antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Duh,Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...
Usiishwe na fitina za watu.. ilo ndio chaguo lakoNdugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume.
Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...
Naombeni ushauri wakuu
Unamuingiza chaka.Hatari sana.Kama aliyekutumia taarifa ana nia njema ni vema umuoe haraka huyo binti ili wasiendelee kumgegeda.🤔
Achana na hiyo mahari waambie wazazi wake umewapa zawadi, achana na habari za Pete mwambie huyo ma la yer aitumie kama uremboNioe hatari ndugu?? Maana mahari nilisha toa na pete ya uchumba tayari bado ndoa tu ndio nimetumiwa ujumbe huu
Unataka kuona Uno.Sawa aoe ila video sasa nasie tujionee
Na hiyo video haitaondoka mawazoni , kila akikukwaza mawazo yatahamia kule kideoni jinsi anavyopigwa nao.Badala ya kulalamika ungemshukuru Mungu kwa kukuonyesha haya mapema kabla hujaoa.
na ushahidi umepewa unataka nini zaidi? Mshukuru Mungu na waambie ukweli ndugu zako, piga chini hiyo takataka
Ukikuta bikra basi ujue nyuma kulisha chakaaaaBikra ndo tunao kwa ndoa tushawaambia hawa wengine ni sogeza tuishi tu mkuu.......
Tatizo vijana mchana sana notes za masomo ya nyuma....
Wapare walikukosea nini ndugu?Ni mpare?
Nioe hatari ndugu?? Maana mahari nilisha toa na pete ya uchumba tayari bado ndoa tu ndio nimetumiwa ujumbe huuHatari sana.Kama aliyekutumia taarifa ana nia njema ni vema umuoe haraka huyo binti ili wasiendelee kumgegeda.🤔
NdioSiku zote mtu anaekuletea umbea kukuharibia mambo yako ni wa kuwa nae makini. Umethibitisha hiyo video ni ya karibuni?
Piga chini Malaya huyoBikra ndo tunao kwa ndoa tushawaambia hawa wengine ni sogeza tuishi tu mkuu.......
Tatizo vijana mchana sana notes za masomo ya nyuma....
Mtafute Natafuta Ajira akupatie ushauri wa kiume au Natafuta Ajira mpatie kijana link ya ule uzi wako wa Ki hiphopNdugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume.
Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...
Naombeni ushauri wakuu
Paste hizi kutoka FacebookNdugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume.
Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...
Naombeni ushauri wakuu
unampoteza mwenzako aiseeWewe umeshavua wangapi na wengine bila kujua ni wachumba wa watu?.
Muite muulize kama yupo serious, kisha akalishwe kitako kuambiwa ukweli wa maisha ya Ndoa then chukua mke.
Ukitaka wa kwako ambaye hajaguswa basi kamchukue hospitali akiwa katoka tumboni umlee hadi uzeeni akiwa ndani ya chumba chenye kufuri 100!!.
Tuanzie kwa mdogo ako au mtoto wako wa kiume ambae unajua kabisa ashatoka na wanawake kadhaa, ndio kakuletea taarifa kwamba mke anaetarajia kuoa hajatulia kakuonyesha na connection yake kabisa, utampa ushauri kama huu ulioutoa hapa?Wewe umeshavua wangapi na wengine bila kujua ni wachumba wa watu?.
Muite muulize kama yupo serious, kisha akalishwe kitako kuambiwa ukweli wa maisha ya Ndoa then chukua mke.
Ukitaka wa kwako ambaye hajaguswa basi kamchukue hospitali akiwa katoka tumboni umlee hadi uzeeni akiwa ndani ya chumba chenye kufuri 100!!.