Nimeshangaa kumuona Profesa mmoja maarufu wa pale UDSM akisali sala ya Bikira Maria

Nimeshangaa kumuona Profesa mmoja maarufu wa pale UDSM akisali sala ya Bikira Maria

Moja kati ya mambo ambayo yapo wazi kabisa katika biblia ni maelekezo ya namna maombi yanatakiwa kufanywa. Agizo la maombi lipo very open.

Yesu Kristo alisema mara nyingi sana kwenye injili ya Yohana kwamba tuombe kwa jina lake. Mtume Paulo ameandika tufanye yote katika jina la Yesu Kristo.

Sasa profesa ambaye ameandika paper kibao na amefanya literature review za kutosha ameshindwa kusoma biblia kufahamu tunapaswa kuomba kwa jina gani?

Hakuna sehemu hata moja mitume waliomba kwa jina la Maria. Yule Maria mama wa Yesu alikaa pamoja na mitume na walijazwa Roho Mtakatifu pamoja na wakanena kwa lugha.

Maria alimzaa Yesu lakini hakumzaa Mungu. Kuna tofauti kati ya Yesu na Kristo. Maria sio mama wa Mungu bali ni mama yake Yesu. Yesu ni mwanadamu na Kristo ni Mwana wa Mungu.

Hivyo Yesu Kristo ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja. Asomaye na afahamu.
hao si ndo wanaambiwa Yesu alizaliwa zizini ( kwenye zizi la ng'ombe)
huo ni uongo wa wazi
 
Umesema sawa kabisa kwenye ufafanuzi wa utambulisho wa Mungu lakini mimi nimenukuu kuwa Mungu anawataja hao akina Ibrahim kama walio hai si wafu! Kwanza nilitaka tukubaliane Watakatifu wapo hai alafu ndio tujadili habari za wao kuweza kutuombea! Kama bado hujaelewa kuhusu hili naweza kuleta maandiko mengi kuonesha Watakatifu wapo hai mbinguni.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Acha kutulisha matango pori. Kuna uwezekano baadhi ya watakatifu wapo mbinguni lakini si wote

1 Thesolonike 4:16-18​

Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza. Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele. Basi, farijianeni kwa maneno hayo.
 
Acha kutulisha matango pori. Kuna uwezekano baadhi ya watakatifu wapo mbinguni lakini si wote

1 Thesolonike 4:16-18​

Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza. Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele. Basi, farijianeni kwa maneno hayo.
Duh! Sawa umeshinda.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Ngoja niweke kapicha cha kusindikizia uzi , watu wanaacha kuabudu Mungu wa kweli Kazi kuabudu viumbe wenzao #InasikitishaSanaView attachment 2465677

Nb: Huyo picha siyo mtajwa katika uzi bali ni mfano tu jinsi gani watu wanavyoabudu kivyao kama content ya uzi unavyosema.
Nimemaliza kusoma hii commenn imenipa na morali ya kwenda kusali Rozari.Ngoja kwanza niende pale St.Joseph kwa Bikira Maria nikasali Rozari yangu ya Matendo ya Furaha
 
Unadhani Execute una cha kuwasilisha katika jamii ya kikristo ya catholic kuhusu Mariam ukaeleweka au ukabadilisha mtazamo walio nao kuhusu Maria.

Au unadhani wewe ndie ulie na ufahamu mkubwa wa biblia kuliko wengine wote na kwamba wewe ndie sasa unakua mkombozi wa wengi walio kwenye upotofu kwa mijibu wako?

Kama ni imani ambayo haina mahusiano na wewe au haina athari na wewe unaweza ukaachana nao tu .

Maana imani na dini na madhehebu yapo kila mahali na kila jamii na kila mmoja wao ana mafundisho ya aina yake yasiyo ingiliana na wengine na maisha yanaendelea.

Huwezi kuongeza au kupunguza kitu kwenye mjadala wa Maria kuhusu kuwa mama wa Mungu , huo mjadala ulishajadiliwa miaka na miaka karne na karne, ulileta athari mpaka kutokea kugawanyika kwa kanisa katoliki la rumi na kanisa katoliki la mashariki.
Pamoja na hayo ni zaidi ya miaka 1000 sasa Maria anatajikana kama mama wa Mungu so usidhani kwamba wewe ndie uko bora zaidi kuliko wengine wote au Mungu anae ona hayo na kuyaacha yaendelee.
Amina na hiki ulichokisema kitabaki kuwa hivi siku zote.Nimalizie kwa kusema "Bikira Maria msaada wa daima,Utuombee[emoji120]"
 
Amina na hiki ulichokisema kitabaki kuwa hivi siku zote.Nimalizie kwa kusema "Bikira Maria msaada wa daima,Utuombee[emoji120]"
kazi za Roho mtakatifu zitakuwa nini sasa kama bikra Maria atafanya kazi ya kutuombea.
Si alikufa au yupo hai
Mfu anatuombeaje wazima
 
kazi za Roho mtakatifu zitakuwa nini sasa kama bikra Maria atafanya kazi ya kutuombea.
Si alikufa au yupo hai
Mfu anatuombeaje wazima
Kila mtu abaki na Imani yake.Wewe amini unachoamini uko sahihi, na mimi niache niendelee kuamini ninachoamini nipo sahihi pia.
 
Kila mtu abaki na Imani yake.Wewe amini unachoamini uko sahihi, na mimi niache niendelee kuamini ninachoamini nipo sahihi pia.
sikuelewi ,kila mtu ataaminije anachotaka sasa. unatetea uongo uliolishwa na viongozi wako wa dini
Imani ipo moja tu kwani Mungu ni mmoja pia. tusaidiane kuitafuta imani ya kweli, na siyo kila mmoja kubaki na imani yake. unawaza kitoto sana mkuu

Waefeso 4:5​

Kuna Bwana mmoja, imani moja na ubatizo mmoja
 
sikuelewi ,kila mtu ataaminije anachotaka sasa. unatetea uongo uliolishwa na viongozi wako wa dini
Imani ipo moja tu kwani Mungu ni mmoja pia. tusaidiane kuitafuta imani ya kweli, na siyo kila mmoja kubaki na imani yake. unawaza kitoto sana mkuu

Waefeso 4:5​

Kuna Bwana mmoja, imani moja na ubatizo mmoja
Bikira Maria msaada wa daima,utuombee [emoji120]
 
sikuelewi ,kila mtu ataaminije anachotaka sasa. unatetea uongo uliolishwa na viongozi wako wa dini
Imani ipo moja tu kwani Mungu ni mmoja pia. tusaidiane kuitafuta imani ya kweli, na siyo kila mmoja kubaki na imani yake. unawaza kitoto sana mkuu

Waefeso 4:5​

Kuna Bwana mmoja, imani moja na ubatizo mmoja
baki na imani yako usiingilie imani ya mwingine ili nae asiingilie imani yako mkaanza kupopoana mawe!
 
Mleta mada ni mwanamke mdangaji aliyesahau kumeza P2 kuzuia mimba baada ya lile tendo la ndoa bila ndoa. Ifike mahala tuache kunyoosheana vidole kwa imani zetu.

Ninyi mnaojifanya wajuaji mmewazidi nini wachina, waarabu, wahindi au wajapan wanaoabudu miungu yao?
 
Back
Top Bottom