Nimeshangaa kumuona Profesa mmoja maarufu wa pale UDSM akisali sala ya Bikira Maria

Nimeshangaa kumuona Profesa mmoja maarufu wa pale UDSM akisali sala ya Bikira Maria

Unadhani Execute una cha kuwasilisha katika jamii ya kikristo ya catholic kuhusu Mariam ukaeleweka au ukabadilisha mtazamo walio nao kuhusu Maria.

Au unadhani wewe ndie ulie na ufahamu mkubwa wa biblia kuliko wengine wote na kwamba wewe ndie sasa unakua mkombozi wa wengi walio kwenye upotofu kwa mijibu wako?

Kama ni imani ambayo haina mahusiano na wewe au haina athari na wewe unaweza ukaachana nao tu .

Maana imani na dini na madhehebu yapo kila mahali na kila jamii na kila mmoja wao ana mafundisho ya aina yake yasiyo ingiliana na wengine na maisha yanaendelea.

Huwezi kuongeza au kupunguza kitu kwenye mjadala wa Maria kuhusu kuwa mama wa Mungu , huo mjadala ulishajadiliwa miaka na miaka karne na karne, ulileta athari mpaka kutokea kugawanyika kwa kanisa katoliki la rumi na kanisa katoliki la mashariki.
Pamoja na hayo ni zaidi ya miaka 1000 sasa Maria anatajikana kama mama wa Mungu so usidhani kwamba wewe ndie uko bora zaidi kuliko wengine wote au Mungu anae ona hayo na kuyaacha yaendelee.
Hayo maelezo yasome kwa sauti mara saba utagundua kitu
 
Moja kati ya mambo ambayo yapo wazi kabisa katika biblia ni maelekezo ya namna maombi yanatakiwa kufanywa. Agizo la maombi lipo very open.

Yesu Kristo alisema mara nyingi sana kwenye injili ya Yohana kwamba tuombe kwa jina lake. Mtume Paulo ameandika tufanye yote katika jina la Yesu Kristo.

Sasa profesa ambaye ameandika paper kibao na amefanya literature review za kutosha ameshindwa kusoma biblia kufahamu tunapaswa kuomba kwa jina gani?

Hakuna sehemu hata moja mitume waliomba kwa jina la Maria. Yule Maria mama wa Yesu alikaa pamoja na mitume na walijazwa Roho Mtakatifu pamoja na wakanena kwa lugha.

Maria alimzaa Yesu lakini hakumzaa Mungu. Kuna tofauti kati ya Yesu na Kristo. Maria sio mama wa Mungu bali ni mama yake Yesu. Yesu ni mwanadamu na Kristo ni Mwana wa Mungu.

Hivyo Yesu Kristo ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja. Asomaye na afahamu.
Suala la imani ni suala la mtu binafsi.

Yani katika hili, umemnyanyapaa Profesa, kwa sababu yeye anafanya mambo kwa imani yake. Wewe kwanza umemvunjia faragha yake ya imani.

Ukianza kutafuta facts, wengine tutakuambia huyo Mungu hayupo na kama unataka kushangaa kwa facts ni kuona msomi yeyote anaamini katika Mungu. Hata wewe mimi nakushangaa unaamini habari za Biblia wakati Biblia katika facts imejaa contradictions.

Wewe unamshangaa profesa, mimi nakushangaa unavyomshangaa profesa halafu nakushangaa na wewe.

Lakini hata hapo kwenye kwenda kanisani na kusali, si kila anayekwenda kanisani anaamini katika Mungu, wengine wanafuata totoz tu.
 
Moja kati ya mambo ambayo yapo wazi kabisa katika biblia ni maelekezo ya namna maombi yanatakiwa kufanywa. Agizo la maombi lipo very open.

Yesu Kristo alisema mara nyingi sana kwenye injili ya Yohana kwamba tuombe kwa jina lake. Mtume Paulo ameandika tufanye yote katika jina la Yesu Kristo.

Sasa profesa ambaye ameandika paper kibao na amefanya literature review za kutosha ameshindwa kusoma biblia kufahamu tunapaswa kuomba kwa jina gani?

Hakuna sehemu hata moja mitume waliomba kwa jina la Maria. Yule Maria mama wa Yesu alikaa pamoja na mitume na walijazwa Roho Mtakatifu pamoja na wakanena kwa lugha.

