DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Mkuu umenichekesha sana.Naww nenda kwenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umenichekesha sana.Naww nenda kwenu
Hongera sana.Hatukua na ugomvi kwa kuwa tuliishi vizuri tuu ila huko kipindi cha nyuma tuliwahi kukwaruzana kama sehemu ya binadamu. Vipi kuhusu ndugu zake wanaomtafuta niwajibu nini?
Enda kapige ripoti ya mtu kupotea, kituo cha polisi karibu na wewe. Mashahidi ni majirani zakoHatukua na ugomvi kwa kuwa tuliishi vizuri tuu ila huko kipindi cha nyuma tuliwahi kukwaruzana kama sehemu ya binadamu. Vipi kuhusu ndugu zake wanaomtafuta niwajibu nini?
Usiwaambie. Na ukiweza piga kamba mitaa ya karibu na ukweni kwa siku utazokuwa huko. Utajionea dalili za kama kweli Mtoto wao hayupo Chamwino ama laaah wanakuektia!Kama dalili zipi?na jee hata wakwe nisiwadokeze ujio wangu?
Mkuu nipo Dodoma naomba nipe account yake ya facebook na namba yake ya Simu nikusaidie kumtafuta huwezi kupatwa na msongo wa Mawazo wakati mimi nipo Dodoma.Nafanya kazi mbali na ninapoishi kwa hiyo huwa ninalala huko ninakofanyia kazi ambako nimepanga chumba cha dharura.
Siku ya jtano wiki hii niliagana na mke wangu kuwa naelekea kazini na nitarudi siku ya alhamisi au ijumaa akaitikia na tukaagana vizuri.
Mshtuko wa moyo nilioupata ni pale nilipojisikia kurudi siku ya pili yake yaani Alhamisi baada ya kugonga mlango kwa muda bila majibu nikaamua niulize jirani aliko mke wangu, najibiwa jana ulipoondoka mkeo nae kasafiri ila funguo hizi hapa. Nilihisi kuishiwa nguvu lakini nilijikaza nikachukua ufunguo taratibu nikaingia ndani kiukweli sijaamini macho yangu hakukua na kitu chake hata kimoja zaidi ya kuniachia picha za ndoa.
Nimeumia sana na huo ulikuwa mwisho wa kupata usingizi hadi sasa. Nimempigia simu lakini haipatkani, ndugu zake hawajui yuko wapi ila leo hii Jumamosi mpangaji mmoja kanionea huruma kaniambia aliongea na mke wangu siku ya Alhamisi jioni na alimfahamisha kuwa anakaribia kufika kwao Chamwino Dodoma akitokea kwetu Mtwara.
Lakini kwao nikiuliza naambiwa haonekani na simu hapatikani, sijui cha kufanya kwanini mke wangu wa ndoa lakini amenitoroka. Naombeni mnishauri nini nifanye kwa kuwa suala hili limevuruga kichwa changu.
Mara ya mwisho kuwasiliana nae ilikuwa jioni Alhamisi kwa kum SMS kupitia private Facebook nikamuuliza uko wapi? Akanijibu kwa kifupi "my lovely husband ".Mpaka sasa simpati kwa simu.
Duh..vibaya hivyooNaww nenda kwenu
unapoleta uzi kama huu hapa uwe umejiandaa kisaikolojia .......... kuna watu wa kila aina jf anzia waokota chupa za plastick hadi majeneraliUshauri na majibu ya watu wengi kwenye uzi huu inaonesha ni jinsi gani watu wengi hawana utu na huruma pia inaonesha watu wengi ni wa mashala hata kwenye issue za msingi.
Sio vzr ndugu zangu, mna muumiza jamaa kwa majibu yenu ya kejeri hayo
Nmekaa nawaza mzigo wako tu hapaDuh..vibaya hivyoo
Ha haaaa mawazo mazuri sana hayoNmekaa nawaza mzigo wako tu hapa
Jana nmeota ndoto njema sanaHa haaaa mawazo mazuri sana hayo
Kama tayari ushaota basi hakuna haja ya 'live' !Jana nmeota ndoto njema sana
Una michezo ya hatari mtt weweKama tayari ushaota basi hakuna haja ya 'live' !
[emoji23][emoji23] toka hukoooUna michezo ya hatari mtt wewe
Kwahiyo mwaka unaisha hivihivi?![emoji23][emoji23] toka hukooo