Nimeshangazwa kutowaona wakina Kabudi, Makonda, Hapi Bashiru na wengine huko Chato. Hongera Waziri Bashungwa

Nimeshangazwa kutowaona wakina Kabudi, Makonda, Hapi Bashiru na wengine huko Chato. Hongera Waziri Bashungwa

VIPI WABUNGE walioteuliwa na Magufuli badala ya KUPIGIWA KURA na Wananchi?
VIPI COVID 19 waliozawadia UBUNGE wa VITI MAALUMU na MAGUFULI?
Vipi waliounga JUHUDI MKONO na KIPEWA Vyeo kina Nassari Katambi MASHINGI Mkumbo ?
Imepita hiyoooo. Maisha mengine yanaendelea
 
Kabudi tangu ahojiwe kuhusu pesa alizochepusha kwenda China hali so shari kwake anajua ipo siku ataenda segerea uhujumu uvhumi na utakatishaji
 
Mnataka aongee watu wakumbushie billion sita anazodaiwa!? Yule mpuuzi Hana hata shukran, alitakiwa Leo awe chato, alipewa hadi ulinzi akiwa anafanya jogging!!??
I think is keeping low profile, watu wakimuona tu watakumbushia uovu wake
 
Mzee alimpa mwenzake hadhi ya mungu. Eti mheshimiwa mungu......... Ila tuliona mambo.
Profesa wa hela kanyaboya
Binadamu wanafiki sana, huyu si ndiye alileta ile chanjo kutoka sijui Madagascar
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kabudi tangu ahojiwe kuhusu pesa alizochepusha kwenda China hali so shari kwake anajua ipo siku ataenda segerea uhujumu uvhumi na utakatishaji
Mkubwa, hivi ni kweli alohojiwa au zilikuwa tetesi?
 
Binadamu wanafiki sana, huyu si ndiye alileta ile chanjo kutoka sijui Madagascar
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zilipakiwa za kutosha kwenye ndege, yule Rais wa Madagascar sijui alituona vipi? Hivi ni kweli alikunywa zile? Maana hata kiusalama haijakaa vizuri
 
Waliokuwa wanasema aongezewa mda hata akikataa watamlazimisha wako wapi?

Tanzania bila unafiki inawezekana
KATAA UNAFIKI
 
Bashungwa na hayati ukiachilia mbali mambo ya siasa ni watu ambao wanafahamiana kitambo kifamilia. So, si ajabu kwake kufika pale. Ni kifamilia zaidi
Huyo ammeenda kwa niaba ya rais bila hivyo asingefika.

Sema binadam hatueleweki..wangeenda mngeanza kuwasagia kungimi kuwa wanamsalit mama.
 
Huyo ammeenda kwa niaba ya rais bila hivyo asingefika.

Sema binadam hatueleweki..wangeenda mngeanza kuwasagia kungimi kuwa wanamsalit mama.
Sijui kwanini hili jambi limekuwa big deal... Siku ya kufariki kwake haijawahi kutangazwa kuwa siku ya kutaifa, so kwenda na kutokwenda ni uamuzi wa mtu.
 
Back
Top Bottom