Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
- Thread starter
- #61
Mungu ni cheo, sio jina.Kina Bizimungu hujawasikia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ni cheo, sio jina.Kina Bizimungu hujawasikia?
Ila wewe una haq ya kujibia uislamu!?Wewe kwenye profile uko uchi kwa mujibu wa dini. Unatakiwa upigwe mawe hadi kufa. Huna hadhi ya kujibia uislamu.
Itakuwaje huyo mchezaji akiwa mbakaji? Watu watasema Allah Kabaka.Naam, Hayo ni katika kuelezea na kuweka uhalisia. Ni nama ya maandishi na matamko. Hayo majina yote yanaandikika vizuri sana kwa lugha yake asili iliyokamilika, Kiarabu.
Soma hii mada; Huwezi na Hutoweza Kuongea / Kuandika Kiswahili fasaha
Nimesoma Quraan najuwa nacho ongea kuandikwa kiarabu ngumu kuandika kizungu maana tofautiWewe umeona kwenye jezi walivyoandika? Mimi nimeshangaa, Ina maana wewe unafahamu zaidi ya waarabu?
Samahani sana mkuu, ila kuna wakati unaudhi.Tumia lugha ya staha. Nimemjibu kila aliyeuliza separately.
Issue ni kwamba jina Ni la Kiarabu limeandikaa Kingereza. Hio tafsiri ndio inaleta mkamganyikoTungeandika Zabronhamis, hili ni jina moja. Tukiandika Zabron hamis (kwa kanuni za uandishi wa majina) ni jina moja. Lakini Zabron Hamis, ni majina mawili tofauti. Aatiyahallah (kama ilivyo kwa kina Abdallah) ni jina moja. Lakini Aatiyah Allah, ni majina mawili tofauti nikimaanisha kila jina linajitegemea.
Angalau wewe umeomba msamaha, ni muungwana.Samahani sana mkuu, ila kuna wakati unaudhi.
Fifa wanaruhusu Hilo? Ni lazima Jezi ziandikwe kwa Latin script, huwezi andika Kiarabu.Hawa waarabu hawajui hili mpaka waandike Allah kwenye jezi?
Mkuu mbona yapo mengi tu
Mf:
Ayatullah
Abdullah
Au hujui maana yake
Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
Deborah alikosea na bahati mbaya alikutana na Waislam wajinga wenye jazba. Ni fundisho kuwa usifanye jambo la kijinga mbele ya Waislam wajinga wenye jazba, kiukweli watakuumiza.
Hilo jina sio baya, hujaelewa vizuri tu mkuu. Wanaofahamu kiarabu wanaelewa. Huyo mchezaji hilo jina lake la pili lililomchanganya muanzisha uzi ni عطية الله (‘Atwiyatullah) likimaanisha “Zawadi ya Allah” au “Kilichotolewa na Allah” Kimemchanganya namna lililovyoandikwa kwa herufi anazozielewa akadhani amepata hoja ya kuja kubishana hapa jukwaani. Ni kama عبد الله katika herufi za kilatini kuna wanaoandika Abdullah kuna wanaoandika Abd Allah. Sasa mleta mada akiona “Abd Allah” atasema huyo mtu kaitwa Allah. Haelewi.
Kilichokatazwa ni mtu kuitwa majina ambayo ni maalum kwa ajili ya Allah tu. Mfano haifai mtu kuitwa Allah au akaitwa Al-Ahad (Mmoja Pekee) au Ar-Razzaq (Mwenye kuruzuku) au Al-Khaaliq (Muumbaji) na mengine mfano wa hayo.
Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alimbadilisha mtu aliyesilimu aliyekuwa akiitwa Abul-Hakam (baba wa Hukumu) akimwambia kuwa Allaah Pekee Ndiye Mwenye sifa hiyo ya Al-Hakam, na Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) akamuuliza kama ana watoto na majina yao, yule mtu akataja wanawe watatu, Shurayh, Muslim na 'Abdullaah. Basi Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) akamwambia: “Kuanzia leo wewe ni Abuu Shurayh.” [Abu Daawuwd].
Lakini yapo majina ambayo ni sifa za Allah lakini pia ni ya Wanaadamu. Mfano jina Maalik (Mfalme). Hilo yafaa kumpa mtu.
Wanaopewa majina ya Allah hutanguliwa na “Abd” yaani “Mja”. Mfano Abdullah (Mja Wa Allah) au ‘Abdur Rahmaan (Mja wa Mwingi wa Rahma) au Abdur Razzaq (Mja wa Mwenye Kuruzuku) na kadhalika.
Mbona hujaweka picha ya jezi umeweka picha Google?weka jezi hapaIle jezi ya mchezaji imeandikwa jina moja Allah ni google pale?
Ingia YouTube uangalie marudio, sina muda sasa hivi.Mbona hujaweka picha ya jezi umeweka picha Google?weka jezi hapa
Kwani hayo majina ya Kiislam au ya Kiarabu?Lazima kuna tatizo, ndo maana tujawahi kusikia Mtanzania anaitwa Allah katika mamilioni ya Waislam nchi hii. Muhammad wapo, Issa, Mariam, Khadija. Allah, never.
Sema hapa tumekwama, hatuwezi kumkosoa Mwarabu mwenye dini yake.
Ile meli ilichukua watumwa kwanza Afrika kuwapeleka Ameika ikiitwaje vile? Sasa huyo mwenye hilo jina ndio kabeba watumwa?Itakuwaje huyo mchezaji akiwa mbakaji? Watu watasema Allah Kabaka.
Utetezi dhaifu sana huu.Ile meli ilichukua watumwa kwanza Afrika kuwapeleka Ameika ikiitwaje vile? Sasa huyo mwenye hilo jina ndio kabeba watumwa?
Hapo sasa.
Hapa umeelewekaHahahahahah unashangaza na kuchekesha wakati huo huo? Hivi Tanzania hii unawafahamu akina Abd"Allah" wangapi"?
Hilo jina linaanzia hapo kwenye "Attiyat "wengine huliandika au kulitamka "Attiyah". Neno hilo linamaanisha zawadi (yenye thamani)> Atiiyat- Allah ni zawadi kutoka kwa Allah.
Hakuna kipya hapo ila ni "exposure" finyu tu ya mleta mada.
Ilio ni jina moja "Attiyat Allah"Aiseee nyani haoni kundule soma kichwa cha uzi ni Allah bila kupandikiza jina jingine
Ilio ni jina moja "Attiyat Allah"
Chiki hapo View attachment 2245649
Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
Rahman ni jina na halina ukakasi.Na Abdur Rahmaan ni majina mangapi? Eleweni maana kwanza.