Mnataka mabadiliko huku matako yenu mkikalisha majumbani kwenu maandamano yakiitwa hamtokei mnafikiri U.S.A, China, France walifika pale kwa wananchi kukalisha matako yao ndani wakitegemea muujiza wa mabadiliko pumbavu kabisa
Ni kweli, hata hapo Kenya KANU imetolewa madarakani baada ya Kila mkenya kupata elimu ya zaidi ya diploma. Acha tubaki na chama hiki hiki kilichoshindwa kutatua tatizo la umeme kwa 60yrs+.Hicho walichofanya kina maslahi kwa taifa, huwezi acha hatamu za nchi kushikwa kwa kura zilizopigwa na watu wasio na uelewa wa mambo,yaani watu wanaopiga kura kisa mgombea kaja na helkopta,mtu Leo unaambiwa ni fisadi kesho unaambiwa 'mabadiliko lowasa,lowasa mabadiliko'..ni upuuzi,Kama walikua wanaiba kura, waendelee kuiba mpaka pale majority ya watz watakua walau na elimu ya diploma
Watapitishwa wana CCM kwenye usailiNimesoma kuwa Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wataomba hizo kazi na kufanyiwa usaili. Je hao watakaowafanyia usaili watapatikana vipi?. Pili ni vema pia nafasi ya Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi ikatangazwa kama ilivyo kwa majirani wetu wa Kenya. Kila kitu kwao ni wazi bila kupinda pinda.
Fall comes after greed...ni msemo tu,Ila kwa madomokaya Kama wapinzani,aongeze kiburiAongeze mara ngapi? Uzuri kiburi ndio anguko la mtu. Tujipe muda
We huna umeme hapo ulipo,umechajia nini!?Ni kweli, hata hapo Kenya KANU imetolewa madarakani baada ya Kila mkenya kupata elimu ya zaidi ya diploma. Acha tubaki na chama hiki hiki kilichoshindwa kutatua tatizo la umeme kwa 60yrs+.
Generator.We huna umeme hapo ulipo,umechajia nini!?
Bado unasoma makala za Mayalla? Dah mimi nilishampuuza zamani sana. Kabla ya utawala wa Magufuli Mayalla alikuwa mwandishi bora zaidi. Baadae siku Magufuli alimfanya nini, bora nicheze na wanangu kuliko kumsoma Mayalla.Mimi ndiyo maana kwenye ule uzi wa Mwanahabari nguli na Wakili Msomi Pascal Mayalla, nilisema wazi nitakuwa mtu wa mwisho kuamini hicho kilichopelekwa huko Bungeni, siyo kiini macho.
Yaani serikali hii hii ya CCM ifanye kitu chenye maslahi kwa Taifa!!! Aisee tutasubiri sana. Hao watu kila kitu wanachofanya, mara zote huangalia maslahi yao kwanza na yale ya chama chao.
Kumbe Zitto ndo anachokishangilia kwamba wajumbe wa tume watapendekezwa kwa rais na kamati na rais ndo atawateuağŸ¤ğŸ¤Tume huru ya uchaguzi iko wapi ikiwa kila kitu anachagua rais? directly or indirectly
Futa ule uzi wako mkuuDuh...!, nimeuona Muswada wa Tume ya Uchaguzi, ni bonge la changa la macho!.
P
Zitto alishakoswa akili baada ya kuwa na rangi mbili.Kumbe Zitto ndo anachokishangilia kwamba wajumbe wa tume watapendekezwa kwa rais na kamati na rais ndo atawateua[emoji2960][emoji2960]
Ukute naye alishangilia bila kujua kilichomo ndaniZitto alishakoswa akili baada ya kuwa na rangi mbili.
Bila shaka anajua kilichomo ila anataka afurahishe watawala na wapinzani kwa wakati mmoja.Ukute naye alishangilia bila kujua kilichomo ndani
kamati anaichagua nani? hapo ndipo concern yangu ilipo. Ater all why involve rais kuwateua after mapendekezo?watapendekezwa kwa rais na kamati
That is a big concern, ndipo changa la macho lilipoNimesoma kuwa Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wataomba hizo kazi na kufanyiwa usaili. Je hao watakaowafanyia usaili watapatikana vipi?. Pili ni vema pia nafasi ya Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi ikatangazwa kama ilivyo kwa majirani wetu wa Kenya. Kila kitu kwao ni wazi bila kupinda pinda.
hapa ndipo indirectly Rais bado anachagua tume na therefore hakuna tume hurue hao watakaowafanyia usaili watapatikana vipi?.