Nimepokea taarifa ya baadhi ya raia wa Afrika Kusini kuwataka wageni kuondoka nchini mwao

Nimepokea taarifa ya baadhi ya raia wa Afrika Kusini kuwataka wageni kuondoka nchini mwao

Wewe ni mpumbavu wa kwanza maana wa mwisho ana afadhali, wakati Raise akiwa Frederick De Cleck nilikuwa hapo, Mandela anapigiwa kura Niko hapo, Thabo Mbeki anaachiwa Urais na Mandela Niko hapo, nimetoka hapo kwenda Uingereza nimeruka Jan Smarts airport sasa hivi mnaita Oliver Tambo airport.

Tafuta watoto wenzanko wa kuwadanganya kuhusu hao "Primitive wanyama" nawajuwa kuliko ninavyowajuwa Watanzania.

Kama una akili timamu waeleze watu hapa ni kwa nini wazungu wote na watu weupe wote bila kujari ni RAIA au siyo RAIA wapo salama kuliko MTU mweusi mgeni?

Ni kwa nini waafrika wenzenu wanawaita jina la kibaguzi Makwelekwele?

Hao watu ni Primitive napigia mstari.
 
Unapotosha watu, kabla ya Dundula hao primitive black South African walikuwa na oparesheni yao waliita Shaya umtandae.
On serious note hao wajamaa huwa hawana mzaha, watu wao waliokufa ni wengi kuliko nyinyi, kwahiyo hawatanii, Raia was kigeni ambaye yupo salama South Africa ni wazungu tu, au tuseme watu weupe tu, usijidanganye nafsi yako.
Naona mafresh wanaongea uongo kwa kupata taarifa mbili tatu raia wa SA atajuaje kuwa huyu ana vibali au laa...watu weusi wengi hawana Elimu hii ishu ya ugumu wa maisha kwa Nchi nyingi za Afrika wasauzi wanaamini wageni ndio wanachangia huyo fresh anasema ilegal Wasauzi mgeni yeyote wanamwita kwerekwere ili kujitenga nae SA sio salama kwa wageni uwe kiharali au laa wana ubaguzi wa ajabu sana...
 
Wewe ni mpumbavu wa kwanza maana wa mwisho ana afadhali, wakati Raise akiwa Frederick De Cleck nilikuwa hapo, Mandela anapigiwa kura Niko hapo, Thabo Mbeki anaachiwa Urais na Mandela Niko hapo, nimetoka hapo kwenda Uingereza nimeruka Jan Smarts airport sasa hivi mnaita Oliver Tambo airport.

Tafuta watoto wenzanko wa kuwadanganya kuhusu hao "Primitive wanyama" nawajuwa kuliko ninavyowajuwa Watanzania.

Kama una akili timamu waeleze watu hapa ni kwa nini wazungu wote na watu weupe wote bila kujari ni RAIA au siyo RAIA wapo salama kuliko MTU mweusi mgeni?

Ni kwa nini waafrika wenzenu wanawaita jina la kibaguzi Makwelekwele?

Hao watu ni Primitive napigia mstari.
Wengi wameingia jana na kutaka kuleta story za uongo ukiwauliza mnajua habari za Guguletu,khayelitsha huko au kule kwa warangi rangi wanakupa story za jumla eti Jozii tuu.muda mwingine inabidi tuwe tunawasoma na uongo wao tuu...
 
hayo matukio yangekua yanafanywa na waarabu au wazungu kwa watu weusi Dunia ingesimama, wazee wa Black Live Matter wangepamba moto, lakini as long as yanafanywa na mtu mweusi mwenzetu Its cool.
Waafrika Ni nyani waliochangamka tu.
 
Maisha ni mzunguko huko south mnapofuata fursa kuna wasouth wanaona Hamna fursa wanakwenda nchi nyingine

Uwanja unautengeneza mwenyewe ukisubiri kuwekewa utakufa maskini
Nchi ambayo wanaidafi ndogo sana ya kutoka au hawatokagi kwao ni hawa jamaa
 
Nimepokea hivi karibuni voice note kutoka kwa Mtanzania anayeishi Afrika Kusini. Sauti hiyo ya Dudula Master ambaye ni mhamasishaju mkubwa wa Xhenophobia ametoa onyo dhidi ya wageni wote kuondoka Afrika ya Kusini kuanzia tarehe 02 Septemba 2022 hadi March 2023.

Nchi zetu hususan Tanzania zinapaswa kuhakikisha usalama kwa raia wao wanaoishi kule kihalali na ikiwezekana kuweka utaratibu wa kuwaondoa raia wake Afrika ya Kusini.

Matishio haya yamekuwa yakifanyika bila hatua zozote kuchukuliwa hivyo inawezekana baadhi ya watumishi wa vyombo vya dola vya Afrika ya Kusini ni wahusika wa hizi operesheni dhidi ya wageni Afrika Kusini.

Hatulipi ubaya kwa ubaya bali kumtenga mtu mbaya ni sehemu ya kumpa fundisho dhidi ya mtenda ubaya. Ni wakagi sasa wa nchi za SADC kuitenga Afrika ya Kusini na ikiwezekana Umoja wa Africa (AU) kuiwekea vikwazo Afrika Kusini mpaka watakapoondoa vitisho dhidi ya usalama wa wageni ndani ya nchi hiyo.
View attachment 2327764

View attachment 2327204
Hameni Tanzanika kuna tozo zhamieni Afrika Kusini maisha ni rahisi mno huko.
 
