Nimepokea taarifa ya baadhi ya raia wa Afrika Kusini kuwataka wageni kuondoka nchini mwao

Nimepokea taarifa ya baadhi ya raia wa Afrika Kusini kuwataka wageni kuondoka nchini mwao

V/note iliyowekwa, huyo mwanamama mtangazaji hajasema wenye vibali ama hapana, yeye kasema biashara zote za "wakuja" zifungwe period
Umeongelea video.
Moderators hawajaweka voicenote ya Dudula
 
Wanamakalio makubwa na figure za kibantu sijawahi ona ,vishundu haswa
 
Ubaguzi ni asili ya binaadamu
Yan kodi zetu na tozo zetu zitumeke tena kufuata watembezi kuwarudisha nyumban hapana serikal wasijarb
 
Kinachowatafuna South Africa na kitakachoendelea kuwatafuna zaidi ni kuwaruhusu wakaburu kumiliki Ardhi wakati sio Wazawa.

Asilimia kubwa ya Ardhi inamilikiwa na wakaburu wazawa hawana Uhuru wa nchi yao hivyo basi mkaburu anao uwezo wa kufanya chochote hata kuwalipa mishara midogo na kuajiri watu kutoka mataifa tofauti atakavyo yeye.

Kitakachokuja kutokea ni Waafrika kuumizana wenyewe kwa wenyewe imagine msouth ni muafrika akimpiga mkenya au mtanzania haitasaidia chochote zaidi ya kupoteza uhai wa mwafrika mwenzako tu.

Robert Mugabe alikua anaonekana mbaya lkn alikua sahihi kutetea Ardhi ya Taifa lake lkn kwa mtu mwenye maono ya mbali Wazungu tuishi nao tu kama wawekezaji au watalii lkn suala la kumiliki Ardhi libaki kwa wazawa bado kuna vizazi vijavyo hivi aridhi ikiuzwa kwa wageni unategemea wazawa wataishi wapi? Wanaotamani sana Africaka yetu.
Katika watu wasiokuwa na akili wewe unaongoza, katika Taifa lenye wageni wengi South Africa ni Zimbabwe.

Zimbabwe hakukaliki Kwa dhiki iliyosababishwa na Robert Mugabe Kwa kutumia akili kisoda kama wewe.
 
West Africans watajibu mapigo hasa Nigeria
Unajibu vipi hayo mapigo? Unajidanganya nafsi yako au unawadanganya wasiojuwa lolote, Bongo mpo kwenu huwa mnalazwa saa mbili usiku na vitoto vya panya road ndio sembuse unaongelea oparesheni Dundula? Unaijuwa? Umeshawahi kuona maandamano ya wazulu?
 
Mimi na wewe tunaliona hilo.

Lakini serikali yetu sijui kama wanaelewa umuhimu wa kuwarejesha Watanzania waliopo kule
Wangekuweko watoto wao wangeona hilo ila kama hawapo utaambiwa serikali haikuwatuma
 
Kinachowatafuna South Africa na kitakachoendelea kuwatafuna zaidi ni kuwaruhusu wakaburu kumiliki Ardhi wakati sio Wazawa.

Asilimia kubwa ya Ardhi inamilikiwa na wakaburu wazawa hawana Uhuru wa nchi yao hivyo basi mkaburu anao uwezo wa kufanya chochote hata kuwalipa mishara midogo na kuajiri watu kutoka mataifa tofauti atakavyo yeye.

Kitakachokuja kutokea ni Waafrika kuumizana wenyewe kwa wenyewe imagine msouth ni muafrika akimpiga mkenya au mtanzania haitasaidia chochote zaidi ya kupoteza uhai wa mwafrika mwenzako tu.

Robert Mugabe alikua anaonekana mbaya lkn alikua sahihi kutetea Ardhi ya Taifa lake lkn kwa mtu mwenye maono ya mbali Wazungu tuishi nao tu kama wawekezaji au watalii lkn suala la kumiliki Ardhi libaki kwa wazawa bado kuna vizazi vijavyo hivi aridhi ikiuzwa kwa wageni unategemea wazawa wataishi wapi? Wanaotamani sana Africaka yetu.
Pale kuna wazungu Wazawa, hawatambuliki kokote kule duniani zaidi ya Afrika kusini.
 
Nimepokea hivi karibuni voice note kutoka kwa Mtanzania anayeishi Afrika Kusini. Sauti hiyo ya Dudula Master ambaye ni mhamasishaju mkubwa wa Xhenophobia ametoa onyo dhidi ya wageni wote kuondoka Afrika ya Kusini kuanzia tarehe 02 Septemba 2022 hadi March 2023.

