ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Fixed zipo tena correct scorehizi ni stori kama za kutafuta dhahabu alizoficha mjerumani milimani.
una ushahidi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fixed zipo tena correct scorehizi ni stori kama za kutafuta dhahabu alizoficha mjerumani milimani.
una ushahidi ?
Hakuna hela easy duniani. Mtaendelea kupigwa hadi akili ziwakae sawa.Nilitembelea website flani wanaposti mikeka imetiki yani sure odds fixed matches, nikalipa dola 30 takribani shilingi elf 80 kuungwa kwenye group, humo ndani ni upuuzi mtupu game wanazoweka ni chache zenye odds za 1.01 yani ukiweka laki ushinde buku lakini ukija kwenye website zao wanadanganya wanaweka mikeka ya mechi zilizokuwa na odds kubwa kwamba imetiki.
Nikaja hapa bongo kuna mdau alikuwa anapost hizi sure bets na mikeka, na kuna watu wanasifia kabisa wameshinda kumbe ni yeye mwenye anajichatisha, nililipa elf 15 ili niungwe group, muhuni sana huyu anapost odds baada ya mechi kuisha ukienda page yake anaweka mikeka imetiki itakuwa ana edit
We acha masiala na betting kabisa usiku nimeshinda imenifanya niamke na weekend nzuri ya maana.Hakuna hela easy duniani. Mtaendelea kupigwa hadi akili ziwakae sawa.
Wewe una akili kama samia au kada wa chama chakavu ccmFixed zipo ila kuzipata ni mbinde sana.
Sawa wewe mwenye akili kama za khadija kopaWewe una akili kama samia au kada wa chama chakavu ccm
Acha ubishi fixed zipo juzi na jana nmepata mbili correct scoreWewe una akili kama samia au kada wa chama chakavu ccm
Mtukufu mpumbavuAcha ubishi fixed zipo juzi na jana nmepata mbili correct score
Nyie ndio mnafanya wakamalia waonekane hawana akili.Nilitembelea website flani wanaposti mikeka imetiki yani sure odds fixed matches, nikalipa dola 30 takribani shilingi elf 80 kuungwa kwenye group, humo ndani ni upuuzi mtupu game wanazoweka ni chache zenye odds za 1.01 yani ukiweka laki ushinde buku lakini ukija kwenye website zao wanadanganya wanaweka mikeka ya mechi zilizokuwa na odds kubwa kwamba imetiki.
Nikaja hapa bongo kuna mdau alikuwa anapost hizi sure bets na mikeka, na kuna watu wanasifia kabisa wameshinda kumbe ni yeye mwenye anajichatisha, nililipa elf 15 ili niungwe group, muhuni sana huyu anapost odds baada ya mechi kuisha ukienda page yake anaweka mikeka imetiki itakuwa ana edit
Wewe ni mjinga juha mkubwa🤣Nilitembelea website flani wanaposti mikeka imetiki yani sure odds fixed matches, nikalipa dola 30 takribani shilingi elf 80 kuungwa kwenye group, humo ndani ni upuuzi mtupu game wanazoweka ni chache zenye odds za 1.01 yani ukiweka laki ushinde buku lakini ukija kwenye website zao wanadanganya wanaweka mikeka ya mechi zilizokuwa na odds kubwa kwamba imetiki.
Nikaja hapa bongo kuna mdau alikuwa anapost hizi sure bets na mikeka, na kuna watu wanasifia kabisa wameshinda kumbe ni yeye mwenye anajichatisha, nililipa elf 15 ili niungwe group, muhuni sana huyu anapost odds baada ya mechi kuisha ukienda page yake anaweka mikeka imetiki itakuwa ana edit
wanabadilisha codes za kwenye tovuti / app.Kwa nia njema tu ya kujifunza..... Wanawezaje ku-edit video namna hii????
Kwa nia njema tu ya kujifunza..... Wanawezaje ku-edit video namna hii????
Utapigwa uchakae...game ni editing bythen akaweka game zote 91 minutes tilia mashaka. Wasiwas ndio akili.Kwa nia njema tu ya kujifunza..... Wanawezaje ku-edit video namna hii????
So umefurahi baada ya kutukana?Mtukufu mpumbavu
Fixed zipo ila kuzipata ni mbinde sana.