Imalamawazo
JF-Expert Member
- Jul 27, 2021
- 1,343
- 3,269
Biblia haiongelei maombi bali inatufunulia jinsi tunavyoweza kuishi ndani ya Mungu na Yeye ndani yetu. Maria ni kielelezo cha namna Mungu anaweza kuishi ndani ya binadamu. Kumtumia kama kielelezo ni hiyari yako na pia kujiona uko na hadhi sawa na Maria ni hiyari yako.Moja kati ya mambo ambayo yapo wazi kabisa katika biblia ni maelekezo ya namna maombi yanatakiwa kufanywa. Agizo la maombi lipo very open.