Nchi zetu hususan Tanzania zinapaswa kuhakikisha usalama kwa raia wao wanaoishi kule kihalali na ikiwezekana kuweka utaratibu wa kuwaondoa raia wake Afrika ya Kusini.

Matishio haya yamekuwa yakifanyika bila hatua zozote kuchukuliwa hivyo inawezekana baadhi ya watumishi wa vyombo vya dola vya Afrika ya Kusini ni wahusika wa hizi operesheni dhidi ya wageni Afrika Kusini.

Hatulipi ubaya kwa ubaya bali kumtenga mtu mbaya ni sehemu ya kumpa fundisho dhidi ya mtenda ubaya. Ni wakagi sasa wa nchi za SADC kuitenga Afrika ya Kusini na ikiwezekana Umoja wa Africa (AU) kuiwekea vikwazo Afrika Kusini mpaka watakapoondoa vitisho dhidi ya usalama wa wageni ndani ya nchi hiyo.
View attachment 2327764

View attachment 2327204
South Africa wale watu hawafai
 
Mimi washkaji zangu kibao wako south Africa yaani kwetu ndo mchezo huo.

Na pia nipo kweny group fulani hivi la sailors wanaoishi south africa ila kiukweli hali sio shwali haipiti siku mbili bila ya kutangazwa msiba Kuna kiongozi amejitolewa katika kusimamia watanzania wenzio mungu amlipe anaitwa Mohamed msangi Taliban ...Jamaa daily anatangaza misiba na kuhakikisha wameletwa bongo.

Mwaka Jana tumzika washkaji wawili juzi katia jamaa mmoja anasema wameanza kupigwa search mwanzo mwisho na kipigo hali ni ngumu mno huko sio pazuri.
Mohamed msangi namkubali sana huyu mwamba masela mavi wanapigana visu huko wanauana lakini jamaa hachoki kusimamia shughuli zote za kuwahifadhi maiti na kusafirisha muonekano wake wa upole na usheikh unafanana na matendo yake,sema ananiudhi ni shabiki wa makolo
 
Group yetu wengi walitawanyikia UK wengine Switzerland hasa wazee wanyeupe, pale Golden Acre mall underground ndio tulikuwa foreigner wa kwanza kuthubutu kuchukuwa space to rent na kuweka Salon la kijanja.
Noma sana!! Haya maneno uliyaongeaga miaka kama mitano iliyopita big up kwa kupambana mkuu!! Madogo zangu kina Shukuru wa Sobibor na Kina Mensah Edwards bado wapo Dizonga na wameoa kabisa wazuluzulu hofu yangu wasije wakapigwa matukio na hawa wanawake aisee
 
Unajibu vipi hayo mapigo? Unajidanganya nafsi yako au unawadanganya wasiojuwa lolote, Bongo mpo kwenu huwa mnalazwa saa mbili usiku na vitoto vya panya road ndio sembuse unaongelea oparesheni Dundula? Unaijuwa? Umeshawahi kuona maandamano ya wazulu?

Watajibu mapigo kwenye nchi zao, ndio maana kipindi kile walichoma maduka ya waSA huko Nigeria
 
Noma sana!! Haya maneno uliyaongeaga miaka kama mitano iliyopita big up kwa kupambana mkuu!! Madogo zangu kina Shukuru wa Sobibor na Kina Mensah Edwards bado wapo Dizonga na wameoa kabisa wazuluzulu hofu yangu wasije wakapigwa matukio na hawa wanawake aisee
Mtu yeyote anayeongea kizulu Kwa ufasaha yupo Salama.

Kuna namna ya kuishi kama wao hata kuvaa kama wao.
Ule msemo wa ukienda Roma ishi kama Waroma ndio inabidi uutumie Kwa vitendo ukiwa unaishi na jamii ile.
Kuna mshkaji anaitwa George yeye aliowa wale wazulu wakimbizi kabisa kule morogoro mazimbu, walipopata Uhuru yule mshkaji ni mtanzania lakini waliondoka Nate, anaishi Soweto kabisa Kwa washenzi wa tabia na yuko safe na anauza pombe nyumbani kwake.
 
Mohamed msangi namkubali sana huyu mwamba masela mavi wanapigana visu huko wanauana lakini jamaa hachoki kusimamia shughuli zote za kuwahifadhi maiti na kusafirisha muonekano wake wa upole na usheikh unafanana na matendo yake,sema ananiudhi ni shabiki wa makolo
🤣🤣🤣Unamjua vyema kumbe
 
Back
Top Bottom