Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UTII ukizidi unakuwa UOGA, uoga huzaa UNAFIKI na KUJIPENDEKEZA, mwisho wake ni UMAUTI.!Back kwa Mufti, kama kweli hiki ndicho alichozungumza kuhusu Freeman Mbowe, then hata mimi nakubaliana na mleta hoja kuuliza, kuwa, hivi huko kwenye chuo chao cha Theolojia ya dini ya Kiislamu huyu Mufti alifundishwa nini kamsema haya siyo kukashfu imani wala dini yoko
Hebu jiridhishe kwanza na Huyu Mufti anayetaka Mbowe aombewe msamaha as if shutuma za ugaidi ni sawa na kuvunja glasi basi ukirudia uadhibiwe! Very pathetic!Hivi kwenye huo mkutano kazungumza Mufti tu au na viongozi wa dini nyingine walizungumza?
Mnasahau sana Mama alitamka wazi kosa la Mbowe ni kukosa adabu hivyo wenyeakili kubwa dio wanaomba hiyo adabu aliyo kosewa aisameheTunaiachia mahakama. Mufti ndio kishasema yake. Lissu alisema nini alipokutana na Mama Samia Ubelgiji?
Hahahaha!!!Hiyo principle mbona ipo wazi? Unawezaje kusoma hiki ni Kizuri kama hakuna kibaya? Au hichi kikubwa pasipo kulinganisha na kilicho kidogo? Ukisema huyu ni mweupe sn ni lazima umemlinganisha na aliye mweusi.
Kwa kupitia ulinganifu ndio utaona kwa uwazi uzuri na ubaya wa vitu. Rejea topic ya superative and comparative ya drs 4.
Huu ni utaratibu wa jamii forum na ndio dhima yake..Unaongea hayo kwa ujasiri, huku ukiwa umejificha nyuma ya fake ID. Kama mdomo ndio ungekuwa uhalisia wetu, wabongo tungekuwa saa hizi tupo juu x10 ya Mrusi.
Ndio wale wale wa father Kit Cunningham, mnajulikana kwa matamshi yenu tu. Mna haya nyie?Bibi yetu babu hakukufikishi udzungwa nini mbona kidomodomo sana?
Kama u mkweli (I doubt, weka ushahidi) ndio atie adabu. Kuna lipi zaidi? Nilijua kuwa huu ni usongo kwa mama sio kwa Mufti.Mnasahau sana Mama alitamka wazi kosa la Mbowe ni kukosa adabu hivyo wenyeakili kubwa dio wanaomba hiyo adabu aliyo kosewa aisamehe
Mkubwa kwamila zetu hakosei(hapo kuna fumbo gani?) Bibi unakera sasaKama u mkweli (I doubt, weka ushahidi) ndio atie adabu. Kuna lipi zaidi? Nilijua kuwa huu ni usongo kwa mama sio kwa Mufti.
Fumbo mfumbie mjinga.
Fumbo lipi wakati mkubwa hakoseiKama u mkweli (I doubt, weka ushahidi) ndio atie adabu. Kuna lipi zaidi? Nilijua kuwa huu ni usongo kwa mama sio kwa Mufti.
Fumbo mfumbie mjinga.
Kitimoto tena 😃Nimeuliza swali.
Mwislamu safi akiulizwa hujibu kwa hekima.
Ila wewe umejibu kama tuko kwenye banda la kitimoto tunakula kwa kujificha
jinga kabisa aaa 😂😂😂😂😂 nimecheka sanaHaya kumekucha , jamaa kaandika kwa jazba kawaamsha wazee wa mkunazini, haya kumekucha swalaaaaaaaaaaaa
Mkuu so umecheki mwenyewe jamaa alivyoshambuliwa na wafia dini 😃😃😃😃 yaani Ile swalaaaaaaaaaa wakaibuka na majambia maana wao ni kuchinja tu.jinga kabisa aaa 😂😂😂😂😂 nimecheka sana
Una msongo wa mawazo
Hii ni stress mbaya sana
Mpaka Leo umekuwa mtu mzima bado unaandika kama mtoto wa chekechea
Hakika una msongo wa mawazo