Nimepokea taarifa ya baadhi ya raia wa Afrika Kusini kuwataka wageni kuondoka nchini mwao

Nimepokea taarifa ya baadhi ya raia wa Afrika Kusini kuwataka wageni kuondoka nchini mwao

Si tunasemaga SA inathamini sana harakati za Nyerere kwny Vita ya makaburu na kuwapenda wabongo?

Wangese wa DUDULA'Put South Africans first' hawajui hizo story za paukwa pakawa 😄😄
Yes mkuu ILA elewa SA ni nchi kama yetu na ina sheria zake za uhamiaji, why uruke ukuta na sio kupitia mlangoni wakati upo wazi, mimi ningekua immigrations officer ninakukamata huku lingusenguse ukiwa illegal immigrants, utachezea kipigo cha mbwa koko,maana umenidhalilisha mimi na nchi yangu kuwa hatuwezi kulinda nyumba(nchi yetu) na njia uliyojia ndio utarudi nayo na mikwaju mgongoni ili ukawaonyeshe wenzako kuwa ukitaka kuingia Tanzania pitiable mlangoni sio njia za panya,ukipita njia za panya means kuwa wewe ni panya na nitakufanya uwe panya
 
Acheni kufanya biashara ya madawa na u jambazi nchi za watu. Tena mfie huko huko. Wa Africa kusini walipokuwa Tanzania hawakutengeneza magenge ya uharifu, ila ninyi mmeunda magenge ya uharifu mpaka mnataka kuwatawala na kuchukua chocho zote za dili za kiharamia. Lazima wawaue.
Kumbuka sio wote wanafanya hizo biashara kwani kitu ambacho unauhakika nacho usikichukulie kama mada.
Nimekaa miaka saba pale nafanya biashara za halali kabisa kwani unawaharibia wengine.
Ukiweka uwanja mzuri wa maisha ni nani atayeondoka hapa nyumbani
 
Tena Reliable source sio grupu la Wasaap
Yes dunia ya sasa ipo mkononi, na Habari kubwa kama hii definitely vyanzo vya uhakika kama news.24,sowetan news,wengeandika, hii ni fake news za kwenye vijiwe ili kukatishana tamaa na kutishana, tubadilike ..tafuta passport yako, lamba taqwa hadi Harare au ITS,pale malori kibao yanayakwenda jhb, omba lift na ukifika border nenda mlangoni straight, chukua 90days zako jichanganye,hata kwangu ukiingilia dirishani nitakukaanga kama viazi maana hii ni dharau, mlango upo wazi why umerukia dirishani
 
Samaki mmoja akioza
Kumbuka sio wote wanafanya hizo biashara kwani kitu ambacho unauhakika nacho usikichukulie kama mada.
Nimekaa miaka saba pale nafanya biashara za halali kabisa kwani unawaharibia wengine.
Ukiweka uwanja mzuri wa maisha ni nani atayeondoka hapa nyumbani
 
Wanakufa kila siku.
Nashauri warudi ingawa mabaria hawakubali kurudi kirahisi. Wakifa michango mingine inatoka huku tunapaswa kuwashauri warudi.
 
Yes dunia ya sasa ipo mkononi, na Habari kubwa kama hii definitely vyanzo vya uhakika kama news.24,sowetan news,wengeandika, hii ni fake news za kwenye vijiwe ili kukatishana tamaa na kutishana, tubadilike ..tafuta passport yako, lamba taqwa hadi Harare au ITS,pale malori kibao yanayakwenda jhb, omba lift na ukifika border nenda mlangoni straight, chukua 90days zako jichanganye,hata kwangu ukiingilia dirishani nitakukaanga kama viazi maana hii ni dharau, mlango upo wazi why umerukia dirishani
Fursa ni za kuchangamkia hebu waangalie Wanaigeria wanavyopeanaga michongo na sio kutishana, unabaki Manzese frozen in fear huku Mwigulu akikuumiza na Tozo na kukufanya Mtumwa wake.
 
Fursa ni za kuchangamkia hebu waangalie Wanaigeria wanavyopeanaga michongo na sio kutishana, unabaki Manzese frozen in fear huku Mwigulu akikuumiza na Tozo na kukufanya Mtumwa wake.
Wapopo mkuu wangu hawa jamaa wanainuana mno huko kwenye Diaspora, mpaka wanachangishana kuinuana au kmrudisha nyumbani mwenzao asiyebebeka, very rare kukuta mpopo amezikwa ughaibuni lazima atarudi nyumbani, wabongo ni wanafiki, jealous, roho za kutu, kukatishana tamaa, furaha yao kukuongelea wakati unapigika na ukitoboa unafiki wa kipambe unarudi
 
Wageni wote. Hata walioajiriwa kihalali wanapaswa kuondoka na kuachia nafasi kwa Wasauzi.
Hii hapana, inategemea na aina ya kazi, SA kitu tunaita CRITICAL SKILLS, hizi ni taaluma ambazo zina uhaba hapa SA.

