Nani amefundisha kuomba kwa Bikira Maria? Tunaomba atuombee kama ninavyoweza kuomba wewe uniombee. Nikiomba wewe uniombee maana yake umechukua nafasi ya Yesu?
Utasema Bikira Maria amekufa hajui lolote, hapo maana yake tuhame mada ili ujue watakatifu hawafi, tena wako karibu na Mungu kuliko hata sisi tulio duniani.
Sisi Kanisa la duniani na Kanisa la washindi mbinguni ni Kanisa moja, tutashirikiana daima. Hapo umeona akisali na pia kuomba msaada wa maombezi kwa mama yetu lakini mimi majuzi nilikuwa kwenye maombi na intercessor niliyesali nae ni Mt. Rita.
Kama una swali uliza, sio ubishi bali majadiliano.
Sent from my SM-A315F using
JamiiForums mobile app