Nimepotea naona giza kwa hii anasa

Nenda hospitali Mloganzila omba wakuondoe nguvu za kiume kwa muda wa miaka 3/4 kisha urudishiwe tena.
Itakusaidia.
 
Mkuu, baki huko huko, mahusiano yanatesa sana, ndoa ndo janga kubwa sana mtaani

Kumbuka: Kila mwanamke anafanya biashara ya ukahaba isipokuwa mama yangu. Sema system ya malipo ndo inatofautiana

Pia, ndoa ni utapeli
 
 
Msaidie mpe binti yako.
Usikurupuke.

Uislam ni mwema sana, upo wazi kabisa, soma:
Qur'an24:
1.
HII NI SURA Tuliyo iteremsha na tukailazimisha; tukateremsha ndani yake Aya zilizo wazi ili mkumbuke. 1
2. Mzinifu mwanamke na mzinifu mwanamume, mtandikeni kila mmoja katika wao bakora mia. Wala isikushikeni huruma kwa ajili yao katika hukumu ya Mwenyezi Mungu, ikiwa nyinyi mnamuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Na lishuhudie adhabu yao kundi la Waumini. 2
3. 3mzinifu haolewi ila na mwanamume mzinifu au mshirikina. Na hayo ya. Mwanamume mzinifu hamwoi ila mwanamke mzinifu au mwanamke mshirikina. Na mwanamke meharimishwa kwa Waumini. 3
4. Na wanao wasingizia wanawake mahashumu, kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovu 4
5. Isipo kuwa wale walio tubu baada ya hayo na wakatengenea; kwani bila ya shaka Mwenyezi Mungu ni Msamehevu, Mwenye kurehemu. 5

Hapo ni wazi umeielewa hukumu ya huyo kijana kwenye alilolileta.
 
Mara 2 kwa mwezi unasema uraibu? Mimi kuna kipindi nikiwa dar nimegegeda sana Malaya pale sinza mori, kwa wiki Mara 3 sasa nakushangaa unaposema ati Mara 2 kwa mwezi umekuwa mraibu.
 
Pole!

Umeoa!?

Kama hujaoa oa Ili uwe bize na life utakosa hata muda wa kwenda huko!

Kama hujaoa na unalala alone automatic upweke unakuumbua na mwiba husimama sana na kwa fujo ukiwa mwenyewe na mpweke!
Hilo sio tatizo hi hitaji la dume lolote la mammalia!!!

Take that!!
 
Wapo viumbe waliumbwa hawamkosei mungu wao . sisi ni binadamu.
hakuna asie na dhambi ila unajua kabisa nazini naunafahamu ni kosa hilo lilikuwa ni kusudio la uhalisia hakuna mwanadamu aliemkamilifu aana kudanganya ama kuteta wizi na mengine mengi tu ambazo hatutakiwi kuwa navyo ikiwa unafamu muelishe aache kwa mfano unafanya kazi kisha unamuibia bosi wako anakukamata unaomba radhi unarudia anakukamata tena unaomba radhi anakusamehe unarudia tena anakufukuza ni lazima tuelezane ukweli
 
Fanya toba,omba Mungu akusaidie
 
Mimi nakushauri ushauri utakaokufaa umejaribu kutafuta msaada umekosa mpokee YESU akata hiyo kiu ya kufata madada poa na utakuwa huru kabisa jaribu uone sikutanii huu ndio msaada pekee kwako pengine hutapata msaada wowote nitafute Kwa hii namba na nitakuombea 0658183618
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…