Mfano, Waalimu wa Hesabu/Hisabati, Sayansi kama PHYSICS nk, Wahasibu wabobezi wenye CPA, CA, CISA, ACCA nk

Mainjinia, madkati bingwa, madaktari wa mifugo nk

Kuna kada nyingi sana ambazo hapa SA hazina watu makini hivyo Serikali kupitoa Home affairs waliweka utaratibu wa kupata visa kwa kuangalia hizo taaluma.

Pia unaruhusiwa kuwa mfanyabiashara halali na kwa vibali vyote bila shida yoyote.

Ni kweli kuna uhalifu mkubwa na hii ni kwa sababu ya sera zao za tangia ubaguzi wa rangi. Nchi hii walishindwa kucontrol silaha tangu awali, yaan hata baada ya ubaguzi wa rangi kukomeshwa bado watu weusi wengi walikuwa wanamiliki silaha na hadi leo limekuwa tatizo sugu.

Kuna sheria za umiliki wa silaha na maduka yake ila kuna utaratibu kama ilivyo hapo home TZ.

Operesheni DUDULA ikiongozwa na makundi mawili makubwa ila maaraufu ni lile la N. LUX ambao wao wanachokosea ni ile kutaka uwaoneshe vibali vya kuishi ingali wao sio mamlaka ya serikali inayohusika na vibali hivyo.

Changamoto za Watanzania wa huku.

1. Hawana umoja, wengi walikuja huku kihuni hvyo hawaba vibali vya kuishi, hawana Pasipoti nk. Mbaya zaidi wengi wambao wameingia bila utaratibu ndio wamejiingiza kwenye uhalifu hasa maeneo ya KWA ZULU NATAL - DURBAN, JOBURG na PRETORIA.

2. Wengi si waelewa hata ukiwaambia twende ubalozini ukaangalie namna bora ya kupata Passport wanakataa na kuhisi watarudishwa home.

3. Watanzania wapo wema pia ambao wengi wao wana maduka hasa JOBURG, DURBAN na PRETORIA, wanasaidia sana madogo wa TZ sema ndio hivyo madogo wengi ni miyeyusho na uhuni mwingi kiasi wanaweza hata kukuibia.

4. Watanzania wachache wapo miji kama PORT ELIZABETH, CAPE TOWN, BLOEMFONTEIN nk huko pia kuna mishe ila hakuna WATZ wengi sana nilivyoona hii miji ya huku kaskazini.

Nini kifanyike, binafsi natamani sana SERIKALI YETU ikae na Ya SA wakubaliane namna ya kuwachukua raia wetu wanateseka huku, magonjwa baridi kali, usalama nk. Ningekuwa RAIS ningeshusha MABASI KAMA 6 hapa sambamba na wanajeshi wetu kama 70 hivi, hawa wasaidiana na askari wa SA kupitia ubalozi wa TZ wasakwe mji mmoja hadi mwingine warejeshwe kwa lazima home lkn bila kufunguliwa mashtaka. Maana hilo ndilo vijana wengi huogopa.

All in All maisha ya SA ni rahisi kama unajituma na umejiepusha na maeneo hatarishi, na zaidi ukifanya kazi maeneo ya Wazungu wengi basi usalama wako unakuwa mkubwa kidogo, maana maeneo ya wazungu wengi kuna rate ndogo ya uhalifu.
 
Kumbuka sio wote wanafanya hizo biashara kwani kitu ambacho unauhakika nacho usikichukulie kama mada.
Nimekaa miaka saba pale nafanya biashara za halali kabisa kwani unawaharibia wengine.
Ukiweka uwanja mzuri wa maisha ni nani atayeondoka hapa nyumbani

Maisha ni mzunguko huko south mnapofuata fursa kuna wasouth wanaona Hamna fursa wanakwenda nchi nyingine

Uwanja unautengeneza mwenyewe ukisubiri kuwekewa utakufa maskini
 
Vipi walioajiriwa huko?
Unafanya kazi vizuri ila ukweli kuna wivu fulani unakuwa nao. Na ni rahisi mno mgeni kukujua hasa sisi kuanzai EAST mpaka WEST AFRICA. tuko na muonekano tofauti na wao, uvaaji, na hata aina yetu ya mikato ikiwa nywele nk.

Wasouth wengi hapa ni aina ya Wenye kipilipili kilichokomaa hivyo wao wengi hawana nywele nyingi, sio weusi sana, na hata ngozi zao huwa kama zina makovu fulani usoni ile kama michubuko hivi, wanapendelea para sana, mostly ni watu ambao hawatumii Kiingereza as a medium of communication, na wanapenda sana kutoboa sehemu za mwili, HERENI ndio saaana.

