Nimeshangaa kumuona Profesa mmoja maarufu wa pale UDSM akisali sala ya Bikira Maria

Nimeshangaa kumuona Profesa mmoja maarufu wa pale UDSM akisali sala ya Bikira Maria

Moja kati ya mambo ambayo yapo wazi kabisa katika biblia ni maelekezo ya namna maombi yanatakiwa kufanywa. Agizo la maombi lipo very open.

Yesu Kristo alisema mara nyingi sana kwenye injili ya Yohana kwamba tuombe kwa jina lake. Mtume Paulo ameandika tufanye yote katika jina la Yesu Kristo.

Sasa profesa ambaye ameandika paper kibao na amefanya literature review za kutosha ameshindwa kusoma biblia kufahamu tunapaswa kuomba kwa jina gani?

Hakuna sehemu hata moja mitume waliomba kwa jina la Maria. Yule Maria mama wa Yesu alikaa pamoja na mitume na walijazwa Roho Mtakatifu pamoja na wakanena kwa lugha.

Maria alimzaa Yesu lakini hakumzaa Mungu. Kuna tofauti kati ya Yesu na Kristo. Maria sio mama wa Mungu bali ni mama yake Yesu. Yesu ni mwanadamu na Kristo ni Mwana wa Mungu.

Hivyo Yesu Kristo ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja. Asomaye na afahamu.
Mambo ya kiimani ni magumu sana hasa kama uelewi vizuri. Wao si wapumbavu wasali vile..
Ivi ushawishi jiuliza kwa jicho la tatu kwanini wanamtaja sana Maria.?
Nakupa hom work hiyo Mkuu.

Wewe uko sahihi na wao wako sahihi kutokana na maandiko waliyosoma..
 
Penye utata ni Yesu kuwa Mungu na Binadamu. Wakubwa wamefanya kuwa dogma, yaani wewe kariri tu na uamini. Mimi sikubali, ni lazima nihoji. Ina maana usali kupitia kwa Kristo, wasiomwamini kama Mungu watasali kupitia wapi?
 
Naunga mkono hoja imani ni dubwana moja lenye nguvu linaloweza hata kuiweka mfukoni rational thinking ya mtu
 
Leo tunasherekea Bikira Maria mama wa Mungu. Watu wanafikiri tukisema habari za Bikira Maria tunamuinua yeye kumbe Yesu ndiye anayehubiriwa! Mfano kama unaamini Yesu ni Mungu na alivaa mwili kupitia Bikira Maria huoni kuwa huyo mama ni mama wa Mungu? Unafikiri kama si kuwa mama wa Mungu angekuwa kama watakatifu wengine tu.

Kama ni kuokoka tunaweza kusema Bikira Maria ndiye binadamu wa kwanza kumpokea Yesu maana kwa utii wake neno wa Mungu akafanyika ndani yake baada ya kufunikwa na Roho Mtakatifu!

Watu wanapaswa kujua kwanini Wakatoliki huomba intercession ya watakatifu kabla ya kumshambulia maombezi kwa Bikira Maria. Ukielewa mahusiano yetu na watakatifu wa mbinguni then ukajua nafasi ya Bikira Maria hutochanganyikiwa tena.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mkuu waliopo nje ya Kanisa Katoliki hawaelewi yaliopo ndani ya Kanisa hilo wamekaa kulishambulia tu badala ya kufanya analysis.

Wakatoliki tunamuomba Bikira Maria atuombee kama wao wanavyokwenda kwa Mchungaji wao na kumuomba wawaombee hata ile sala ya salamu Maria ipo ndani ya Biblia ni maumkuzi ya Malaika Gabriel aliyetumwa na Mungu kumpasha Maria kuwa atamzaa Yesu ''Salamu;uliyepewa neema;Bwana yu pamoja nawe"(Soma Luka 1:28)pia ni maneno ya Elizabeti aliyetamka maneno baada ya kujazwa na Roho Mtakatifu alipokuwa ametembelewa na Bikira Maria''Umebarikiwa wewe katika wanawake naye naye mzao wa tumbo lako amebarikiwa" (Soma Luka 1:42)
 
Ngoja niweke kapicha cha kusindikizia uzi , watu wanaacha kuabudu Mungu wa kweli Kazi kuabudu viumbe wenzao #InadikitishaSanaView attachment 2465677

Nb: Huyo picha siyo mtajwa katika uzi bali ni mfano tu jinsi gani watu wanavyoabudu kivyao kama content ya uzi unavyosema.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Nilidhani unashangaa professa kusali kabisa.

Yani mtu amesoma halafu bado anaamini akifumba macho kuna invisible man hewani huko juu ya mawingu anamsikiliza na atakuja kumsaidia???

Kweli sisi bado tuna unyani fulani ndani yetu.
Ndomaana wanasema DNA ya Binadamu na ya nyani vinapishana 2% tu
Huu ndio upunguani siezi ufanya
 
Moja kati ya mambo ambayo yapo wazi kabisa katika biblia ni maelekezo ya namna maombi yanatakiwa kufanywa. Agizo la maombi lipo very open.

Yesu Kristo alisema mara nyingi sana kwenye injili ya Yohana kwamba tuombe kwa jina lake. Mtume Paulo ameandika tufanye yote katika jina la Yesu Kristo.