Maria alimzaa Yesu lakini hakumzaa Mungu. Kuna tofauti kati ya Yesu na Kristo. Maria sio mama wa Mungu bali ni mama yake Yesu. Yesu ni mwanadamu na Kristo ni Mwana wa Mungu.

Hivyo Yesu Kristo ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja. Asomaye na afahamu.
Unateseka ukiwa wapi? Kama Prof. kamuelewa Bikira Maria na akakubali kuwa mtiifu kwake wewe ni nani hata ujikute unajua kuliko yeye?
Unaelewa nini pale Yesu aliposema "Mama huyo ndiye mwanao, na alipomgeukia yule mwanafunzi wake akamwambia huyo ndiye Mama yako".
Punguza ujuaji na Biblia zenu hizo zilizopunguzwa vitabu kwa manufaa ya waliovipunguza.

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Unateseka ukiwa wapi? Kama Prof. kamuelewa Bikira Maria na akakubali kuwa mtiifu kwake wewe ni nani hata ujikute unajua kuliko yeye?
Unaelewa nini pale Yesu aliposema "Mama huyo ndiye mwanao, na alipomgeukia yule mwanafunzi wake akamwambia huyo ndiye Mama yako".
Punguza ujuaji na Biblia zenu hizo zilizopunguzwa vitabu kwa manufaa ya waliovipunguza.

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Sasa ulichoandika hapa ndio agizo kwamba muwe mnamwambia Maria awaombee? Mbona unaandika vitu dhaifu namna hii?

Biblia ilikuwa imeshakamilika tangu enzi za mitume na ikaja kuwa compiled na Jarome 382 AD. Wakatoliki waliongeza hivyo vitabu miaka ya 1500s AD baada ya kushindwa kujibu hoja za Luther.

Isome imani yako badala ya kukurupuka.
 
Kwanza huwa nakushangaeni sana watu wa dizaini yako, huwa mnawashwa wapi kufatilia imani za watu?
Kwani lazima uamini anachoamini mtu mwingine?
Tuache tuendeelee kumheshimu Mama wa Mungu,na kwa taarifa yako tu, TZ iliwekwa chini ya ulinzi wa Mama Bikira Maria.
Kwani huyo Maria ana mamlaka ya kuwalinda wanadamu?, naomba andiko
 
Nani amefundisha kuomba kwa Bikira Maria? Tunaomba atuombee kama ninavyoweza kuomba wewe uniombee. Nikiomba wewe uniombee maana yake umechukua nafasi ya Yesu?

Utasema Bikira Maria amekufa hajui lolote, hapo maana yake tuhame mada ili ujue watakatifu hawafi, tena wako karibu na Mungu kuliko hata sisi tulio duniani.

Sisi Kanisa la duniani na Kanisa la washindi mbinguni ni Kanisa moja, tutashirikiana daima. Hapo umeona akisali na pia kuomba msaada wa maombezi kwa mama yetu lakini mimi majuzi nilikuwa kwenye maombi na intercessor niliyesali nae ni Mt. Rita.

Kama una swali uliza, sio ubishi bali majadiliano.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Naomba reference ya andiko au maandiko kutetea hoja yako.
 
Yesu Kristo alisema mara nyingi sana kwenye injili ya Yohana kwamba tuombe kwa jina lake. Mtume Paulo ameandika tufanye yote katika jina la Yesu Kristo.

Sasa profesa ambaye ameandika paper kibao na amefanya literature review za kutosha ameshindwa kusoma biblia kufahamu tunapaswa kuomba kwa jina gani?
Anza kumlaumu Papa kwanza kwakuwa kwenye eneo hilo ndiye miongoni mwa waliochimba Bible kuliko huyo Prof.
 
Nilidhani unashangaa professa kusali kabisa.

Yani mtu amesoma halafu bado anaamini akifumba macho kuna invisible man hewani huko juu ya mawingu anamsikiliza na atakuja kumsaidia???

