Nimepoteza marafiki kisa mke wangu!

Na nitoe ushauri kwa wanawake,,ukiwa penda ndugu wa mume hata ikitokea tatizo kati yenu tambua utapata sapoti kubwa toka kwa ndugu wa mume,,yaani watasimama na wewe mwanzo mwisho,,bahati mbaya wengi wenu hamlijui hili
 
Ili mwanamke akutawale lazima akutenge na rafiki/jamaa zako. Kwa hilo keshafanikiwa. Sasa ni mwendo wa wewe kutii shuruti bila sheria😂😂😂
 
Asanteni wote kwa mawazo yenu, nafuatilia comments zote ili nitoke na maazi sahihi. Siwezi kumjibu kila mmoja lakini ntakachokifanya hapa ni "Wengi wape". Kwa sababu niliyona moyoni ni mengi kuliko niliyoyaandika.
 
Shida ni kuwa mkewe hajavunja cycle za upande wake (marafiki zake na ndugu zake) mke wa namna hiyo ni mbinafsi hafai.
Kama ni cycle alipaswa avunje zote za mumewe na zake pia wabaki wawili tu na watoto wao.
Sahihi
 
Ukishaoa/Olewa kuna vitu automatic inability uachane navyo kabisa au upunguze mojawapo ni hilo last marafiki especially wa jinsia tofauti au hata wa jinsia yako tu

So ni kuchagua mke au marafiki!
The choice is yours


Cc Smart911
 
Ukishaoa/Olewa kuna vitu automatic inability uachane navyo kabisa au upunguze mojawapo ni hilo last marafiki especially wa jinsia tofauti au hata wa jinsia yako tu

So ni kuchagua mke au marafiki!
The choice is yours


Cc Smart911
Ooh kumbe watu wakioana inabidi waje ndugu wa mwanamke tu ila ndu wa mwanaume wakija mke achukie. Safi sana
 
Amekuokoa, mkeo ana akili kashaona hamna kitu mule, yale ni magalasa.
Fukuzwa kazi leo ama pata tatizo kubwa afu uone kama kati ya hao ukipiga simu atapokea.
 
Ushauri mzuri sana huu
 
Pole, ila hapa hakuna mwanaume. Umeolewa tayari.
 
Sio marafiki tu mpaka ndugu hawataki mkuu
Wee nao hapo si ndo pa kutobolea.
We kila kitu mpakazie mkeo kwamba hapendi.
Omba Mungu usipatwe na tatizo na wale washkaji waliokusaidia ukawatosa ukawafata watakubalasa ukafie kwa mkeo.
Mkeo nae atatimka ndio utajua rangi za rainbow zikoje.
Na ujifunze Namna ya kupiga makofi style tofauti itasaidia
 
Wee nao hapo si ndo pa kutobolea.
We kila kitu mpakazie mkeo kwamba hapendi.
Omba Mungu usipatwe na tatizo na wale washkaji waliokusaidia ukawatosa ukawafata watakubalasa ukafie kwa mkeo.
Mkeo nae atatimka ndio utajua rangi za rainbow zikoje
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…