Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,842
- 2,410
Mzee alimpa mwenzake hadhi ya mungu. Eti mheshimiwa mungu......... Ila tuliona mambo.Hivi kabudo mnamwona yuko sawasawa mzee yule mwenyewe alijiiita takataka
Profesa wa hela kanyaboya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee alimpa mwenzake hadhi ya mungu. Eti mheshimiwa mungu......... Ila tuliona mambo.Hivi kabudo mnamwona yuko sawasawa mzee yule mwenyewe alijiiita takataka
Blaza kuna nyakati nikizikumbuka....We jamaa mbona hukuenda Chato? Kwani. ndege hazitui tena pale intaneshno Eapoti?
Sasa mpaka hapo huyo mungu wake itoshe kusema wataonana baadaeAlifanya kusudi
Tuliambiwa wahamiaji haramu, sasa sijui ilikuwa vipi wakaishia ndani ya viroba bahariniBlaza kuna nyakati nikizikumbuka....View attachment 2556013
Inaelekea unatamani wakaonane haraka au sioMzee umenyoosha maneno
Ongeza pia na akina Meja Jenerali Charles Mbuge, Brigedia Jenerali Marco Gaguti, Mambosasa, Musiba, Katambi,Bila shaka ni watu ambao kwa namna moja au nyingine aliwabeba na kuwapa nafasi ya kuongoza, kujifunza na kupanda kisiasa
Aliziba masikio kelele za watu wengi dhidi ya baadhi yao na hata kukataa ushauri wa watu wa karibu na wataalamu juu ya kuwaweka pembeni, alifikia hatu kusema 'yeye ndio Rais na hapangiwi' ili tu kuendelea kuwabeba
Wengine bila yeye msingeweza kuwa mlipo sasa au kupata nafasi ambazo mlipata na mnaendelea kupata, baadhi walioneka kama 'outsiders' katika chama na serikali na hata wengine kupewa uraia ili tu mpate nafasi ya kumsaidia katika majukumu kama Mawaziri na wengine kutolewa 'Majalalani'
Wapi waliomea kipindi chake cha uongozi lakini cha kushangaza mmeshindwa kwenda kujumuika na familia na wenyeji katika sala na maombi kwa ajili yake.
Wabunge wengi ambao mlishika nafasi za 4 au chini au kuwa wageni kabisa katika chama lakini mkapewa nafasi kiasi hata kuwaacha watoto wake ili kuwapa ninyi. Wakazuia wapinzani mkashinda kiulaini Ubunge.
Nimemuona waziri wa ulinzi na kujenga Taifa Mh Innocent Bashungwa tu ambaye mbali ya kuwa ndio kwanza jana wametoka ziara ya kiserikali huko Afrika Kusini lakini ameweza kuwahi na kushiriki ibada.
Mlikuwa wapi wakina Makonda, Hapi, Mabula, Bashiru, Biteko, Doroth G, Kabudi, Babu Tale, Mwana FA, Shigongo na wengine wengi ambao bila maamuzi na mapenzi yake binafsi msingekuwepo mlipo au kufikia ngazi mlizofika sasa
Wahamiaji haramu ndio wafungwe kwenye sandarusi!? Tulipitia kipindi kigumu mnoTuliambiwa wahamiaji haramu, sasa sijui ilikuwa vipi wakaishia ndani ya viroba baharini
Naona list ni ndefuOngeza pia na akina Meja Jenerali Charles Mbuge, Brigedia Jenerali Marco Gaguti, Mambosasa, Musiba, Katambi,
Sawa mkuu kuombeana mabaya hakuna maana maana Mungu anafanya kwa wakatiHapana ndugu, siwezi kutamani hivyo
VIPI WABUNGE walioteuliwa na Magufuli badala ya KUPIGIWA KURA na Wananchi?Bila shaka ni watu ambao kwa namna moja au nyingine aliwabeba na kuwapa nafasi ya kuongoza, kujifunza na kupanda kisiasa
Aliziba masikio kelele za watu wengi dhidi ya baadhi yao na hata kukataa ushauri wa watu wa karibu na wataalamu juu ya kuwaweka pembeni, alifikia hatu kusema 'yeye ndio Rais na hapangiwi' ili tu kuendelea kuwabeba
Wengine bila yeye msingeweza kuwa mlipo sasa au kupata nafasi ambazo mlipata na mnaendelea kupata, baadhi walioneka kama 'outsiders' katika chama na serikali na hata wengine kupewa uraia ili tu mpate nafasi ya kumsaidia katika majukumu kama Mawaziri na wengine kutolewa 'Majalalani'
Wapi waliomea kipindi chake cha uongozi lakini cha kushangaza mmeshindwa kwenda kujumuika na familia na wenyeji katika sala na maombi kwa ajili yake.
Wabunge wengi ambao mlishika nafasi za 4 au chini au kuwa wageni kabisa katika chama lakini mkapewa nafasi kiasi hata kuwaacha watoto wake ili kuwapa ninyi. Wakazuia wapinzani mkashinda kiulaini Ubunge.
Nimemuona waziri wa ulinzi na kujenga Taifa Mh Innocent Bashungwa tu ambaye mbali ya kuwa ndio kwanza jana wametoka ziara ya kiserikali huko Afrika Kusini lakini ameweza kuwahi na kushiriki ibada.
Mlikuwa wapi wakina Makonda, Hapi, Mabula, Bashiru, Biteko, Doroth G, Kabudi, Babu Tale, Mwana FA, Shigongo na wengine wengi ambao bila maamuzi na mapenzi yake binafsi msingekuwepo mlipo au kufikia ngazi mlizofika sasa
Ndio wanaingia kwenye kundi la 'na wengine'VIPI WABUNGE walioteuliwa na Magufuli badala ya KUPIGIWA KURA na Wananchi?
VIPI COVID 19 waliozawadia UBUNGE wa VITI MAALUMU na MAGUFULI?
Vipi waliounga JUHUDI MKONO na KIPEWA Vyeo kina Nassari Katambi MASHINGI Mkumbo ?
Nadhani Bashite kaamua ku keep low profile ili watu wamsahau yasije mkuta ya SabayaSIoni kama ni kweli ni vile kijana hana uungwana, huyu hakutakiwa kuklsa kabisa maana ilifikia kuitwa 'Naibu Rais' , sidhani kama wanaotaka kumshtaki kama ndivyo anaogopa hawajui yuko wapi