Nimepokea taarifa ya baadhi ya raia wa Afrika Kusini kuwataka wageni kuondoka nchini mwao

Nimepokea taarifa ya baadhi ya raia wa Afrika Kusini kuwataka wageni kuondoka nchini mwao

Mimi na wewe tunaliona hilo.

Lakini serikali yetu sijui kama wanaelewa umuhimu wa kuwarejesha Watanzania waliopo kule
Afrika Kusini tayari ni a failed state. Zamani walitudanganya kuwa makaburu ndiyo kikwazo lakini mpaka sasa nadhani wengi wameshajua ukweli uko wapi. Hawa watu ni wana matatizo sana na ndiyo maana makaburu waliamua kutenga sehemu zao za kuishi kwa ustaarabu na kuwakata kuingia huko. Hata wakifukuza wageni wote bado tu hawataweza kufanya chochote. Ukienda South Afrika na kuona jini majumba na sehemu nzuri walizojenga makaburu zilivyochakaa haki ya nani utaamini kuwa mtu mweusi ni hopeless. Kuhusu watanzania waliopo huko na wageni wengine kwa ujumla ni kwamba serikali ya watu weusi imeshindwa kuongoza na kuachia watu kuingia humo kama sokoni. Na mbaya zaidi wengi ya wanaoingia huko vibaka na wauza madawa.
 
Yes mkuu kuuawa kwa mtanzania mwenzetu ni huzuni kubwa kwetu wote, ILA Kuja na mada za kuleta mtafaruko sio vema,mataifa mengi raia wanauawa ndani ya SA including a lot of zimbabweans, na hakuna kauli iliyotolewa kuwa foreign citizens waondoke hiyo next march, na pia elewa wahamiaji sio wa Afrika tu,kuna wazungu wengi tu,Asians wengi tu,tusitarget Waafrika tu, wazamiaji wa SA bado fursa ipo ila make sure una passport na ingilia mlangoni sio kuruka ukuta ,utapewa 90days hizi ni siku nyingi kwa kuoa,kuolewa, etc etc ili uweze kuomba long term visa
Nina voice note nashindwa kuipandisha hapa. Inawataka wageni wote kuondoka Aftika Kusini.
 
Nina voice note nashindwa kuipandisha hapa. Inawataka wageni wote kuondoka Aftika Kusini.
Sawa mkuu Nami nitajitahidi kutumia connections zangu kufuatilia hii taarifa,InshaAllah tutapeana mrejesho
 
Ninayo voice note iliyotumwa na Mtanzania anayeishi huko.

Pia nina video ya maandamano ya tarehe 18 August 2022 yaliyofanyika jijini Pretoria
Welldone mkuu hiyo video ni ya akina mama waliochini ya DUDULA umbrella walioandamana kwenda jeshini?(ya tusishituke sana uhuru wao unaruhusu mambo mengi, wameandamana kwenye jeshini kushinikiza waingie mitaani kusaidia police ili illegal immigrants warudishwe kwao na mipaka iwe migumu kupita),wengine waliandamana kwenda Ford SA kulazimisha waajiriwe!!
 
Mkuu Kuja hapa na kichwa cha Habari kama hiki sio vema wakati unajua kabisa kuwa huu ni UONGO, na elewa humu SIO wote ni mazuzu, guy's huu ni uongo, kinachofanyika sasa hapo SA,kwanza home affairs yao imeamua not to extend Zimbabwe special permit, hii permit iliwaruhusu wazimbabwe waishi SA kwa muda wa 4yrs each na ilikua renewable, mwaka jana wameamua kuterminate hizi permits na wamepewa miezi 12 ili waombe permits zingine (SA wana zaidi ya 15 different types of permits),effects ni kubwa maana wazimbabwe ndio wengi ndani ya SA, na la muhimu mno SA sio kwamba inazuia immigrants kuingia, isipokua wanakutaka uingilie MLANGONI sio kuruka ukuta, hata sisi hapa nchini mgeni aingilie pale border sio Kuja na njia za panya, ukikamatwa utapigwa vibaya mno(ili usirudie tena)then jela au fine na rudi kwenu,maana huna adabu huwezi Kuja nyumbani kwangu kwa kuingilia dirishani wakati mlango upo wazi;DUDULA ni movement ambayo inatia pressure kwa serikali ili I deal na illegal immigrants, wenye permits halali wapo safe for now;watu wa viwanja msikatishwe tamaa na hoja kama hizi, tembea katafute maisha, make sure una passport, pitia MLANGONI na ukipewa 90days za visa,ikiingia badilisha kupata long visit visa
Unapotosha watu, kabla ya Dundula hao primitive black South African walikuwa na oparesheni yao waliita Shaya umtandae.
On serious note hao wajamaa huwa hawana mzaha, watu wao waliokufa ni wengi kuliko nyinyi, kwahiyo hawatanii, Raia was kigeni ambaye yupo salama South Africa ni wazungu tu, au tuseme watu weupe tu, usijidanganye nafsi yako.
 
