Nimeshangaa kumuona Profesa mmoja maarufu wa pale UDSM akisali sala ya Bikira Maria

Nimeshangaa kumuona Profesa mmoja maarufu wa pale UDSM akisali sala ya Bikira Maria

Mimi nimeshangaa na hapo sijavunja sheria wala kumlazimisha yeyote aamini ninachoamini.

Vingine ni vichekesho vya kawaida kama hicho cha nchi kuwekwa chini ya ulinzi wa Maria.
Ndo ulete huku?? Emu acha hizo wewe
 
Moja kati ya mambo ambayo yapo wazi kabisa katika biblia ni maelekezo ya namna maombi yanatakiwa kufanywa. Agizo la maombi lipo very open.

Yesu Kristo alisema mara nyingi sana kwenye injili ya Yohana kwamba tuombe kwa jina lake. Mtume Paulo ameandika tufanye yote katika jina la Yesu Kristo.

Sasa profesa ambaye ameandika paper kibao na amefanya literature review za kutosha ameshindwa kusoma biblia kufahamu tunapaswa kuomba kwa jina gani?

Hakuna sehemu hata moja mitume waliomba kwa jina la Maria. Yule Maria mama wa Yesu alikaa pamoja na mitume na walijazwa Roho Mtakatifu pamoja na wakanena kwa lugha.

Maria alimzaa Yesu lakini hakumzaa Mungu. Kuna tofauti kati ya Yesu na Kristo. Maria sio mama wa Mungu bali ni mama yake Yesu. Yesu ni mwanadamu na Kristo ni Mwana wa Mungu.

Hivyo Yesu Kristo ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja. Asomaye na afahamu.
Nani amefundisha kuomba kwa Bikira Maria? Tunaomba atuombee kama ninavyoweza kuomba wewe uniombee. Nikiomba wewe uniombee maana yake umechukua nafasi ya Yesu?

Utasema Bikira Maria amekufa hajui lolote, hapo maana yake tuhame mada ili ujue watakatifu hawafi, tena wako karibu na Mungu kuliko hata sisi tulio duniani.

Sisi Kanisa la duniani na Kanisa la washindi mbinguni ni Kanisa moja, tutashirikiana daima. Hapo umeona akisali na pia kuomba msaada wa maombezi kwa mama yetu lakini mimi majuzi nilikuwa kwenye maombi na intercessor niliyesali nae ni Mt. Rita.

Kama una swali uliza, sio ubishi bali majadiliano.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Nilitegemea labda utaleta maandiko ya kibiblia lakini naona umeishia kuweka msimamo wa kidini.

Mimi nilichofanya ni kushangaa tu kwasababu nimeona ni jambo la ajabu na halipo kwenye maandiko.

Naheshimu imani yako, fainali siku ya mauti.
Kwa hiyo tuseme wote wanaomheshimu na kumuomba Maria wote wanaenda moyoni hio siku ya kiyama?
 
Nimetunga na ninaimba wimbo wa MAMA MARIA MAMA WA YESU UTUOMBEE.

Huku duniani tupo tu ila hatuyajui mapenzi ya Mingu yako kwenye nini
Leo tunasherekea Bikira Maria mama wa Mungu. Watu wanafikiri tukisema habari za Bikira Maria tunamuinua yeye kumbe Yesu ndiye anayehubiriwa! Mfano kama unaamini Yesu ni Mungu na alivaa mwili kupitia Bikira Maria huoni kuwa huyo mama ni mama wa Mungu? Unafikiri kama si kuwa mama wa Mungu angekuwa kama watakatifu wengine tu.

Kama ni kuokoka tunaweza kusema Bikira Maria ndiye binadamu wa kwanza kumpokea Yesu maana kwa utii wake neno wa Mungu akafanyika ndani yake baada ya kufunikwa na Roho Mtakatifu!

Watu wanapaswa kujua kwanini Wakatoliki huomba intercession ya watakatifu kabla ya kumshambulia maombezi kwa Bikira Maria. Ukielewa mahusiano yetu na watakatifu wa mbinguni then ukajua nafasi ya Bikira Maria hutochanganyikiwa tena.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Unaposoma kitabu tunategemea unapata maarifa na baadaye kutumia maarifa hayo ili kukurahisishia maisha yako. Hatutegemei ufuate yale tu uliyoyoyasoma bila kuwa na ongezeko lolote ulilolipata (maarifa) kutokana na kusoma kitabu hicho. Vinginevyo utakuwa hujaelewa ulichokisoma; utakuwa umekariri.

Tumwomba au kusali kwa kulitaja jina la Yesu Kristo, lakini pia tunaongezea maombi hayo kwa kumuomba Bikira Maria atuombee kwa mwanae. Ni sawa tu wewe unaweza kumuomba kitu baba yako, halafu ukamuomba mama yako amsihi baba yako akupe hicho unachohitaji!

Tusikariri mambo, tulipewa akili ili kuweza kujiongeza. Sio kwakuwa Biblia ilisema hivi, basi tuishie pale pale tu, hapana, tunyambulishe mambo!
 
Moja kati ya mambo ambayo yapo wazi kabisa katika biblia ni maelekezo ya namna maombi yanatakiwa kufanywa. Agizo la maombi lipo very open.

Yesu Kristo alisema mara nyingi sana kwenye injili ya Yohana kwamba tuombe kwa jina lake. Mtume Paulo ameandika tufanye yote katika jina la Yesu Kristo.

Sasa profesa ambaye ameandika paper kibao na amefanya literature review za kutosha ameshindwa kusoma biblia kufahamu tunapaswa kuomba kwa jina gani?

Hakuna sehemu hata moja mitume waliomba kwa jina la Maria. Yule Maria mama wa Yesu alikaa pamoja na mitume na walijazwa Roho Mtakatifu pamoja na wakanena kwa lugha.

Maria alimzaa Yesu lakini hakumzaa Mungu. Kuna tofauti kati ya Yesu na Kristo. Maria sio mama wa Mungu bali ni mama yake Yesu. Yesu ni mwanadamu na Kristo ni Mwana wa Mungu.

Hivyo Yesu Kristo ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja. Asomaye na afahamu.
Sala ya Bikira Maria yote imetoka kwenye Biblia ...kama hujui uliza uelimishwe ndugu
 
Kwa hiyo wewe unaamini una elimu kubwa kuliko hao wakatoliki eeeeh.Kama kuna dhehebu lina wabobezi wa elimu katika nyanda zote ni kanisa katoliki.
Unafikiri hawajui wanachokifanya hadi ww na mafundisho ya HGW uone kuwa wamepotoka.Once you talk of the bible u talk about catholicism mzee
Huyo mjinga hata hiyo bible anayozungumzia ni wakatoliki wameitunza na kuibadili lugha hata akaweza kusoma

Sent from my RMX2189 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom