Nimepoteza marafiki kisa mke wangu!

Nimepoteza marafiki kisa mke wangu!

Umeshayakanyaga amini kwamba mkeo ana roho mbaya yachoyo na ubinafsi uliokubuhu, unajua ni kwanini? Kwa sababu kwake yeye anaona ni sawa kuwa karibu na ndugu na marafiki lakini kwako anaumia, huyo ni zaidi ya mchawi.

Kuna jamaa yangu nae n hivyo hivyo, mkewe ana kiroho kunguni kama hicho lakini wakipata shida mbio kwa marafiki shida ikikata ndio basi, mwanamke saa 12 jion anataka jamaa awe ndani na jamaa anafyata.
 
Matumaini yangu mlio wengi humu ndani mlikua na weekend njema.

Ni miaka sita sasa tangu nimeoa na nimebarikiwa kua na watoto wawili. Kabla sijaoa nilikua nna marafiki wengi na bahati nzuri rafiki hao angalau wanajiweza wao wenyewe na familia zao. Namshukuru sana Mungu kwa ajili yao kwa sababu kwa namna moja au nyingine ndio walionifanya nibadili maisha ya kisela ya kibachela na kuamua nami niwaige kua na familia. Niliona kabisa nahitaji kufanya hivyo ili niendane nao.

Huyu mke wangu anawafahamu vizuri rafiki zangu hata kabla sijamuoa, ingawa kuna tabia alikua anaionesha ya kuchukia/kukasirika hasa nnapomwambia nipo na marafiki zangu au la pale anaponiona na marafiki zangu. Wakija kunitembelea nyumbani alikua anawapokea vizuri na anawachangamkia.

Lakini mambo yalibadilika ghafla baada ya kufunga nae pingu za maisha.

Anaonesha dhahiri kwamba hawataki rafiki zangu. Hataki waje nyumbani wala hataki mimi niende kuonana nao. Anataka nikitoka kazini moja kwa moja nyumbani, weekends anataka tushinde nyumbani tu. Akisikia hodi ya rafiki yangu yoyote atanuna siku nzima. Anasema wananiharibu, amesahau hao hao ndio walionifanya nimenunua kiwanja na kujenga nyumba, nilinunua gari kwa msaada wa rafiki zangu haohao. Vingi nilivyonavyo nimevipata kwa kua inspired nao.

Hata kumchagua yeye nimuoe, ingawa hajui lakini rafiki hao ndio walinishauri kwamba anafaa zaidi yeye kuliko wengine nilio kua nao. Hataki ndugu, hataki mtu yoyote mgeni zaidi ya rafiki zake au ndugu zake tu.

Kwa sasa rafiki zangu hao pamoja na kumtetea sana mke wangu, wameshagundua kwamba wanajibembeleza sana kuja kwangu. Wote wamekata mguu, imebaki mimi kuwatafuta lakini kila mmoja sasa hivi anaonekana anahamsini zake.

Furaha ya mke wangu ni kuniona mimi tu pembeni yake muda wote. Sina mawazo mapya sababu sijumuiki na wenzangu. Nimekua kama msukule sipati marafiki wapya na niliokua nao hawapo tena.

Hivi majuzi nimepata kibarua mkoani, nimepata angalu muda wa kuwapigia, lakini muamko wao si kama wa zamani.

Naombeni ushauri wenu, nyumba yangu kubwa lakini haivutii kabisa wala siipendi kwa sababu inasisi watu wazima wawili na watoto wawili ambao nao wanashinda shule. Muda mwingi ipo kimya kama wanga vile 😭😭
Sasa mbona ni kitu kizuri?tena aongeze ukali zaidi. Marafiki kutana nao kwa kiasi na kuja nyumbani ni mara chache hasa kama kuna shughuli....huo ndio ukuaji. Mbona wazazi wako uliwaacha?
 
