Nimeshangaa kumuona Profesa mmoja maarufu wa pale UDSM akisali sala ya Bikira Maria

Nimeshangaa kumuona Profesa mmoja maarufu wa pale UDSM akisali sala ya Bikira Maria

Kwa jinsi amri za Mungu zilivyoandikwa hata mimi na wewe tungeweza kupanga amri hata 20 sio kumi tu
Amri zilizoandikwa kwenye Mawe aliyoshuka nayo Musa, zilikuwa zipi? Kwa mtiririko upi?

Kama tunakubaliana kwamba amri kumi za kanisa katoliki zimebadilishwa kiasi (Kama kuichambua hiyo amri ya kumi kuwa mbili za 9+10),hiyo ndiyo pointi yangu.

Wewe umenipa sababu za mabadiliko Kama yalivyofanywa na St Augustine!, nilihitaji kujua Kama ziko tofauti 🙏🙏
 
Amri za Mungu kwenye Biblia Mungu hakuzipanga kama zilivyopangwa leo
Ningependa unipe, jinsi zile za awali zilivyopangwa maana biblia imesema alaaniwe mtu atakayepunguza au kuongeza neno
 
Amri zilizoandikwa kwenye Mawe aliyoshuka nayo Musa, zilikuwa zipi? Kwa mtiririko upi?

Kama tunakubaliana kwamba amri kumi za kanisa katoliki zimebadilishwa kiasi (Kama kuichambua hiyo amri ya kumi kuwa mbili za 9+10),hiyo ndiyo pointi yangu.

Wewe umenipa sababu za mabadiliko Kama yalivyofanywa na St Augustine!, nilihitaji kujua Kama ziko tofauti [emoji120][emoji120]
Bado hujaelewa hakuna aliyebadili! Mungu hakupanga zile amri kama zilivyo unazoamini wewe na zile za Kanisa Katoliki! Mpangilio unaoona ni kazi za watumishi wa Mungu zamani. Chukua biblia yako usome utaelewa. Hutokuta amri zimeandikwa kama hata unavyoamini wewe!

Hata hizo ulizoweka hapo hakuna tofauti, labda kama huelewi basi nitaacha Roho Mtakatifu akipenda akufunulie! Ndio maana huwezi kusikia Kanisa Katoliki likisema Protestants wanakosea! Ni mpangilio usiopunguza au kuongeza chochote. Amri ya kwanza Mungu anataka aabudiwe yeye tu na kwenye biblia kasema mengi sio sanamu tu! Hivyo Mt Augustine akaona ni amri moja.

Huo mtiririko unaouamini wewe ni kazi ya mtu pia sio sheria! Amri za Mungu zilivyoandikwa kwenye bible ndivyo Musa alivyonukuu, hii mipangilio yetu na yenu ni kazi ya watumishi wa Mungu tu.



Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Ningependa unipe, jinsi zile za awali zilivyopangwa maana biblia imesema alaaniwe mtu atakayepunguza au kuongeza neno
1 Mungu akanena maneno haya yote akasema,
Kutoka 20:1

2 Mimi ni Bwana, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
Kutoka 20:2

3 Usiwe na miungu mingine ila mimi.
Kutoka 20:3

4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
Kutoka 20:4

5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
Kutoka 20:5

6 nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.
Kutoka 20:6

7 Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.
Kutoka 20:7

8 Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
Kutoka 20:8

9 Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote;
Kutoka 20:9

10 lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
Kutoka 20:10

11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.
Kutoka 20:11

12 Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana, Mungu wako.
Kutoka 20:12

13 Usiue.
Kutoka 20:13

14 Usizini.
Kutoka 20:14

15 Usiibe.
Kutoka 20:15

16 Usimshuhudie jirani yako uongo.
Kutoka 20:16

17 Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako.
Kutoka 20:17



Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
1 Mungu akanena maneno haya yote akasema,
Kutoka 20:1

2 Mimi ni Bwana, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
Kutoka 20:2

3 Usiwe na miungu mingine ila mimi.
Kutoka 20:3

4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
Kutoka 20:4

5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
Kutoka 20:5

6 nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.
Kutoka 20:6

7 Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.
Kutoka 20:7

8 Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
Kutoka 20:8

9 Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote;
Kutoka 20:9

10 lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
Kutoka 20:10

11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.
Kutoka 20:11

12 Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana, Mungu wako.
Kutoka 20:12

13 Usiue.
Kutoka 20:13

14 Usizini.
Kutoka 20:14

15 Usiibe.
Kutoka 20:15

16 Usimshuhudie jirani yako uongo.
Kutoka 20:16

17 Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako.
Kutoka 20:17



Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo St Augustine, akaangalia mpangilio, mzuri akaamua kipi achukue na kipi aache!
 
