antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Duh,Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...
Una bahati sana, umeepuka kupigwa na kitu kizito. Ukichukua hilo zigo batili umejitakia mwenyewe