Hujui maana ya kuabudu, hakuna Muislamu anayesoma
1. "ewe Muhammad naomba uniondolee shida zangu "
2.Ahsante Muhammad nimefaulu mtihani
3.Muhammad mkubwa leo mvua imenyesha .
4.Ewe Muhammad naomba unisamehe zambi zangu.
5.Nk
Bali maombi yote yanaelekezwa kwa Mola mlezi muumba wa vyote mwenye hekima bila kumshirikisha na kiumbe au kitu chochote.
Nb: Muhammad (upon him be peace and blessing of Allah) yeye alikuwa kama mwalimu tu na mjumbe hana mamlaka ya kuombwa chochote kusujudiwa , kuabudiwa ,kumpa mtu madhara wala kumuondoshea mamlaka hayo ni ya Mwenyezi Mungu pekee.
Nakala moja iende kwa
To yeye