Wabongo wengi ni mabishoo, mikato ya kijanja mno, Nywele safi za zimekatwa kiumaridadi, hali hii hufanya pisi za South kupigwa nao sana, mwisho BIFU na hizo njema mpaka wanaleza pigo za DUDULA
 
Hii hapana, inategemea na aina ya kazi, SA kitu tunaita CRITICAL SKILLS, hizi ni taaluma ambazo zina uhaba hapa SA.

Mfano, Waalimu wa Hesabu/Hisabati, Sayansi kama PHYSICS nk, Wahasibu wabobezi wenye CPA, CA, CISA, ACCA nk

Mainjinia, madkati bingwa, madaktari wa mifugo nk

Kuna kada nyingi sana ambazo hapa SA hazina watu makini hivyo Serikali kupitoa Home affairs waliweka utaratibu wa kupata visa kwa kuangalia hizo taaluma.

Pia unaruhusiwa kuwa mfanyabiashara halali na kwa vibali vyote bila shida yoyote.

Ni kweli kuna uhalifu mkubwa na hii ni kwa sababu ya sera zao za tangia ubaguzi wa rangi. Nchi hii walishindwa kucontrol silaha tangu awali, yaan hata baada ya ubaguzi wa rangi kukomeshwa bado watu weusi wengi walikuwa wanamiliki silaha na hadi leo limekuwa tatizo sugu.

Kuna sheria za umiliki wa silaha na maduka yake ila kuna utaratibu kama ilivyo hapo home TZ.

Operesheni DUDULA ikiongozwa na makundi mawili makubwa ila maaraufu ni lile la N. LUX ambao wao wanachokosea ni ile kutaka uwaoneshe vibali vya kuishi ingali wao sio mamlaka ya serikali inayohusika na vibali hivyo.

Changamoto za Watanzania wa huku.

1. Hawana umoja, wengi walikuja huku kihuni hvyo hawaba vibali vya kuishi, hawana Pasipoti nk. Mbaya zaidi wengi wambao wameingia bila utaratibu ndio wamejiingiza kwenye uhalifu hasa maeneo ya KWA ZULU NATAL - DURBAN, JOBURG na PRETORIA.

2. Wengi si waelewa hata ukiwaambia twende ubalozini ukaangalie namna bora ya kupata Passport wanakataa na kuhisi watarudishwa home.

3. Watanzania wapo wema pia ambao wengi wao wana maduka hasa JOBURG, DURBAN na PRETORIA, wanasaidia sana madogo wa TZ sema ndio hivyo madogo wengi ni miyeyusho na uhuni mwingi kiasi wanaweza hata kukuibia.

4. Watanzania wachache wapo miji kama PORT ELIZABETH, CAPE TOWN, BLOEMFONTEIN nk huko pia kuna mishe ila hakuna WATZ wengi sana nilivyoona hii miji ya huku kaskazini.

Nini kifanyike, binafsi natamani sana SERIKALI YETU ikae na Ya SA wakubaliane namna ya kuwachukua raia wetu wanateseka huku, magonjwa baridi kali, usalama nk. Ningekuwa RAIS ningeshusha MABASI KAMA 6 hapa sambamba na wanajeshi wetu kama 70 hivi, hawa wasaidiana na askari wa SA kupitia ubalozi wa TZ wasakwe mji mmoja hadi mwingine warejeshwe kwa lazima home lkn bila kufunguliwa mashtaka. Maana hilo ndilo vijana wengi huogopa.

All in All maisha ya SA ni rahisi kama unajituma na umejiepusha na maeneo hatarishi, na zaidi ukifanya kazi maeneo ya Wazungu wengi basi usalama wako unakuwa mkubwa kidogo, maana maeneo ya wazungu wengi kuna rate ndogo ya uhalifu.
Mkuu ninakuteua uwe President, umeongea ukweli and always facts zinasaidia kuliko uongo, lawama, umeelezea changamoto na way forward to solve them, welldone mkuu,salute kwako
 
Uongo mkubwa sana huu
Yaani huyu jamaa ni Msanii kweli kweli, mwongo na anatuletea mada za kuwaogopesha vijana ambao wapo tayari to take risks na kujilipua ughaibuni, dunia imebadilika now nchi yeyote always ingilia mlangoni no matter what ,ukiingia kihalali ndani ni kujichanganya as soon as possible, na njia za haraka oa,olewa au jifanye wewe ni M2M guy(no kidding)
 
Yaani huyu jamaa ni Msanii kweli kweli, mwongo na anatuletea mada za kuwaogopesha vijana ambao wapo tayari to take risks na kujilipua ughaibuni, dunia imebadilika now nchi yeyote always ingilia mlangoni no matter what ,ukiingia kihalali ndani ni kujichanganya as soon as possible, na njia za haraka oa,olewa au jifanye wewe ni M2M guy(no kidding)
M2M guy ndiyo nini?
 
Back
Top Bottom