Sasa profesa ambaye ameandika paper kibao na amefanya literature review za kutosha ameshindwa kusoma biblia kufahamu tunapaswa kuomba kwa jina gani?

Hakuna sehemu hata moja mitume waliomba kwa jina la Maria. Yule Maria mama wa Yesu alikaa pamoja na mitume na walijazwa Roho Mtakatifu pamoja na wakanena kwa lugha.

Maria alimzaa Yesu lakini hakumzaa Mungu. Kuna tofauti kati ya Yesu na Kristo. Maria sio mama wa Mungu bali ni mama yake Yesu. Yesu ni mwanadamu na Kristo ni Mwana wa Mungu.

Hivyo Yesu Kristo ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja. Asomaye na afahamu.
Mbinguni hatufiki
 
Usimshangae Prof, tulisambaratishwa tangu siku ile mwanadamu alipokuwa anajenga mnara wa Babeli akamuone Mungu .

Kuanzia hapo ndiyo kila kitu kilienda ndivyo sivyo.

Haya mambo ya ujuaji hayakuanza leo , kuna wajuaji hao waliona isiwe tabu wacha tumpandie huko huko tukamuone.
 
Huyo ni prof, means anakuzidi elimu na ufahamu kuhusu vitu vingi, uwezo wake wa kuelewa vitu ni mkubwa, kwanini usiwe inspired ni kwanini mtu wa hivo anasali kwa maria?

Anyways we catholics we dont give a f*ck, keep crying until them tears dry!
 
Nilidhani unashangaa professa kusali kabisa.

Yani mtu amesoma halafu bado anaamini akifumba macho kuna invisible man hewani huko juu ya mawingu anamsikiliza na atakuja kumsaidia???

Kweli sisi bado tuna unyani fulani ndani yetu.
Ndomaana wanasema DNA ya Binadamu na ya nyani vinapishana 2% tu
Nimecheka sana kama mazuri vile dah
 
Moja kati ya mambo ambayo yapo wazi kabisa katika biblia ni maelekezo ya namna maombi yanatakiwa kufanywa. Agizo la maombi lipo very open.

Yesu Kristo alisema mara nyingi sana kwenye injili ya Yohana kwamba tuombe kwa jina lake. Mtume Paulo ameandika tufanye yote katika jina la Yesu Kristo.

Sasa profesa ambaye ameandika paper kibao na amefanya literature review za kutosha ameshindwa kusoma biblia kufahamu tunapaswa kuomba kwa jina gani?

Hakuna sehemu hata moja mitume waliomba kwa jina la Maria. Yule Maria mama wa Yesu alikaa pamoja na mitume na walijazwa Roho Mtakatifu pamoja na wakanena kwa lugha.

Maria alimzaa Yesu lakini hakumzaa Mungu. Kuna tofauti kati ya Yesu na Kristo. Maria sio mama wa Mungu bali ni mama yake Yesu. Yesu ni mwanadamu na Kristo ni Mwana wa Mungu.

Hivyo Yesu Kristo ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja. Asomaye na afahamu.
Mkuu, sasa kama unamshangaa kumuona Profesa akisali, si utulie uendelee kumshangaa hadi uone mwisho wake?NB, Imani yake isiwe kero kwako - Kama hutaki kumuona basi uwe unafumba macho unapopita hapo au acha kufatilia ya wenzio komaa na hali yako boss.
 
Maria alimzaa Yesu lakini hakumzaa Mungu. Kuna tofauti kati ya Yesu na Kristo. Maria sio mama wa Mungu bali ni mama yake Yesu. Yesu ni mwanadamu na Kristo ni Mwana wa Mungu.

Hivyo Yesu Kristo ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja. Asomaye na afahamu.

Inabidi waikristo mchapwe VIBOKO
ndio mana siku zote manabii wanawafanya kama mosukule yao
Ona hapo alivyofundishwa yaan hapo JUU alichoandika hata yeye mwenyewe SIDHANI kama anaelewa alichoandika
 
Mama Maria Malkia wa Amani...Utuombee

Roman Catholic inawatesa sana halafu ajabu sisi hatuna shida naye i mean hatutaki kufahamu ya nyie mnaojihesabia Haki.

Kupitia Imani yangu ya Romani kusali rozari kwa Mama Bikira, kuabudu Ekaristi, kuhudhuria Misa Takatifu, kuwaombea Marehemu hakuna nliloomba Mwenyezi Mungu akaninyima

Kifupi wewe endelea kuamini huko kwako ndugu yangu

Ya waromani mtuachie waromani
 
Mama Maria Malkia wa Amani...Utuombee

Roman Catholic inawatesa sana halafu ajabu sisi hatuna shida naye i mean hatutaki kufahamu ya nyie mnaojihesabia Haki.

Kupitia Imani yangu ya Romani kusali rozari kwa Mama Bikira, kuabudu Ekaristi, kuhudhuria Misa Takatifu, kuwaombea Marehemu hakuna nliloomba Mwenyezi Mungu akaninyima

Kifupi wewe endelea kuamini huko kwako ndugu yangu

Ya waromani mtuachie waromani
Asilimia 70 ya maprofesa nchini ni wakatoliko na wanasali Salaam Maria sasa sijui hii imekaaje?
 
Back
Top Bottom