa ,yan haijawahi kutokea adse πππππKama una vipande vingi UTT liquid fund leo ni kicheko. Check salio
Hamna kodi?12% ya 4,500,000 ni 540,000
12% ya 5,040,000 ni 604,800
12% ya 5,644,800 ni 678,000
Kwa miaka mitatu ungepata 1,823,000
NB; Bado uwekezaji wa ardhi ni mzuri kwako.
Unahofia kodi mkuuHamna kodi?
No. Nataka kufahamu tuUnahofia kodi mkuu
Huo ndo ushauri au unazidi kumpiga nyundoHuu ndiyo unaitwa ununda wa kuwekeza. Tangu lini nyumba za swekeni huko zikaitwa uwezekeji? Unakuwa kama jamaa mmoja alipata fedha za chapchap akakimbilia kujenga bonge la nyumba kijijini. Matokeo yake baadae alifilisika na nyumba haikumsadia. Wewe hata kipindi hicho ungetafuta kiwanja sehemu kama Dar, ukakinunua na kukiacha bila kufanya lolote, sasa hivi ungekuwa na faida.
Aiboreshe nyumba then aongeze kodiNyumba ipo, UTT ipo, uza Nyumba wekeza UTT .Nimekaa pale.....
Yah imejump Sana ndani ya 10 daysCheck salio
Nini huwa inasababisha hivyo?Yah imejump Sana ndani ya 10 days
Kumetokea nini maana nimeona ongezeko lisilo la kawaida?Kama una vipande vingi UTT liquid fund leo ni kicheko. Check salio
Imagine wenye mil 50 kwenda mbele wamevuta sio haba, laki tano kw week ππHii ina
Nini huwa inasababisha hivyo?
Gawio la faida nahisi wamepata faida kubwa kutok gvtHii ina
Nini huwa inasababisha hivyo?
Watakuja kukuambia kuwa unapoteza muda huko UTT,Imagine wenye mil 50 kwenda mbele wamevuta sio haba, laki tano kw week ππ
Vijana wanalizwa na Kubet na vindege vya AviatorWatakuja kukuambia kuwa unapoteza muda huko UTT,
Safi sana mkuu.Mimi now 60+ml sina papara na biashara za high return kifupi kila mtu ashinde mechi zake
So ina maana leo gawio la siku litaendelea km kawaidaGawio la faida nahisi wamepata faida kubwa kutok gvt
πππππ hiyo Aviator sio ya kujaribuVijana wanalizwa na Kubet na vindege vya Aviator