Ili arudi kwa marafiki wanywa gonho wenzake. Ukishaamua kuoa na kuwa na familia, rafiki zako wa kweli ni mkeo na watoto na sio hao wa mitaani.
Hao hao marafiki wanywa gongo ndiyo walimpendekeza huyo mwanamke. Kama ukiona wanywa gongo hawana maana basi hata huyo mwanamke aliyechaguliwa na wanywa gongo hana maana kwahiyo naye apigwe chini
 
Ushauri wako hautekelezeki
Usipokuwa makini na marafiki wa mwenza wako ndoa inaweza ika fail
Sababu ya mtoa mada ni nyepesi sana kumbuka katika dunia rafiki huja na kuondoka ila familia inadumu
Hao marafiki ndiyo waliomshawishi jamaa aoe huyo mwanamke. Hao marafiki ndiyo waliomsaidia jamaa ajenge nyumba na kununua gari. Sasa ukisema hao marafiki waondoke basi hata huyo mwanamke naye aondoke jamaa afanye uchaguzi upya
 
Matumaini yangu mlio wengi humu ndani mlikua na weekend njema.

Ni miaka sita sasa tangu nimeoa na nimebarikiwa kua na watoto wawili. Kabla sijaoa nilikua nna marafiki wengi na bahati nzuri rafiki hao angalau wanajiweza wao wenyewe na familia zao. Namshukuru sana Mungu kwa ajili yao kwa sababu kwa namna moja au nyingine ndio walionifanya nibadili maisha ya kisela ya kibachela na kuamua nami niwaige kua na familia. Niliona kabisa nahitaji kufanya hivyo ili niendane nao.

Huyu mke wangu anawafahamu vizuri rafiki zangu hata kabla sijamuoa, ingawa kuna tabia alikua anaionesha ya kuchukia/kukasirika hasa nnapomwambia nipo na marafiki zangu au la pale anaponiona na marafiki zangu. Wakija kunitembelea nyumbani alikua anawapokea vizuri na anawachangamkia.

Lakini mambo yalibadilika ghafla baada ya kufunga nae pingu za maisha.

Anaonesha dhahiri kwamba hawataki rafiki zangu. Hataki waje nyumbani wala hataki mimi niende kuonana nao. Anataka nikitoka kazini moja kwa moja nyumbani, weekends anataka tushinde nyumbani tu. Akisikia hodi ya rafiki yangu yoyote atanuna siku nzima. Anasema wananiharibu, amesahau hao hao ndio walionifanya nimenunua kiwanja na kujenga nyumba, nilinunua gari kwa msaada wa rafiki zangu haohao. Vingi nilivyonavyo nimevipata kwa kua inspired nao.

Hata kumchagua yeye nimuoe, ingawa hajui lakini rafiki hao ndio walinishauri kwamba anafaa zaidi yeye kuliko wengine nilio kua nao. Hataki ndugu, hataki mtu yoyote mgeni zaidi ya rafiki zake au ndugu zake tu.

Kwa sasa rafiki zangu hao pamoja na kumtetea sana mke wangu, wameshagundua kwamba wanajibembeleza sana kuja kwangu. Wote wamekata mguu, imebaki mimi kuwatafuta lakini kila mmoja sasa hivi anaonekana anahamsini zake.

Furaha ya mke wangu ni kuniona mimi tu pembeni yake muda wote. Sina mawazo mapya sababu sijumuiki na wenzangu. Nimekua kama msukule sipati marafiki wapya na niliokua nao hawapo tena.

Hivi majuzi nimepata kibarua mkoani, nimepata angalu muda wa kuwapigia, lakini muamko wao si kama wa zamani.

Naombeni ushauri wenu, nyumba yangu kubwa lakini haivutii kabisa wala siipendi kwa sababu inasisi watu wazima wawili na watoto wawili ambao nao wanashinda shule. Muda mwingi ipo kimya kama wanga vile 😭😭
Wanaume wa kweli wenye misimamo tumebaki wachache...Hata hili linakushinda kuamua
 
Kama baba kiongozi wa familia sometime bila kuwa mkoloni flan mambo hayaendi.

Ifike mahala mwanaume ukiongea ndani wengine kimya and its final. Hakuna Hakuna Tu Wahed [emoji16][emoji16]

Supreme Breadwinner Ndio Wewe Alaf Mke Aje Kukupanda Kichwani. Haipo Hyo.

NB: Sijasema umdharau wala kutomjali mkeo.
Sure KABISA Mkoloni anaonekana hafai Ila ana faida zake behind the scenes
 
Matumaini yangu mlio wengi humu ndani mlikua na weekend njema.

