Nimepigwa na wanaojinadi wanauza sure bets fixed matches, hakuna kitu kama uhakika kwenye kubeti, ni mbinu ya kula pesa zetu tunaoingia tamaa

Nimepigwa na wanaojinadi wanauza sure bets fixed matches, hakuna kitu kama uhakika kwenye kubeti, ni mbinu ya kula pesa zetu tunaoingia tamaa

Kuna mkenya alinipga buku 10 alidai anauza fixed ilikua 2019 uko tena correct score Mwamba nikatuma Hela Kenya Kwa m pesa akatuma timu 2 za ufaransa ila nkasema ngoja nistake buku 5 nisiweke ela nyingi ilikuja kama Laki 2 hv mechi saa 4 usiku nikatulia kipind Cha kwanza mambo fresh ila kipind Cha 2 Mkeka ujachanka kesho namwambia nmechanka Akaniblock mjinga yule Alaaaniwe
 
Njoo pm mbiombio na laki 1 nikupe odds za uhakika, ni ushindi tu 💯
Screenshot_20240518-002038.png
 
Nilitembelea website flani wanaposti mikeka imetiki yani sure odds fixed matches, nikalipa dola 30 takribani shilingi elf 80 kuungwa kwenye group, humo ndani ni upuuzi mtupu game wanazoweka ni chache zenye odds za 1.01 yani ukiweka laki ushinde buku lakini ukija kwenye website zao wanadanganya wanaweka mikeka ya mechi zilizokuwa na odds kubwa kwamba imetiki.

Nikaja hapa bongo kuna mdau alikuwa anapost hizi sure bets na mikeka, na kuna watu wanasifia kabisa wameshinda kumbe ni yeye mwenye anajichatisha, nililipa elf 15 ili niungwe group, muhuni sana huyu anapost odds baada ya mechi kuisha ukienda page yake anaweka mikeka imetiki itakuwa ana edit
Hakuna hela easy duniani. Mtaendelea kupigwa hadi akili ziwakae sawa.
 
Nilitembelea website flani wanaposti mikeka imetiki yani sure odds fixed matches, nikalipa dola 30 takribani shilingi elf 80 kuungwa kwenye group, humo ndani ni upuuzi mtupu game wanazoweka ni chache zenye odds za 1.01 yani ukiweka laki ushinde buku lakini ukija kwenye website zao wanadanganya wanaweka mikeka ya mechi zilizokuwa na odds kubwa kwamba imetiki.

Nikaja hapa bongo kuna mdau alikuwa anapost hizi sure bets na mikeka, na kuna watu wanasifia kabisa wameshinda kumbe ni yeye mwenye anajichatisha, nililipa elf 15 ili niungwe group, muhuni sana huyu anapost odds baada ya mechi kuisha ukienda page yake anaweka mikeka imetiki itakuwa ana edit
Nyie ndio mnafanya wakamalia waonekane hawana akili.
 
Nilitembelea website flani wanaposti mikeka imetiki yani sure odds fixed matches, nikalipa dola 30 takribani shilingi elf 80 kuungwa kwenye group, humo ndani ni upuuzi mtupu game wanazoweka ni chache zenye odds za 1.01 yani ukiweka laki ushinde buku lakini ukija kwenye website zao wanadanganya wanaweka mikeka ya mechi zilizokuwa na odds kubwa kwamba imetiki.

Nikaja hapa bongo kuna mdau alikuwa anapost hizi sure bets na mikeka, na kuna watu wanasifia kabisa wameshinda kumbe ni yeye mwenye anajichatisha, nililipa elf 15 ili niungwe group, muhuni sana huyu anapost odds baada ya mechi kuisha ukienda page yake anaweka mikeka imetiki itakuwa ana edit
Wewe ni mjinga juha mkubwa🤣
 
Yaani hapa umeniacha chaka vibaya mno,mi sielewi mikeka ni nini!
Odds ndio sielewi hii nchi ngumu mno
 
Back
Top Bottom