Kweli sisi bado tuna unyani fulani ndani yetu.
Ndomaana wanasema DNA ya Binadamu na ya nyani vinapishana 2% tu
Kama unajua Kiingereza, KWA NGUVU ZA JAH SHETANI YESU AKUTOKE MARA TU YA KUSOMA YAFUATAYO NA UPONE AKILIA ASAP NA WAGONJWA WA AKILI WENGINE WOTE.-
Slaves, obey your earthly masters with deep respect and fear. Serve them sincerely as you would serve Christ. (Ephesians 6:5 NLT)

1 Peter 2:18

18 Slaves, in reverent fear of God submit yourselves to your masters, not only to those who are good and considerate, but also to those who are harsh.

Ephesians 6:5-8 Paul states, “Slaves, be obedient to your human masters with fear and trembling, in sincerity of heart, as to Christ” which is Paul instructing slaves to obey their master. Similar statements regarding obedient slaves can be found in Colossians 3:22-24, 1 Timothy 6:1-2, and Titus 2:9-10.

Christians who are slaves should give their masters full respect so that the name of God and his teaching will not be shamed. If your master is a Christian, that is no excuse for being disrespectful. You should work all the harder because you are helping another believer by your efforts. Teach these truths, Timothy, and encourage everyone to obey them. (1 Timothy 6:1-2 NLT)
 
Inabidi waikristo mchapwe VIBOKO
ndio mana siku zote manabii wanawafanya kama mosukule yao
Ona hapo alivyofundishwa yaan hapo JUU alichoandika hata yeye mwenyewe SIDHANI kama anaelewa alichoandika
Kwamba maandishi ya mtu mmoja tuchapwe wote? Anyway, karibu kitimoto na bia
 
Sasa ulichoandika hapa ndio agizo kwamba muwe mnamwambia Maria awaombee? Mbona unaandika vitu dhaifu namna hii?

Biblia ilikuwa imeshakamilika tangu enzi za mitume na ikaja kuwa compiled na Jarome 382 AD. Wakatoliki waliongeza hivyo vitabu miaka ya 1500s AD baada ya kushindwa kujibu hoja za Luther.

Isome imani yako badala ya kukurupuka.
Unapokwenda kwa Mwamposa, Mwingira au mzee wa upako, kuna pahala kwenye Bible pamesema uende huko?
 
Mleta mada huna Sababu ya kumshangaa professor anachokiamini badala yake jishangae wewe unaamini vipi Kama Kristo Ni Mungu?na unaamini vipi maandishi ya Paul na Yohana yana Ukweli gani ya jinsi ya kuomba ,Je umefanya research?
 
Moja kati ya mambo ambayo yapo wazi kabisa katika biblia ni maelekezo ya namna maombi yanatakiwa kufanywa. Agizo la maombi lipo very open.

Yesu Kristo alisema mara nyingi sana kwenye injili ya Yohana kwamba tuombe kwa jina lake. Mtume Paulo ameandika tufanye yote katika jina la Yesu Kristo.

Sasa profesa ambaye ameandika paper kibao na amefanya literature review za kutosha ameshindwa kusoma biblia kufahamu tunapaswa kuomba kwa jina gani?

Hakuna sehemu hata moja mitume waliomba kwa jina la Maria. Yule Maria mama wa Yesu alikaa pamoja na mitume na walijazwa Roho Mtakatifu pamoja na wakanena kwa lugha.

Maria alimzaa Yesu lakini hakumzaa Mungu. Kuna tofauti kati ya Yesu na Kristo. Maria sio mama wa Mungu bali ni mama yake Yesu. Yesu ni mwanadamu na Kristo ni Mwana wa Mungu.

Hivyo Yesu Kristo ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja. Asomaye na afahamu.
Point
 
Nilidhani unashangaa professa kusali kabisa.

Yani mtu amesoma halafu bado anaamini akifumba macho kuna invisible man hewani huko juu ya mawingu anamsikiliza na atakuja kumsaidia???

Kweli sisi bado tuna unyani fulani ndani yetu.
Ndomaana wanasema DNA ya Binadamu na ya nyani vinapishana 2% tu
Kwa hiyo na wewe ni atheist?
 
Mleta mada huna Sababu ya kumshangaa professor anachokiamini badala yake jishangae wewe unaamini vipi Kama Kristo Ni Mungu?na unaamini vipi maandishi ya Paul na Yohana yana Ukweli gani ya jinsi ya kuomba ,Je umefanya research?
Hata mm ningemshamgaa sana, hata ningemcheka kabisa.
 
Back
Top Bottom