Kwa nini Wakili Paschal?Duh...!, nimeuona Muswada wa Tume ya Uchaguzi, ni bonge la changa la macho!.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini Wakili Paschal?Duh...!, nimeuona Muswada wa Tume ya Uchaguzi, ni bonge la changa la macho!.
P
200% correctTume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya vitapatikana Kwa maandamano yasokoma.
Jeshi la wapi eboo watu wanakula keki ya taifa kwa mrija wampindue nani.Ulitegemea tofauti na hivyo? Machafuko tu ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataleta mabadiliko ya kweli.
Unadhani wanaopindua ni wenye vyeo vya juu boss?Jeshi la wapi eboo watu wanakula keki ya taifa kwa mrija wampindue nani.
Mbona nimeangalia Mswada wote ila sijaona mabadiliko yoyote ni kitu jile kileTume huru ya uchaguzi iko wapi ikiwa kila kitu anachagua rais? directly or indirectly
At least nilitegemea kitu kama hiki..... to say the least Pascal Mayalla Erythrocyte johnthebaptist
20. The Swedish Election Authority is organised as follows:
21. The Election Authority is governed by a board consisting of a chairman and four members.
The government appoints all members of the board for a specific period of time. An administrative office performs the daily work, and the activities are governed by an administrative director appointed by the government for a specific period of time. Neither members of the board nor the administrative director are politically appointed.
22. The Election Authority has twelve employees, all of whom are civil servants employed after competence in open competition on the labour market. No employee of the Election Authority is politically hired, which forms a guarantee that the administrative decisions are made without political bias. There is a specific legal act (The Act on Public Employment) regulating, among other things, disciplinary liability for state employees in performing their duties.
Unajua mimi nimesoma ila sijajua Mabadiliko Yamefanywa yapi mtu anielekezeHicho walichofanya kina maslahi kwa taifa, huwezi acha hatamu za nchi kushikwa kwa kura zilizopigwa na watu wasio na uelewa wa mambo,yaani watu wanaopiga kura kisa mgombea kaja na helkopta,mtu Leo unaambiwa ni fisadi kesho unaambiwa 'mabadiliko lowasa,lowasa mabadiliko'..ni upuuzi,Kama walikua wanaiba kura, waendelee kuiba mpaka pale majority ya watz watakua walau na elimu ya diploma
Me sijaona mabadiliko yoyote Pascal n ulivyokuwa unasifiaDuh...!, nimeuona Muswada wa Tume ya Uchaguzi, ni bonge la changa la macho!.
P
Umenikumbusha Gabon.Ulitegemea tofauti na hivyo? Machafuko tu ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataleta mabadiliko ya kweli.
Mimi walio nishangaza zaidi ni CHADEMA, kuliko hata hawa watu wa JF!Hii ndio tz bwana. Mada za msingi kama hizi hata page tatu hazifiki ila mada za hovyo zipo page ya 39 huko!!
Acha ccm itawale.
Una macho makali mkuuTume huru ya uchaguzi iko wapi ikiwa kila kitu anachagua rais? directly or indirectly
At least nilitegemea kitu kama hiki..... to say the least Pascal Mayalla Erythrocyte johnthebaptist
20. The Swedish Election Authority is organised as follows:
21. The Election Authority is governed by a board consisting of a chairman and four members.
The government appoints all members of the board for a specific period of time. An administrative office performs the daily work, and the activities are governed by an administrative director appointed by the government for a specific period of time. Neither members of the board nor the administrative director are politically appointed.
22. The Election Authority has twelve employees, all of whom are civil servants employed after competence in open competition on the labour market. No employee of the Election Authority is politically hired, which forms a guarantee that the administrative decisions are made without political bias. There is a specific legal act (The Act on Public Employment) regulating, among other things, disciplinary liability for state employees in performing their duties.
Basi wewe wenye vyeo vya chini watuondolee huyu shetani.Unadhani wanaopindua ni wenye vyeo vya juu boss?
Kamati ni wateule wa rais mf jaji mkuu ndo mwenyekiti wa kamati na kimsingi kamati haiteui bali inapendekeza majina manne kwa kila nafasi ikimaanisha kwamba kama wanahitajika wajumbe watano basi kamati itapendekeza majina 20kamati anaichagua nani? hapo ndipo concern yangu ilipo. Ater all why involve rais kuwateua after mapendekezo?
Mtego uko hapo...Judges are appointed by Rais and therefore anateua wanamtii! Stupid, alisemaKamati ni wateule wa rais mf jaji mkuu ndo mwenyekiti wa kamati na kimsingi kamati haiteui bali inapendekeza majina manne kwa kila nafasi ikimaanisha kwamba kama wanahitajika wajumbe watano basi kamati itapendekeza majina 20
Kamati ya usaili yote ni wateule wa Rais kuanzia Mwenyekiti wake ambae atakuwa Jaji Mkuu. Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi atateuliwa na Rais.Nimesoma kuwa Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wataomba hizo kazi na kufanyiwa usaili. Je hao watakaowafanyia usaili watapatikana vipi?. Pili ni vema pia nafasi ya Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi ikatangazwa kama ilivyo kwa majirani wetu wa Kenya. Kila kitu kwao ni wazi bila kupinda pinda.
Na bado sio wao wano teua wanapendekeza kwa maana anaweza akakataa mapendekezo yao au akachomeka wapendekezwa ili wapendekezwa awateueMtego uko hapo...Judges are appointed by Rais and therefore anateua wanamtii! Stupid, alisema
Kama kuna shida ya uelewa maana yake hsta hao wanaoongoza nao wana tatizo la uelewa.Kwasababu wao ndio walipaswa kuondoa huo ujinga.Wewe ni moja ya hao wasio na uelewa ujijui tu ndo maana unaandika ujinga wakati sheria za nchi na katiba yenye kutambua uchaguzi na vyama vingi mlitengeneza wenyewe.Huna tofauti na yule aliyesema katiba ni kitabu tu wakati ndicho kilichomfanya akawepo hapo alipo.Hicho walichofanya kina maslahi kwa taifa, huwezi acha hatamu za nchi kushikwa kwa kura zilizopigwa na watu wasio na uelewa wa mambo,yaani watu wanaopiga kura kisa mgombea kaja na helkopta,mtu Leo unaambiwa ni fisadi kesho unaambiwa 'mabadiliko lowasa,lowasa mabadiliko'..ni upuuzi,Kama walikua wanaiba kura, waendelee kuiba mpaka pale majority ya watz watakua walau na elimu ya diploma