Nimeshangazwa kutowaona wakina Kabudi, Makonda, Hapi Bashiru na wengine huko Chato. Hongera Waziri Bashungwa

Nimeshangazwa kutowaona wakina Kabudi, Makonda, Hapi Bashiru na wengine huko Chato. Hongera Waziri Bashungwa

Watu hawana shukrani. Mtu kama.Mwana FA hawezi shida uchaguzi wa aina yoyote bila Nguvu ya JPM
Kabisa, Mzee akadiriki kumuweka pembeni DCI wa zamani akamuweka yeye from no where mpaka sasa Waziri
 
Hata wasanii akina Dai na Mtwara wamesusa??

Ndio maana tunasema ukiwa Kiongozi fanya kwa mujibu wa sheria na kanuni usitake kuwafurahisha watu😅😅
Wabunge wa chato wamebaki wakiwa, nguzo muhimu imeanguka. Nilikuwepo wengi wao hawana furaha, 2025 hawatorudi.

Bitteko mjanja keshaaga kundi kijanja 😀
 
😅😅😅
Haya maisha ishi kinafiki utafanikiwa mno, ukishupaza shingo utaumia. Hayari JPM alikuwa ana nguvu pindi yupo hai ila sasa ashakuwa mifupa hivyo ni kuwa mpole na kuendeleza mazuri yake kwa uongozi wa Mama Dkt. Samiah Suluhu Hassan.

All in All ni mwiko kwa mwanamme kususa, hata Hayati atafurahi mno kuona vijana aliowajenga kisiasa wakimuunga mkono Mama Samiah 🇹🇿
 
JPM alizungukwa na wanafiki. Baada ya kifo chake wengi wamegeuka. Lemtuz alikuwa akimuita Makonda Field marshall ila baada ya JPM kuondoka akadai Makonda alikuwa akifanya makosa na kumchana sana. Uchaguzi wa 2020 uliacha makovu kuanzia ndani ya chama hadi nje... kuna watu wako bungeni kwa kubebwa ila kwa sasa hawawezi jitokeza kwasababu roho zinawasuta na huenda wanaogopa.
 
Bila shaka ni watu ambao kwa namna moja au nyingine aliwabeba na kuwapa nafasi ya kuongoza, kujifunza na kupanda kisiasa

Aliziba masikio kelele za watu wengi dhidi ya baadhi yao na hata kukataa ushauri wa watu wa karibu na wataalamu juu ya kuwaweka pembeni, alifikia hatu kusema 'yeye ndio Rais na hapangiwi' ili tu kuendelea kuwabeba

Wengine bila yeye msingeweza kuwa mlipo sasa au kupata nafasi ambazo mlipata na mnaendelea kupata, baadhi walioneka kama 'outsiders' katika chama na serikali na hata wengine kupewa uraia ili tu mpate nafasi ya kumsaidia katika majukumu kama Mawaziri na wengine kutolewa 'Majalalani'

Wapi waliomea kipindi chake cha uongozi lakini cha kushangaza mmeshindwa kwenda kujumuika na familia na wenyeji katika sala na maombi kwa ajili yake.

Wabunge wengi ambao mlishika nafasi za 4 au chini au kuwa wageni kabisa katika chama lakini mkapewa nafasi kiasi hata kuwaacha watoto wake ili kuwapa ninyi. Wakazuia wapinzani mkashinda kiulaini Ubunge.

Nimemuona waziri wa ulinzi na kujenga Taifa Mh Innocent Bashungwa tu ambaye mbali ya kuwa ndio kwanza jana wametoka ziara ya kiserikali huko Afrika Kusini lakini ameweza kuwahi na kushiriki ibada.

Mlikuwa wapi wakina Makonda, Hapi, Mabula, Bashiru, Biteko, Doroth G, Kabudi, Babu Tale, Mwana FA, Shigongo na wengine wengi ambao bila maamuzi na mapenzi yake binafsi msingekuwepo mlipo au kufikia ngazi mlizofika sasa
Hivi kabudo mnamwona yuko sawasawa mzee yule mwenyewe alijiiita takataka
 
Back
Top Bottom