Welldone mkuu hiyo video ni ya akina mama waliochini ya DUDULA umbrella walioandamana kwenda jeshini?(ya tusishituke sana uhuru wao unaruhusu mambo mengi, wameandamana kwenye jeshini kushinikiza waingie mitaani kusaidia police ili illegal immigrants warudishwe kwao na mipaka iwe migumu kupita),wengine waliandamana kwenda Ford SA kulazimisha waajiriwe!!
Makwelekwele ni wageni weusi wote ukiwemo wewe hamtakiwi.

Jiulize licha ya kuteswa na wazungu ni kwa mini oparesheni zao haziwahusu wazungu?

Ni Makwelekwele hawatakiwi siyo swala una makaratasi au huna makaratasi, ukijijuwa we we no kwelekwele unabet uhai wako mwenyewe usijidanganye unless kama unaishi na wazungu upon salama.
 
Makwelekwele ni wageni weusi wote ukiwemo wewe hamtakiwi.

Jiulize licha ya kuteswa na wazungu ni kwa mini oparesheni zao haziwahusu wazungu?

Ni Makwelekwele hawatakiwi siyo swala una makaratasi au huna makaratasi, ukijijuwa we we no kwelekwele unabet uhai wako mwenyewe usijidanganye unless kama unaishi na wazungu upon salama.
Acha uongo wa kutisha watu, mimi nipo lingusenguse next time usikisie andika kitu kama una ukweli nacho, weka source rasmi kuwa by March 2023, all blacks immigrants regardless their status wawe wameondoka SA?,wale wale wabongo wa diaspora mliojaa ubinafsi, guy's ukitaka kwenda SA kujaribu maisha nenda ila ingilia mlangoni, usiruke ukuta
 
Unapotosha watu, kabla ya Dundula hao primitive black South African walikuwa na oparesheni yao waliita Shaya umtandae.
On serious note hao wajamaa huwa hawana mzaha, watu wao waliokufa ni wengi kuliko nyinyi, kwahiyo hawatanii, Raia was kigeni ambaye yupo salama South Africa ni wazungu tu, au tuseme watu weupe tu, usijidanganye nafsi yako.
Kumbe una tatizo la upumbavu sio ujinga kuita binadamu wenzako primitive inaonyesha ni kiasi gani ulilelewa na wazazi wako, walikulea kikatili bila upendo, acha kutisha watu hakuna tamko rasmi kuhusu hilo!
 
Huenda hata vyombo vyetu vya usalama bado havina hii taarifa.
 
Kati ya nchi hatari zaidi kuishi kwa mtu mweusi ni south africa somalia yenyewe ina afadhali wenyeji wa kule ni wavivu kupindukia yani wao ni kulewa na kufanya starehe tu ile nchi ilitakiwa itawaliwe tena na wazungu ndio huu upumbavu utaisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati ya nchi hatari zaidi kuishi kwa mtu mweusi ni south africa somalia yenyewe ina afadhali wenyeji wa kule ni wavivu kupindukia yani wao ni kulewa na kufanya starehe tu ile nchi ilitakiwa itawaliwe tena na wazungu ndio huu upumbavu utaisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi wanafanya sema wanataka malipo makubwa sana.
 
Nimepokea hivi karibuni voice note kutoka kwa Mtanzania anayeishi Afrika Kusini. Sauti hiyo ya Dudula Master ambaye ni mhamasishaju mkubwa wa Xhenophobia ametoa onyo dhidi ya wageni wote kuondoka Afrika ya Kusini kuanzia tarehe 02 Septemba 2022 hadi March 2023.

Nchi zetu hususan Tanzania zinapaswa kuhakikisha usalama kwa raia wao wanaoishi kule kihalali na ikiwezekana kuweka utaratibu wa kuwaondoa raia wake Afrika ya Kusini.

Matishio haya yamekuwa yakifanyika bila hatua zozote kuchukuliwa hivyo inawezekana baadhi ya watumishi wa vyombo vya dola vya Afrika ya Kusini ni wahusika wa hizi operesheni dhidi ya wageni Afrika Kusini.

Hatulipi ubaya kwa ubaya bali kumtenga mtu mbaya ni sehemu ya kumpa fundisho dhidi ya mtenda ubaya. Ni wakagi sasa wa nchi za SADC kuitenga Afrika ya Kusini na ikiwezekana Umoja wa Africa (AU) kuiwekea vikwazo Afrika Kusini mpaka watakapoondoa vitisho dhidi ya usalama wa wageni ndani ya nchi hiyo.
View attachment 2327764

View attachment 2327204
Wale wavivu ws Kusni wameanza tena ushenzi.
 
Back
Top Bottom