Kwahiyo St Augustine, akaangalia mpangilio, mzuri akaamua kipi achukue na kipi aache!
Sasa kama unashindwa kusoma hapo na kuelewa labda unataka kubakia na kile ulichoambiwa juu ya Kanisa Katoliki.

Hata amri unazoamini wewe zimeandikwa kila kitu kama ilivyo kwenye maandiko? Mgawanyo wa hizo amri 10 una logic zake hakuna aliyeongeza wala kupunguza! Nyie mnafata za Origen while sisi wengine tunafata za Mt Augustine! Ila zote zipo sawa tu hakuna aliyekosea.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Ni kuulize swali, ile stori aliyosimulia Yesu ya Lazaro na tajiri, tajiri akiwa motoni akiongea na Ibrahim na Ibrahim kumjibu mambo aliyofanya duniani na hali ya Lazaro ilivyokuwa duniani maana yake Ibrahim ni Mungu? Maana how alijua habari za tajiri na Lazaro duniani?

Mbinguni watakatifu wanaishi na Mungu, ukaribu na Mungu na kwa mapenzi ya Mungu mwenyewe wanapata uwezo huo. Hata hapa duniani zipo cases za ukweli za mtu kama Padre Pio akiwa hai kuonekana sehemu zaidi ya moja kimiujiza! Anatoa huduma sehemu moja na sehemu nyingine pia kwa wakati mmoja kimiujiza!

Kwa Mungu hakuna linaloshindikana, tatizo mnapenda kumuwekea Mungu mipaka! Nikupe mfano mwingine, kasome Ufunuo 6:7 roho zilizochinjwa chini ya madhabahu mbinguni zilimlilia Mungu "hata lini utatulipia kisasi juu ya walio juu ya nchi?" Jiulize hizo roho zimejuaje walio juu ya nchi hawajapata hukumu? Hizo roho ni Mungu sababu ya hiyo sifa ya omnipresent?


Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mkuu ujengaji wenu wa hoja za utetezi nauona kuwa dhaifu sana maana mnatumia event fulani iliyotokea kujenga fundisho. Hapa mnaanza kuwa kama hawa mitume na manabii wa kisasa wanaogeuza tukio lililoandikwa kwenye biblia kuwa ndio msingi wa huduma zao.

Ili utafsiri biblia kwa usahihi unatakiwa kwanza kutofautisha kati ya method na principle. Mfano Yesu Kristo alimponya yule kipofu kwa kutengeneza tope kwa mate, akampaka na kumwambia aende akajioshe kisima cha siloamu na akapona wakati kwa bartimayo alitamka tu na akamponya upofu. Hizo ni methods ila kanuni ni kwamba Mungu ni mponyaji na anaweza kuponya kwa njia mbalimbali pale mtu anapokuwa na imani.

Sasa itashangaza ikiwa mtu atakuja na fundisho kwamba ili uponywe upofu itabidi upakwe tope la kutengenezwa kwa mate.

Kwenye hayo matukio uliyoyataja ni wapi kuna kanuni inayosema mtu aombewe na wafu? Yule tajiri alipojaribu kuomba Abraham amtume Lazaro duniani maombi yake yalikubaliwa? Hukuona akiambiwa wanatakiwa kuwasikiliza waliopo hai duniani akina Musa na manabii? Kwanini nyie mnataka wafu wawaombee wakati hata hapo inaonesha maombi ya wafu hayasikilizwi?

