mbona kama KUN AGUEROKumbe hili jina linaweza kutumiwa na muumini kama jina lake?
Huyu ni mwenyeji wa Morocco. Na leo kwenye fainali namuona hapa.
View attachment 2245011
Muongozo tafadhali FaizaFoxy adriz Kisai
Hata hivyo kuna mshikaji,anaitwa MLUNGU"Kilugha"ikiwa na maana ya MUNGU, Nagikiri ni mapokeo ya jamii//Allah ni neno la kiarabu lililotumika kutaja (utaweka mwenyewe)
Sasa sioni kama ni vibaya mtu kuitwa jwa jina hil
Gabriel Jesus
Hapo kuna jina la malaika na la mwana wa Mungu huku yeye mwennyewe akiwa ndiye Mungu mwenyewe
Kumbe hili jina linaweza kutumiwa na muumini kama jina lake?
Huyu ni mwenyeji wa Morocco. Na leo kwenye fainali namuona hapa.
View attachment 2245011
Muongozo tafadhali FaizaFoxy adriz Kisai