Nchi ambayo wanaidafi ndogo sana ya kutoka au hawatokagi kwao ni hawa jamaa
Nchi ambayo passport anaomba na kupata kirahisi hata akiamua kuombea Bank anapata na wao kwenda Nchi nyingi mambo ya Visa hawasumbuliwi mnaongea hivyo Wasauzi wengi wenye Exposure wapo nje mpaka Tanzania huko wanapiga pesa...
 
Wengi wameingia jana na kutaka kuleta story za uongo ukiwauliza mnajua habari za Guguletu,khayelitsha huko au kule kwa warangi rangi wanakupa story za jumla eti Jozii tuu.muda mwingine inabidi tuwe tunawasoma na uongo wao tuu...
Umesahau location ya Langa mkuu, pale Woodstock home finder nilikuwa miongoni mwa wabongo wa kwanza kufunguwa milango watu kuishi town badala ya kukaa location na maprimitive, treni mwisho saa 12 jioni na tax mwisho Saa moja usiku.

Those good days gari moja mnaweza kuinunuwa watu wawili au watatu mkaimiliki kwa pamoja kuwasaidia misele, nimemkumbuka Mwajeki ndio miaka wameshika ela ya nyeupe C3.
 
Yes mkuu ILA elewa SA ni nchi kama yetu na ina sheria zake za uhamiaji, why uruke ukuta na sio kupitia mlangoni wakati upo wazi, mimi ningekua immigrations officer ninakukamata huku lingusenguse ukiwa illegal immigrants, utachezea kipigo cha mbwa koko,maana umenidhalilisha mimi na nchi yangu kuwa hatuwezi kulinda nyumba(nchi yetu) na njia uliyojia ndio utarudi nayo na mikwaju mgongoni ili ukawaonyeshe wenzako kuwa ukitaka kuingia Tanzania pitiable mlangoni sio njia za panya,ukipita njia za panya means kuwa wewe ni panya na nitakufanya uwe panya
wee jamaa unaishia south kweli au mjinga mmoja upo simiyu uko??? unajua ni wageni wangapi huwa wanauliwa south sababu ya vurugu za xenophobia hata kama wana vibali maalumu za kuishi?? hivi mtu anaweza anzisha biashara kubwa kama maduka alafu hana permit halali ya kuishi south??? acha kuwatetea wale wapuuzi wanachofanya wasidhani huku nchi zetu hakuna wasouth this time na wao wataonja joto ya jiweee
 
Nchi ambayo passport anaomba na kupata kirahisi hata akiamua kuombea Bank anapata na wao kwenda Nchi nyingi mambo ya Visa hawasumbuliwi mnaongea hivyo Wasauzi wengi wenye Exposure wapo nje mpaka Tanzania huko wanapiga pesa...
Uingereza pale Slough ni sehemu wanaishi Wasouth Africa wengi sana.
Vijana wengi wanaojitambuwa ambao wako under age wanatumia sana working holiday viza, ukitengeza pound za kutosha ukirudi South Africa ukibadirisha kuwa Rand hukamatiki, na ndio siri ya Wanigeria kuwa raia wa kigeni wanaoheshimika South Africa wengi wamekwenda pale wanatoka mamtoni wana cash, ukichange kuwa Rand ndio unakuta Mnigeria ana jeuri ya kukodi apartment Sea point au Camps bay na anakaa peke yake na mtaani anakokota Audi new model na pembeni ana pisi Kali ya kirangirangi, hawa hizi oparesheni dundula wanaziona kwenye TV tu.
 
wee jamaa unaishia south kweli au mjinga mmoja upo simiyu uko??? unajua ni wageni wangapi huwa wanauliwa south sababu ya vurugu za xenophobia hata kama wana vibali maalumu za kuishi?? hivi mtu anaweza anzisha biashara kubwa kama maduka alafu hana permit halali ya kuishi south??? acha kuwatetea wale wapuuzi wanachofanya wasidhani huku nchi zetu hakuna wasouth this time na wao wataonja joto ya jiweee
Wahuni wanachoma Mall na vitu vingine vya wageni mtu leo anakuja kuongea kana kwamba wengine hawaoni..pana Mnigeria walimchomea gari karibu 16 kwenye yard anayouza huko Jeppe Town ila hawa wanaoangalia duduza online wanataka kutoa habari za kupotosha..
 
Umesahau location ya Langa mkuu, pale Woodstock home finder nilikuwa miongoni mwa wabongo wa kwanza kufunguwa milango watu kuishi town badala ya kukaa location na maprimitive, treni mwisho saa 12 jioni na tax mwisho Saa moja usiku.

Those good days gari moja mnaweza kuinunuwa watu wawili au watatu mkaimiliki kwa pamoja kuwasaidia misele, nimemkumbuka Mwajeki ndio miaka wameshika ela ya nyeupe C3.
Yap nakukumbuka mimi tulionana mara moja pale kwenye mjengo wako uliomwachia Chaa west woodstoke ulihamia sijui Rose bank muda mrefu sana pana rafiki yake Chaa akikua na roho mbaya balaa nae alikuja UK sijui aliishia wapi..enzi hizo Wasauzi wakimuona mgeni wanaweza kumtupa hata nje ya treni huku likiwa linatembea pana case moja iliniuzunisha jamaa alipanda juu ya treni akafa kwa kugusa umeme wa treni akikimbia asipigwe visu na wakhosa miaka hiyo leo hii anatokea mtu anakwambia mambo ya vibali ..
 
Ila sisi watu maskini tunayumba sana baada ya kutofanya kazi tunaona Mwafrika mwenzetu ndio anatukwamisha na unaacha wahindi na wazungu wanaiba nchi
 
Back
Top Bottom