Ni miaka sita sasa tangu nimeoa na nimebarikiwa kua na watoto wawili. Kabla sijaoa nilikua nna marafiki wengi na bahati nzuri rafiki hao angalau wanajiweza wao wenyewe na familia zao. Namshukuru sana Mungu kwa ajili yao kwa sababu kwa namna moja au nyingine ndio walionifanya nibadili maisha ya kisela ya kibachela na kuamua nami niwaige kua na familia. Niliona kabisa nahitaji kufanya hivyo ili niendane nao.

Huyu mke wangu anawafahamu vizuri rafiki zangu hata kabla sijamuoa, ingawa kuna tabia alikua anaionesha ya kuchukia/kukasirika hasa nnapomwambia nipo na marafiki zangu au la pale anaponiona na marafiki zangu. Wakija kunitembelea nyumbani alikua anawapokea vizuri na anawachangamkia.

Lakini mambo yalibadilika ghafla baada ya kufunga nae pingu za maisha.

Anaonesha dhahiri kwamba hawataki rafiki zangu. Hataki waje nyumbani wala hataki mimi niende kuonana nao. Anataka nikitoka kazini moja kwa moja nyumbani, weekends anataka tushinde nyumbani tu. Akisikia hodi ya rafiki yangu yoyote atanuna siku nzima. Anasema wananiharibu, amesahau hao hao ndio walionifanya nimenunua kiwanja na kujenga nyumba, nilinunua gari kwa msaada wa rafiki zangu haohao. Vingi nilivyonavyo nimevipata kwa kua inspired nao.

Hata kumchagua yeye nimuoe, ingawa hajui lakini rafiki hao ndio walinishauri kwamba anafaa zaidi yeye kuliko wengine nilio kua nao. Hataki ndugu, hataki mtu yoyote mgeni zaidi ya rafiki zake au ndugu zake tu.

Kwa sasa rafiki zangu hao pamoja na kumtetea sana mke wangu, wameshagundua kwamba wanajibembeleza sana kuja kwangu. Wote wamekata mguu, imebaki mimi kuwatafuta lakini kila mmoja sasa hivi anaonekana anahamsini zake.

Furaha ya mke wangu ni kuniona mimi tu pembeni yake muda wote. Sina mawazo mapya sababu sijumuiki na wenzangu. Nimekua kama msukule sipati marafiki wapya na niliokua nao hawapo tena.

Hivi majuzi nimepata kibarua mkoani, nimepata angalu muda wa kuwapigia, lakini muamko wao si kama wa zamani.

Naombeni ushauri wenu, nyumba yangu kubwa lakini haivutii kabisa wala siipendi kwa sababu inasisi watu wazima wawili na watoto wawili ambao nao wanashinda shule. Muda mwingi ipo kimya kama wanga vile 😭😭
Kwisha habari yako
 
Ili arudi kwa marafiki wanywa gonho wenzake. Ukishaamua kuoa na kuwa na familia, rafiki zako wa kweli ni mkeo na watoto na sio hao wa mitaani.
Kuna changamoto akizipata mke na watoto wataishia kulia tu.

Kama ni marafiki wazuri kaa na mkeo mueleweshe. Atazoea tu.
 
Hao marafiki ndiyo waliomshawishi jamaa aoe huyo mwanamke. Hao marafiki ndiyo waliomsaidia jamaa ajenge nyumba na kununua gari. Sasa ukisema hao marafiki waondoke basi hata huyo mwanamke naye aondoke jamaa afanye uchaguzi upya
Marafiki hawawezi kukushauri Uoe Wala ujenge haya maamuzi mtu huwa anafanya yeye mwenyewe kwa kuangalia na kutathmini uwezo wake
Yes wanaweza kuwa na mchango ila sio mkubwa kiasi Cha kusema kama sio wao basi usingefanya
Kifupi jamaa anaweza kuwa kamchoka huyo mwanamke Sasa anatafuta scape goat ili atimize malengo yake but nothing bits a woman who gave him two beautiful children ye afurahishe familia yake na sio marafiki
 
Back
Top Bottom