Nimeshangaa sana kuona mchezaji wa Wydad Casablanca anaitwa Allah

Nimeshangaa sana kuona mchezaji wa Wydad Casablanca anaitwa Allah

Tungeandika Zabronhamis, hili ni jina moja. Tukiandika Zabron hamis (kwa kanuni za uandishi wa majina) ni jina moja. Lakini Zabron Hamis, ni majina mawili tofauti. Aatiyahallah (kama ilivyo kwa kina Abdallah) ni jina moja. Lakini Aatiyah Allah, ni majina mawili tofauti nikimaanisha kila jina linajitegemea.
Na Abdur Rahmaan ni majina mangapi? Eleweni maana kwanza.
 
Lazima kuna tatizo, ndo maana tujawahi kusikia Mtanzania anaitwa Allah katika mamilioni ya Waislam nchi hii. Muhammad wapo, Issa, Mariam, Khadija. Allah, never.

Sema hapa tumekwama, hatuwezi kumkosoa Mwarabu mwenye dini yake.
Hakuna Muislam anaitwa Allah. Kwa sababu ni Haramu kwa mtu kuitwa hivyo. Hilo jina la huyo mchezaji ni jina moja. Jamani someni au hata muulize basi.
 
Waarabu wa bongo wamekua wapoleeee daah sasa huyo jamaa angekua bongo au nijeria wangemlazimisha abadili jina la sivyo mawe na kiberiti vingemhusu
Pole sana mkuu, uliumizwa sana na kifo cha Debora eeh?

Jina la huyo jamaa halina shida katika Uislam. Kwa hiyo siyo ajabu.
 
Jina hilo wengi tu wanaitwa ila haliandikwi hivyo wanaitwa Allaa sio Alllah kiarabu herufu moja tu na maana inabadilika ni ile hali ya kulitamka lile jina. Wengi tu wanaitwa Allaa
 
Tungeandika Zabronhamis, hili ni jina moja. Tukiandika Zabron hamis (kwa kanuni za uandishi wa majina) ni jina moja. Lakini Zabron Hamis, ni majina mawili tofauti. Aatiyahallah (kama ilivyo kwa kina Abdallah) ni jina moja. Lakini Aatiyah Allah, ni majina mawili tofauti nikimaanisha kila jina linajitegemea.
Usiwe mbishi hilo wameandika wazungu lkn lina asili ya kiarabu ,jaribu kujua waarabu wenyewe wanaliandikaje, achana na Google au ,angalia jina rasmi katika usajili wa timu yake ya moroko shekh,Wazungu wamekosea kuliandika
 
Nimeangalia jina la mleta mada ni championship ila mkurupukaji

Ufinyu wa akili unakusumbua meza wembe. Jamaa anaitwa allah mungu wenu huyo
Labda hujaupitia uzi vizuri, umekurupuka.

Hahahahahah unashangaza na kuchekesha wakati huo huo? Hivi Tanzania hii unawafahamu akina Abd"Allah" wangapi"?
Hilo jina linaanzia hapo kwenye "Attiyat "wengine huliandika au kulitamka "Attiyah". Neno hilo linamaanisha zawadi (yenye thamani)> Atiiyat- Allah ni zawadi kutoka kwa Allah.
Hakuna kipya hapo ila ni "exposure" finyu tu ya mleta mada.

Na wewe sasa unaendeleza na kuutangaza ufinyu wako wa uelewa.

Soma hii mada; Huwezi na Hutoweza Kuongea / Kuandika Kiswahili fasaha
ni wewe je hii ni fekero Id yako?
 
Asante mkuu,Debora aliniuma mno kaonewa sana

Ni jina la kawaida kwa waelewa na wastaarabu ila kwa wale wakurupukaji wafia dini ni dhambi kubwa mno kwao hata kulitamka tu wakati sio dini yao wanaona unataka shari
Pole sana mkuu, uliumizwa sana na kifo cha Debora eeh?

Jina la huyo jamaa halina shida katika Uislam. Kwa hiyo siyo ajabu.
 
Hahahahahah unashangaza na kuchekesha wakati huo huo? Hivi Tanzania hii unawafahamu akina Abd"Allah" wangapi"?

Hilo jina linaanzia hapo kwenye "Attiyat "wengine huliandika au kulitamka "Attiyah". Neno hilo linamaanisha zawadi (yenye thamani)> Atiiyat- Allah ni zawadi kutoka kwa Allah.

Hakuna kipya hapo ila ni "exposure" finyu tu ya mleta mada.
Hawa waarabu hawajui hili mpaka waandike Allah kwenye jezi?
 
Hakuna Muislam anaitwa Allah. Kwa sababu ni Haramu kwa mtu kuitwa hivyo. Hilo jina la huyo mchezaji ni jina moja. Jamani someni au hata muulize basi.
Mimi nimeona jezi mwarabu anaitwa Allah. Mbona wao hawakuyaunganisha?
 
Jina hilo wengi tu wanaitwa ila haliandikwi hivyo wanaitwa Allaa sio Alllah kiarabu herufu moja tu na maana inabadilika ni ile hali ya kulitamka lile jina. Wengi tu wanaitwa Allaa
Wewe umeona kwenye jezi walivyoandika? Mimi nimeshangaa, Ina maana wewe unafahamu zaidi ya waarabu?
 
Usiwe mbishi hilo wameandika wazungu lkn lina asili ya kiarabu ,jaribu kujua waarabu wenyewe wanaliandikaje, achana na Google au ,angalia jina rasmi katika usajili wa timu yake ya moroko shekh,Wazungu wamekosea kuliandika
Ile jezi ya mchezaji imeandikwa jina moja Allah ni google pale?
 
Nimeangalia jina la mleta mada ni championship ila mkurupukaji

Ufinyu wa akili unakusumbua meza wembe. Jamaa anaitwa allah mungu wenu huyo

ni wewe je hii ni fekero Id yako?
Mnataka kuacha jina la mchezaji mpiganie jina langu?🤣🤣🤣

Numbisa huyo atakuwa kavurugwa baada ya kumuona Allah live bila chenga.
 
Allah huyu huyu tunayemsikia sasa tunamwona akicheza kabumbu.
Yes,Attiya Allah ndie anaecheza kambumbu

kama vile Hizzbu Allah wanavyolichanganya jeshi la Israel..

Abdu Allah anavyo fanya mambo yake pale sehemu
 
Back
Top Bottom