Ndo ulete huku?? Emu acha hizo weweMimi nimeshangaa na hapo sijavunja sheria wala kumlazimisha yeyote aamini ninachoamini.
Vingine ni vichekesho vya kawaida kama hicho cha nchi kuwekwa chini ya ulinzi wa Maria.
Nani amefundisha kuomba kwa Bikira Maria? Tunaomba atuombee kama ninavyoweza kuomba wewe uniombee. Nikiomba wewe uniombee maana yake umechukua nafasi ya Yesu?Moja kati ya mambo ambayo yapo wazi kabisa katika biblia ni maelekezo ya namna maombi yanatakiwa kufanywa. Agizo la maombi lipo very open.
Yesu Kristo alisema mara nyingi sana kwenye injili ya Yohana kwamba tuombe kwa jina lake. Mtume Paulo ameandika tufanye yote katika jina la Yesu Kristo.
Sasa profesa ambaye ameandika paper kibao na amefanya literature review za kutosha ameshindwa kusoma biblia kufahamu tunapaswa kuomba kwa jina gani?
Hakuna sehemu hata moja mitume waliomba kwa jina la Maria. Yule Maria mama wa Yesu alikaa pamoja na mitume na walijazwa Roho Mtakatifu pamoja na wakanena kwa lugha.
Maria alimzaa Yesu lakini hakumzaa Mungu. Kuna tofauti kati ya Yesu na Kristo. Maria sio mama wa Mungu bali ni mama yake Yesu. Yesu ni mwanadamu na Kristo ni Mwana wa Mungu.
Hivyo Yesu Kristo ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja. Asomaye na afahamu.
Kwa hiyo tuseme wote wanaomheshimu na kumuomba Maria wote wanaenda moyoni hio siku ya kiyama?Nilitegemea labda utaleta maandiko ya kibiblia lakini naona umeishia kuweka msimamo wa kidini.
Mimi nilichofanya ni kushangaa tu kwasababu nimeona ni jambo la ajabu na halipo kwenye maandiko.
Naheshimu imani yako, fainali siku ya mauti.
Kwani hilo la wewe kwenda kushangaa lipo kwenye maandiko?Nilitegemea labda utaleta maandiko ya kibiblia lakini naona umeishia kuweka msimamo wa kidini.
Mimi nilichofanya ni kushangaa tu kwasababu nimeona ni jambo la ajabu na halipo kwenye maandiko.
Naheshimu imani yako, fainali siku ya mauti.
Leo tunasherekea Bikira Maria mama wa Mungu. Watu wanafikiri tukisema habari za Bikira Maria tunamuinua yeye kumbe Yesu ndiye anayehubiriwa! Mfano kama unaamini Yesu ni Mungu na alivaa mwili kupitia Bikira Maria huoni kuwa huyo mama ni mama wa Mungu? Unafikiri kama si kuwa mama wa Mungu angekuwa kama watakatifu wengine tu.Nimetunga na ninaimba wimbo wa MAMA MARIA MAMA WA YESU UTUOMBEE.
Huku duniani tupo tu ila hatuyajui mapenzi ya Mingu yako kwenye nini
Waislam hawamuabudu Wala kumuomba MuhammadKumshangaa MTU anamwabudu mama maria mtakatifu ni sawa kumshangaa MTU anamsujudu Muhammad aliyekuwa na totoz kibao.Mi naona kila MTU asimamie imani yake
Usikwepe hoja. Mimi siyo muislam. Mimi ni RC pure. Hujaona ulivyokataa na kulikubali jambo hilo hilo?Toka hapo mufti na muhamed waliposhikilia akili yako utasoma kwa utulivu na kuelewa.
Sala ya Bikira Maria yote imetoka kwenye Biblia ...kama hujui uliza uelimishwe nduguMoja kati ya mambo ambayo yapo wazi kabisa katika biblia ni maelekezo ya namna maombi yanatakiwa kufanywa. Agizo la maombi lipo very open.
Yesu Kristo alisema mara nyingi sana kwenye injili ya Yohana kwamba tuombe kwa jina lake. Mtume Paulo ameandika tufanye yote katika jina la Yesu Kristo.
Sasa profesa ambaye ameandika paper kibao na amefanya literature review za kutosha ameshindwa kusoma biblia kufahamu tunapaswa kuomba kwa jina gani?
Hakuna sehemu hata moja mitume waliomba kwa jina la Maria. Yule Maria mama wa Yesu alikaa pamoja na mitume na walijazwa Roho Mtakatifu pamoja na wakanena kwa lugha.
Maria alimzaa Yesu lakini hakumzaa Mungu. Kuna tofauti kati ya Yesu na Kristo. Maria sio mama wa Mungu bali ni mama yake Yesu. Yesu ni mwanadamu na Kristo ni Mwana wa Mungu.
Hivyo Yesu Kristo ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja. Asomaye na afahamu.
Toka hapo mufti na muhamed waliposhikilia akili yako utasoma kwa utulivu na kuelewa.
kasome kwanza Luka 1:26-28, Luka 1:39-45, Luka 1:8, Wafilipi 2:8-11Sala ya Bikira Maria yote imetoka kwenye Biblia ...kama hujui uliza uelimishwe ndugu
Huyo mjinga hata hiyo bible anayozungumzia ni wakatoliki wameitunza na kuibadili lugha hata akaweza kusomaKwa hiyo wewe unaamini una elimu kubwa kuliko hao wakatoliki eeeeh.Kama kuna dhehebu lina wabobezi wa elimu katika nyanda zote ni kanisa katoliki.
Unafikiri hawajui wanachokifanya hadi ww na mafundisho ya HGW uone kuwa wamepotoka.Once you talk of the bible u talk about catholicism mzee