Halafu hizo incidents zote umezitaja za watu kuwa na ufahamu wa mambo ya duniani baada ya kifo ndio zinamaanisha hao wafu wanafahamu kila mtu aliyepo duniani? Kwamba mtu akiwa mbinguni anaweza kuwa anamsikia kila mtu na anajua maombi ya kila mtu? Naomba andiko juu ya jambo hili.

Kwenye biblia framework ya maombi, aina ya contents na jina lipi litumike ni mambo yaliyopo wazi kutoka kwenye maelekezo ya Yesu Kristo mwenyewe na hata kupitia ile inayoitwa sala ya Bwana. Tufuate maagizo ya biblia na sio mapokeo yaliyo baseless.
 
Mkuu ujengaji wenu wa hoja za utetezi nauona kuwa dhaifu sana maana mnatumia event fulani iliyotokea kujenga fundisho. Hapa mnaanza kuwa kama hawa mitume na manabii wa kisasa wanaogeuza tukio lililoandikwa kwenye biblia kuwa ndio msingi wa huduma zao.

Ili utafsiri biblia kwa usahihi unatakiwa kwanza kutofautisha kati ya method na principle. Mfano Yesu Kristo alimponya yule kipofu kwa kutengeneza tope kwa mate, akampaka na kumwambia aende akajioshe kisima cha siloamu na akapona wakati kwa bartimayo alitamka tu na akamponya upofu. Hizo ni methods ila kanuni ni kwamba Mungu ni mponyaji na anaweza kuponya kwa njia mbalimbali pale mtu anapokuwa na imani.

Sasa itashangaza ikiwa mtu atakuja na fundisho kwamba ili uponywe upofu itabidi upakwe tope la kutengenezwa kwa mate.

Kwenye hayo matukio uliyoyataja ni wapi kuna kanuni inayosema mtu aombewe na wafu? Yule tajiri alipojaribu kuomba Abraham amtume Lazaro duniani maombi yake yalikubaliwa? Hukuona akiambiwa wanatakiwa kuwasikiliza waliopo hai duniani akina Musa na manabii? Kwanini nyie mnataka wafu wawaombee wakati hata hapo inaonesha maombi ya wafu hayasikilizwi?

Halafu hizo incidents zote umezitaja za watu kuwa na ufahamu wa mambo ya duniani baada ya kifo ndio zinamaanisha hao wafu wanafahamu kila mtu aliyepo duniani? Kwamba mtu akiwa mbinguni anaweza kuwa anamsikia kila mtu na anajua maombi ya kila mtu? Naomba andiko juu ya jambo hili.

Kwenye biblia framework ya maombi, aina ya contents na jina lipi litumike ni mambo yaliyopo wazi kutoka kwenye maelekezo ya Yesu Kristo mwenyewe na hata kupitia ile inayoitwa sala ya Bwana. Tufuate maagizo ya biblia na sio mapokeo yaliyo baseless.
Nafikiri nilichoandika kinajitosheleza, kama hujaelewa sina namna ya kufanya uelewe. Basi baki na unachoamini, ila usichojua ni usiku wa giza.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Sasa kama unashindwa kusoma hapo na kuelewa labda unataka kubakia na kile ulichoambiwa juu ya Kanisa Katoliki.

Hata amri unazoamini wewe zimeandikwa kila kitu kama ilivyo kwenye maandiko? Mgawanyo wa hizo amri 10 una logic zake hakuna aliyeongeza wala kupunguza! Nyie mnafata za Origen while sisi wengine tunafata za Mt Augustine! Ila zote zipo sawa tu hakuna aliyekosea.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mkuu kwenye amri za RC umeona neno, "usijifanyie sanamu ya kuchonga.... "au unapenda ubishi tu?

Panapotokea kutofautiana misimamo, Biblia ituongoze!

RC wanaamini wanaweza kutuambia ni andiko gani linafaa na lipi halifai?
 
Ngoja niweke kapicha cha kusindikizia uzi , watu wanaacha kuabudu Mungu wa kweli Kazi kuabudu viumbe wenzao #InasikitishaSanaView attachment 2465677

Nb: Huyo picha siyo mtajwa katika uzi bali ni mfano tu jinsi gani watu wanavyoabudu kivyao kama content ya uzi unavyosema.
hii vita utaweza kuhimili brother..!!!?
 
