Aliyekutumia hiyo video lazima kuna jambo lunamuumiza labda kwa kumkosa huyo binti au whatever.. sidhani kama ana nia njema kwako..au unadhani anakupenda sana haki akupe taarifa?
Hata kama ni ya zamani. Unaanzaje kuoa Malaya? Assume huyo jamaa ni mwanao wa kiume kakushirikisha hiyo issue unamshaurije?Siku zote mtu anaekuletea umbea kukuharibia mambo yako ni wa kuwa nae makini. Umethibitisha hiyo video ni ya karibuni?
Chukua hilo tukio alafu piga picha kwa binti uliozini nao then unaambiwa yule uliyelala/unakwenda kum§§%€<nya guest room ni mchumba watu!.unampoteza mwenzako aisee
Mkuu unachoongea kipo dhahiri na kinafahamika na kila mwanaume.Vijana mnapotea na ushauri wenu wa kipuuzi. Hivi unadhani kiapo Cha kanisa kinaweza badilisha tabia ya mwanamke akishamuoa ?
Katika kipindi ambacho kuoa bikra ni muhimu, ni kipindi hiki. Maana technology itakuja kukuumbua siku moja ukioa mwanamke Malaya au ambaye keshapitia mahusiano kibao uko nyuma.
Hawa mabinti wanarekodiwa na kupigwa picha za uchi wakifanya mapenzi kwa kutaka wao au kwa kutegeshewa. Just assume ushaoa unakutana na picha chafu za mkeo. Utafanyaje?
Bikra zipo nyingi sana, sema ni uzembe wa vijana kutafuta wanawake wanaojielewa.Mkuu unachoongea kipo dhahiri na kinafahamika na kila mwanaume.
Sasa sijui unaelewa kwamba hata wasioonekana katika picha wakifanya ufuska, ni malaya waliochangamka?
Je kwa kutoonekana kwao ni kipimo cha kutosha cha kuwapima uadilifu wao?
Ni jamii nzima tuliyomo haina maadili, ni wanaume wachache sana wanaobahatisha kuoa mwanamke bikra.
Je waliotolewa bikra zao kabla ya ndoa wasiolewe kwa sababu ni malaya?
Je mtoto wako kama angelikuja kukupa taarifa kuwa kapata mchumba tayari wana mahusiano na anataka kumuoa ungelimshauri achunguze bikra yake kwanza?
Kumbuka unapotoa ushauri kwa watu waliopo katika mahusiano, hauwezi kuwashauri kufuata vigezo kwa sababu vihunzi hivyo tayari walishavivuka bila kukushirikisha.
Hivyo yakupasa kuwapatanisha na si kuwatenganisha.
Mambo ni mengi wakati ni mchache
😂😂😂 Maamuzi yapo wazi kabisa muache mapema atakubambika watoto huyoNdugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume.
Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...
Naombeni ushauri wakuu
😂😂😂 Maamuzi yapo wazi kabisa muache mapema atakubambika watotoNdugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume.
Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...
Naombeni ushauri wakuu
Ni kabila gani?Ndugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume.
Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...
Naombeni ushauri wakuu
Huyo mwanaume aliyekutumia kazidi umbea.
Bikra haihusiani na kutulia.Bikra ndo tunao kwa ndoa tushawaambia hawa wengine ni sogeza tuishi tu mkuu.......
Tatizo vijana mchana sana notes za masomo ya nyuma....
Shida sio kufanya shida amefanya wakati gani!?Aliyoyafanya lipi wewe hujafanya ukitoa la kujirecord? Kama upo So fresh sooo clean achana nae😥
Dah bonge la ushauli Mwana aolee mtaaMakabila ya kanda ya ziwa yana majina ya watu wanaovuruga uchumba wa mtu, wanaitwa 'bhasobhezi', hiyo ni title kabisa yaani.
Kwa hoja yako hiyo embu ichimbe kiundani zaidi ili uelewe mantiki ya wewe kupewa taarifa hiyo katika kipindi hiki ni nini hasa?
Je mtu asiyekufahamu wewe, anaweza kukupenda zaidi kukuhabarisha habari za faida?
Rudi kwenye nafsi yako, hivi kweli wewe ni msafi wa mfano kuweza kumnyooshea mwenzako kidole kwa haki juu ya mambo anayofanya ambayo hujawahi kuyafanya?
Rudi kwenye jamii, hivi tamaduni za kuoa mabinti mabikra bado zipogo, wangapi wanyooshe mikono juu kutudhihirishia kuwa wao walioa vigori na bikra zao og sealed, na siyo zile bikra feki?
Kijana, angalia mizani ya upendo wenu na huyo mwenzako upoje?
Huyo msichana mchumba wako yupo kwenye vita ngumu sana na wabaya wake pamoja na mahawara zake ili asiweze kufanikiiaha ndoto zake za kuolewa.
Badala yake anatakiwa abaki nao hao warusha picha wakimtumia kama mtumwa wao wa kingono bila ya uelekeo, embu okoa jahazi kiume.
Kihunzi cha kwanza cha asessment muhimu katika maisha ya ndoa umekiruka kirahisi tena kwa kurahisishiwa na vishoka, sasa umebakiza vichache virahisi ambavyo utakuja kuvimalizia mkianza kuishi pamoja na utamuwini vizuri sana huyo mwanamke utapoishi naye.
Huwa ni mtihani mkubwa sana kudhani umeoa mwanamke 'wautulie' kumbe ni kipanga kisichokosa mawindo!
Umeshamwelewa baadhi ya background ya tabia zake ni rahisi sasa kuweza kuishi naye kama ni kweli aliyopigwa nayo picha aliyafanya sijui mwaka gani, atajirekebisha na kuachana nayo, maana mambo haya ni hulka ya vijana wote wa rika lenu.
Na mkiona mmefanikiwa na kuanza kuishi pamoja na kwa malengo, tabia hizo hujivua zenyewe mwilini mwa mtu kama vile Ccm ya Kikwete na Mukama ilivyojivua gamba 2011😁😁😜.
Itapendeza ukimuoa na kuzipangua figisu na fitina zote anazopigwa nazo mwenzako.
Maana saazingine yawezekana naye huko kashatumiwa kashifa zako ili kuwavuruga ili lengo lenu lisiwezekane kama nilvyokwisha sema.
ila kuna kujua mtu ana mwanaume/mwanamke mwingineNioe hatari ndugu?? Maana mahari nilisha toa na pete ya uchumba tayari bado ndoa tu ndio nimetumiwa ujumbe huu