Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umelewa kumbu kumbu hata unavyoongea havielewekiHamumuogopi kwa yeye kuwa Amiri jeshi wa majeshi yote? Wanajeshi wanamuogopa kwa cheo cha Amiri Jeshi nyie hamumuogopi ? Ni mtani wenu?
Wabunge wa chato wamebaki wakiwa, nguzo muhimu imeanguka. Nilikuwepo wengi wao hawana furaha, 2025 hawatorudi.Hata wasanii akina Dai na Mtwara wamesusa??
Ndio maana tunasema ukiwa Kiongozi fanya kwa mujibu wa sheria na kanuni usitake kuwafurahisha watu😅😅
😅😅😅Wabunge wa chato wamebaki wakiwa, nguzo muhimu imeanguka. Nilikuwepo wengi wao hawana furaha, 2025 hawatorudi.
Bitteko mjanja keshaaga kundi kijanja 😀
Haya maisha ishi kinafiki utafanikiwa mno, ukishupaza shingo utaumia. Hayari JPM alikuwa ana nguvu pindi yupo hai ila sasa ashakuwa mifupa hivyo ni kuwa mpole na kuendeleza mazuri yake kwa uongozi wa Mama Dkt. Samiah Suluhu Hassan.
Mwamba Musiba je??Makonda anaishi kama DIGIDIGI, hawezi kuonekana hapo
Mnataka aongee watu wakumbushie billion sita anazodaiwa!? Yule mpuuzi Hana hata shukran, alitakiwa Leo awe chato, alipewa hadi ulinzi akiwa anafanya jogging!!??Yuko wapi kwanza huyu?
Atakuwa anaona aibu kajifichaYuko wapi kwanza huyu?
Na hao familia hawatakuwa woteItafika kipindi watabakia familia yake Tu, hii ndiyo dunia Mzee
We jamaa mbona hukuenda Chato? Kwani. ndege hazitui tena pale intaneshno Eapoti?Na hao familia hawatakuwa wote
Hivi kabudo mnamwona yuko sawasawa mzee yule mwenyewe alijiiita takatakaBila shaka ni watu ambao kwa namna moja au nyingine aliwabeba na kuwapa nafasi ya kuongoza, kujifunza na kupanda kisiasa
Aliziba masikio kelele za watu wengi dhidi ya baadhi yao na hata kukataa ushauri wa watu wa karibu na wataalamu juu ya kuwaweka pembeni, alifikia hatu kusema 'yeye ndio Rais na hapangiwi' ili tu kuendelea kuwabeba
Wengine bila yeye msingeweza kuwa mlipo sasa au kupata nafasi ambazo mlipata na mnaendelea kupata, baadhi walioneka kama 'outsiders' katika chama na serikali na hata wengine kupewa uraia ili tu mpate nafasi ya kumsaidia katika majukumu kama Mawaziri na wengine kutolewa 'Majalalani'
Wapi waliomea kipindi chake cha uongozi lakini cha kushangaza mmeshindwa kwenda kujumuika na familia na wenyeji katika sala na maombi kwa ajili yake.
Wabunge wengi ambao mlishika nafasi za 4 au chini au kuwa wageni kabisa katika chama lakini mkapewa nafasi kiasi hata kuwaacha watoto wake ili kuwapa ninyi. Wakazuia wapinzani mkashinda kiulaini Ubunge.
Nimemuona waziri wa ulinzi na kujenga Taifa Mh Innocent Bashungwa tu ambaye mbali ya kuwa ndio kwanza jana wametoka ziara ya kiserikali huko Afrika Kusini lakini ameweza kuwahi na kushiriki ibada.
Mlikuwa wapi wakina Makonda, Hapi, Mabula, Bashiru, Biteko, Doroth G, Kabudi, Babu Tale, Mwana FA, Shigongo na wengine wengi ambao bila maamuzi na mapenzi yake binafsi msingekuwepo mlipo au kufikia ngazi mlizofika sasa
Hata hiyo familia watajitengaItafika kipindi watabakia familia yake Tu, hii ndiyo dunia Mzee
Umeacha tena kumuombea marehem unamuombea Bashungwa.Mungu mbariki Bashungwa