Nimeshangaa sana kuona mchezaji wa Wydad Casablanca anaitwa Allah

Nimeshangaa sana kuona mchezaji wa Wydad Casablanca anaitwa Allah

Championship

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2019
Posts
5,500
Reaction score
10,616
Kumbe hili jina linaweza kutumiwa na muumini kama jina lake?

Huyu ni mwenyeji wa Morocco. Na leo kwenye fainali namuona hapa.


Screenshot_20220530-235722.png



Muongozo tafadhali FaizaFoxy adriz Kisai
 
Jina la mwenyez mungu linaweza kutumika na kitu Chengine likawa na maana tofauti.

kuna watu wanaitwa Abdala (Abdullah, Abd Allah) ikimaanisha Mja wa mwenyez Mungu.

Hilo Yahia ni Yahya (ikimaanisha Mungu ni mwenye rehema)

Attiya inamaanisha zawadi

Allah ni jina la mungu.

Hapo kiswahili ni kama umesema zawadi toka kwa mungu.
 
Jina la mwenyez mungu linaweza kutumika na kitu Chengine likawa na maana tofauti.

kuna watu wanaitwa Abdala (Abdullah, Abd Allah) ikimaanisha Mja wa mwenyez Mungu.

Hilo Yahia ni Yahya (ikimaanisha Mungu ni mwenye rehema)

Attiya inamaanisha zawadi

Allah ni jina la mungu.

Hapo kiswahili ni kama umesema zawadi toka kwa mungu.
Haya ni majina matatu ambapo mawili ni ya baba na ukoo au ni jina moja lina vipengele vitatu?
 
Attiyat Allah ni Jina moja. Hilo ni jina la Kiarabu lililotafsiriwa kiingereza.
Tungeandika Zabronhamis, hili ni jina moja. Tukiandika Zabron hamis (kwa kanuni za uandishi wa majina) ni jina moja. Lakini Zabron Hamis, ni majina mawili tofauti. Aatiyahallah (kama ilivyo kwa kina Abdallah) ni jina moja. Lakini Aatiyah Allah, ni majina mawili tofauti nikimaanisha kila jina linajitegemea.
 
Kumbe hili jina linaweza kutumiwa na muumini kama jina lake?

Huyu ni mwenyeji wa Morocco. Na leo kwenye fainali namuona hapa.


View attachment 2245011


Muongozo tafadhali FaizaFoxy adriz Kisai
Hahahahahah unashangaza na kuchekesha wakati huo huo? Hivi Tanzania hii unawafahamu akina Abd"Allah" wangapi"?

Hilo jina linaanzia hapo kwenye "Attiyat "wengine huliandika au kulitamka "Attiyah". Neno hilo linamaanisha zawadi (yenye thamani)> Atiiyat- Allah ni zawadi kutoka kwa Allah.

Hakuna kipya hapo ila ni "exposure" finyu tu ya mleta mada.
 
Space Abd Allah na Abdallah
Hahahahahah unashangaza na kuchekesha wakati huo huo? Hivi Tanzania hii unawafahamu akina Abd"Allah" wangapi"?

Hilo jina linaanzia hapo kwenye "Attiyat "wengine huliandika au kulitamka "Attiyah". Neno hilo linamaanisha zawadi (yenye thamani)> Atiiyat- Allah ni zawadi kutoka kwa Allah.

Hakuna kipya hapo ila ni "exposure" finyu tu ya mleta mada.
 
Waarabu wa bongo wamekua wapoleeee daah sasa huyo jamaa angekua bongo au nijeria wangemlazimisha abadili jina la sivyo mawe na kiberiti vingemhusu
Labda hujaupitia uzi vizuri, umekurupuka.

Hahahahahah unashangaza na kuchekesha wakati huo huo? Hivi Tanzania hii unawafahamu akina Abd"Allah" wangapi"?
Hilo jina linaanzia hapo kwenye "Attiyat "wengine huliandika au kulitamka "Attiyah". Neno hilo linamaanisha zawadi (yenye thamani)> Atiiyat- Allah ni zawadi kutoka kwa Allah.
Hakuna kipya hapo ila ni "exposure" finyu tu ya mleta mada.

Na wewe sasa unaendeleza na kuutangaza ufinyu wako wa uelewa.

Soma hii mada; Huwezi na Hutoweza Kuongea / Kuandika Kiswahili fasaha
 
IMG_9992.jpg

Huyu ni mchezaji wa manchester city yeye anaitwa jesus nae ulimshangaa au kawaida tu?
 
Back
Top Bottom