Mkuu ujengaji wenu wa hoja za utetezi nauona kuwa dhaifu sana maana mnatumia event fulani iliyotokea kujenga fundisho. Hapa mnaanza kuwa kama hawa mitume na manabii wa kisasa wanaogeuza tukio lililoandikwa kwenye biblia kuwa ndio msingi wa huduma zao.

Ili utafsiri biblia kwa usahihi unatakiwa kwanza kutofautisha kati ya method na principle. Mfano Yesu Kristo alimponya yule kipofu kwa kutengeneza tope kwa mate, akampaka na kumwambia aende akajioshe kisima cha siloamu na akapona wakati kwa bartimayo alitamka tu na akamponya upofu. Hizo ni methods ila kanuni ni kwamba Mungu ni mponyaji na anaweza kuponya kwa njia mbalimbali pale mtu anapokuwa na imani.

Sasa itashangaza ikiwa mtu atakuja na fundisho kwamba ili uponywe upofu itabidi upakwe tope la kutengenezwa kwa mate.

Kwenye hayo matukio uliyoyataja ni wapi kuna kanuni inayosema mtu aombewe na wafu? Yule tajiri alipojaribu kuomba Abraham amtume Lazaro duniani maombi yake yalikubaliwa? Hukuona akiambiwa wanatakiwa kuwasikiliza waliopo hai duniani akina Musa na manabii? Kwanini nyie mnataka wafu wawaombee wakati hata hapo inaonesha maombi ya wafu hayasikilizwi?

Halafu hizo incidents zote umezitaja za watu kuwa na ufahamu wa mambo ya duniani baada ya kifo ndio zinamaanisha hao wafu wanafahamu kila mtu aliyepo duniani? Kwamba mtu akiwa mbinguni anaweza kuwa anamsikia kila mtu na anajua maombi ya kila mtu? Naomba andiko juu ya jambo hili.

Kwenye biblia framework ya maombi, aina ya contents na jina lipi litumike ni mambo yaliyopo wazi kutoka kwenye maelekezo ya Yesu Kristo mwenyewe na hata kupitia ile inayoitwa sala ya Bwana. Tufuate maagizo ya biblia na sio mapokeo yaliyo baseless.
RC, hata Nyerere anaelekea kuwa mtakatifu, washaanza process! Huko mbeleni utasikia Mtakatifu Julius Nyerere utuombee!

Lazima wakupinge tu!
 
Mtoa maada kasome biblia,mara unasema Yesu si Kristo.Haueleweki .Halafu Prof kusali bikra Maria wewe unapungukiwa na nini?
 
Kwanza huwa nakushangaeni sana watu wa dizaini yako, huwa mnawashwa wapi kufatilia imani za watu?
Kwani lazima uamini anachoamini mtu mwingine?
Tuache tuendeelee kumheshimu Mama wa Mungu,na kwa taarifa yako tu, TZ iliwekwa chini ya ulinzi wa Mama Bikira Maria.
Lete ushahid kuw Tz imewekwa chini ya ulinzi wa huyo uliyemtaja
 
Ujambazi wa kivita ukoje?!
Unavizia mji au Kijiji unakivamia unauwa watu unachukua Mali zao zote , ndio inaitwa ngawira

Kumbuka hii verse ilishuka baada ya gang member wa muhammad kuhoji Mali kwa Nini anazichukua ndio akashusha verse akasema anagawana na mungu wake nusu kwa nusu
 
Unavizia mji au Kijiji unakivamia unauwa watu unachukua Mali zao zote , ndio inaitwa ngawira

Kumbuka hii verse ilishuka baada ya gang member wa muhammad kuhoji Mali kwa Nini anazichukua ndio akashusha verse akasema anagawana na mungu wake nusu kwa nusu
Unakwepa kusema ngawira ni Mali zinazopatikana baada ya kushinda Vita siyo ili neno lako 'ujambazi' liwepo!!?..we ni mcenge,itakua wamekuphila Sana mkesha wa xmass na mwaka mpya Kama walivyomphila fundi seremala wa galilaya mkesha wa kusulubiwa
 
Back
Top Bottom