Nimeshangaa sana kuona mchezaji wa Wydad Casablanca anaitwa Allah

Nimeshangaa sana kuona mchezaji wa Wydad Casablanca anaitwa Allah

Hakuna Muislam anaitwa Allah. Kwa sababu ni Haramu kwa mtu kuitwa hivyo. Hilo jina la huyo mchezaji ni jina moja. Jamani someni au hata muulize basi.
Ni jina moja kivipi ?

YAHIA ATTIYAT ALLAH


MBWANA ALLY SAMATTA

Jina la mwisho ALLAH

Tusome vizuri vipi tena ?
 
Ni jina moja kivipi ?

YAHIA ATTIYAT ALLAH

MBWANA ALLY SAMATTA

Jina la mwisho ALLAH

Tusome vizuri vipi tena ?
Elewa kuwa ‘Attiyatullah ni jina moja kama vile ‘Abdullah lilivyo moja. Na Waarabu ndivyo wanavyolitamka. Hivyo ulivyoliandika ni matamshi ya Wazungu. Ni kama ‘Abdullah wengine wanavyoliandika Abd Allah (kutokana na matamshi yao). Au Hibatullah wazungu huliandika Hibat Allah. Sasa mfano mtu anayeitwa Ahmad ‘Abdullah akaandikwa Ahmad Abd Allah wewe utasema ni majina matatu? Nadhani utakuwa unenielewa. Kama hujaelewa hapo basi tena.
 
Elewa kuwa ‘Attiyatullah ni jina moja kama vile ‘Abdullah lilivyo moja. Na Waarabu ndivyo wanavyolitamka. Hivyo ulivyoliandika ni matamshi ya Wazungu. Ni kama ‘Abdullah wengine wanavyoliandika Abd Allah (kutokana na matamshi yao). Au Hibatullah wazungu huliandika Hibat Allah. Sasa mfano mtu anayeitwa Ahmad ‘Abdullah akaandikwa Ahmad Abd Allah wewe utasema ni majina matatu? Nadhani utakuwa unenielewa. Kama hujaelewa hapo basi tena.
Sio mimi niliyeandika...

Nimenakili tu...

Jersey yake imeandikwaje ?
 
Dini zenyewe zimekuja na majahazi sisi tunazikurupukia. Hayo ni majina tu cha msingi usikufuru Mungu tatizo upande wapili wanataka kuona dini yao ni safi zaidi kwamba hayo majina walio mpa mungu wao hayawez tumika na binadamu mnashindwa kukumbuka bila muarabu hizo kanzu mngeziskia kwenye bomba na bila mzungu misalaba imgekua antena tu hivyo tusiotee sana kwenye dini za kuletewa watu waliitwa majina ya miungu ya mababu zetu amabayo iliweza tenda miujiza leo ukiskia mtu anaitwa allah basi unashangaa kama jambo la ajabu. Think big[emoji41]
 
Waarabu wa bongo wamekua wapoleeee daah sasa huyo jamaa angekua bongo au nijeria wangemlazimisha abadili jina la sivyo mawe na kiberiti vingemhusu
Wanafuata mkumbo hata waarabu wenye dini yao wanawashangaa[emoji23][emoji23]
 
Allah ni neno la kiarabu lililotumika kutaja (utaweka mwenyewe)
Sasa sioni kama ni vibaya mtu kuitwa jwa jina hil
Gabriel Jesus
Hapo kuna jina la malaika na la mwana wa Mungu huku yeye mwennyewe akiwa ndiye Mungu mwenyewe
Hayo yote ni majina LAKINI ni tofauti na jina lizidilo majina yote, jina lenye nguvu ya Mungu - YESU KRISTO! Hili Jina linazidi majina yote kwani lina nguvu na uweza na uwezo wa ajabu. Hii ni kwa IMANI, kama huamini au hukubali BASI!
 
Angalau wewe umeomba msamaha, ni muungwana.

Jitahidini kudhibiti hisia zenu. Mijadala hii inasaidia kuongeza ufahamu.
Na wewe ujifunze kuleta na kujadili mijadala kwa adabu na heshima ,mara kibao nakuona kwenye nyuzi mbalimbali ukileta kejeli kwa waislamu na Uislamu tofauti na wengine wanapotaka kujifunza au kujua jambo hivyo usitake haki na heshima upewe wewe ilhali wewe huwezi kuwapa wenzako.
 
Sio mimi niliyeandika...

Nimenakili tu...

Jersey yake imeandikwaje ?
Aliyeruka mstari sio mjinga. Mfano John Pombe sio jina moja hapo
Mnatakiwa kufahamu Fifa hawaruhusu kuandika kwa lugha Yoyote jezi ila tu utumie latin script.

Ukiona kiarabu neno limeishiwa na t hio ujue kuna kitu kinaendelea.

Neno "Attiya" ndio zawadi, ingekuwa ni jina moja lingeishia hapo.

Ila pameandikwa "Attiyat" kwa Mtu anaeelewa kiarabu Anajua huwezi kuishia hapo lipo neno jengine mbele yake.
 
Na wewe ujifunze kuleta na kujadili mijadala kwa adabu na heshima ,mara kibao nakuona kwenye nyuzi mbalimbali ukileta kejeli kwa waislamu na Uislamu tofauti na wengine wanapotaka kujifunza au kujua jambo hivyo usitake haki na heshima upewe wewe ilhali wewe huwezi kuwapa wenzako.
Huwezi kukuta hata sehemu moja nimemtukana mtu. Kuna muda wa utani na unabaki kuwa utani na kuna muda tunajenga hoja. Changamoto huwa waislamu uvumilivu unakuwa mdogo pale mnapoletewa challenge nzito kwenye imani yenu.
 
Asante mkuu,Debora aliniuma mno kaonewa sana

Ni jina la kawaida kwa waelewa na wastaarabu ila kwa wale wakurupukaji wafia dini ni dhambi kubwa mno kwao hata kulitamka tu wakati sio dini yao wanaona unataka shari
Samahani nipo nje ya mada.
Ni Deborah yupi?
 
Kuna binti(mwanafunzi wa chuo)walimuua nigeria baada ya kuwakataza wasitume masuala ya dini kwenye group la masomo akatuma voice notes kuwasisitiza zaidi wakasema kamtukana mtume wao,wakamchoma moto maeneo ya hapo chuoni
Samahani nipo nje ya mada.
Ni Deborah yupi?
 
Kuna binti(mwanafunzi wa chuo)walimuua nigeria baada ya kuwakataza wasitume masuala ya dini kwenye group la masomo akatuma voice notes kuwasisitiza zaidi wakasema kamtukana mtume wao,wakamchoma moto maeneo ya hapo chuoni
Inasikitisha sana!
Asante kwa kunijuza mkuu.
 
Allah ni neno la kiarabu lililotumika kutaja (utaweka mwenyewe)
Sasa sioni kama ni vibaya mtu kuitwa jwa jina hil
Gabriel Jesus
Hapo kuna jina la malaika na la mwana wa Mungu huku yeye mwennyewe akiwa ndiye Mungu mwenyewe
Jesus ni la kawaida kama ilivyo Kwa Mohamed/ Muhammad. Ila Mungu, sio kawaida.
 
Back
Top Bottom