Nimeshangazwa kutowaona wakina Kabudi, Makonda, Hapi Bashiru na wengine huko Chato. Hongera Waziri Bashungwa

Nimeshangazwa kutowaona wakina Kabudi, Makonda, Hapi Bashiru na wengine huko Chato. Hongera Waziri Bashungwa

We jamaa mbona hukuenda Chato? Kwani. ndege hazitui tena pale intaneshno Eapoti?
Blaza kuna nyakati nikizikumbuka....
FB_IMG_1679108142176.jpg
 
Huenda wanatetea vibarua na wanataka kuishi kwa amani maana walivyosakamwa baada ya Jiwe kupumzika, sio mchezo!

Ila heshima ya kipekee kwa Bashungwa! Najua kajifunza mengi mazuri na kakemea mengi mabaya ila heshima ipo pale pale.
 
Bila shaka ni watu ambao kwa namna moja au nyingine aliwabeba na kuwapa nafasi ya kuongoza, kujifunza na kupanda kisiasa

Aliziba masikio kelele za watu wengi dhidi ya baadhi yao na hata kukataa ushauri wa watu wa karibu na wataalamu juu ya kuwaweka pembeni, alifikia hatu kusema 'yeye ndio Rais na hapangiwi' ili tu kuendelea kuwabeba

Wengine bila yeye msingeweza kuwa mlipo sasa au kupata nafasi ambazo mlipata na mnaendelea kupata, baadhi walioneka kama 'outsiders' katika chama na serikali na hata wengine kupewa uraia ili tu mpate nafasi ya kumsaidia katika majukumu kama Mawaziri na wengine kutolewa 'Majalalani'

Wapi waliomea kipindi chake cha uongozi lakini cha kushangaza mmeshindwa kwenda kujumuika na familia na wenyeji katika sala na maombi kwa ajili yake.

Wabunge wengi ambao mlishika nafasi za 4 au chini au kuwa wageni kabisa katika chama lakini mkapewa nafasi kiasi hata kuwaacha watoto wake ili kuwapa ninyi. Wakazuia wapinzani mkashinda kiulaini Ubunge.

Nimemuona waziri wa ulinzi na kujenga Taifa Mh Innocent Bashungwa tu ambaye mbali ya kuwa ndio kwanza jana wametoka ziara ya kiserikali huko Afrika Kusini lakini ameweza kuwahi na kushiriki ibada.

Mlikuwa wapi wakina Makonda, Hapi, Mabula, Bashiru, Biteko, Doroth G, Kabudi, Babu Tale, Mwana FA, Shigongo na wengine wengi ambao bila maamuzi na mapenzi yake binafsi msingekuwepo mlipo au kufikia ngazi mlizofika sasa
Ongeza pia na akina Meja Jenerali Charles Mbuge, Brigedia Jenerali Marco Gaguti, Mambosasa, Musiba, Katambi,
 
Bila shaka ni watu ambao kwa namna moja au nyingine aliwabeba na kuwapa nafasi ya kuongoza, kujifunza na kupanda kisiasa

Aliziba masikio kelele za watu wengi dhidi ya baadhi yao na hata kukataa ushauri wa watu wa karibu na wataalamu juu ya kuwaweka pembeni, alifikia hatu kusema 'yeye ndio Rais na hapangiwi' ili tu kuendelea kuwabeba

Wengine bila yeye msingeweza kuwa mlipo sasa au kupata nafasi ambazo mlipata na mnaendelea kupata, baadhi walioneka kama 'outsiders' katika chama na serikali na hata wengine kupewa uraia ili tu mpate nafasi ya kumsaidia katika majukumu kama Mawaziri na wengine kutolewa 'Majalalani'

Wapi waliomea kipindi chake cha uongozi lakini cha kushangaza mmeshindwa kwenda kujumuika na familia na wenyeji katika sala na maombi kwa ajili yake.

Wabunge wengi ambao mlishika nafasi za 4 au chini au kuwa wageni kabisa katika chama lakini mkapewa nafasi kiasi hata kuwaacha watoto wake ili kuwapa ninyi. Wakazuia wapinzani mkashinda kiulaini Ubunge.

Nimemuona waziri wa ulinzi na kujenga Taifa Mh Innocent Bashungwa tu ambaye mbali ya kuwa ndio kwanza jana wametoka ziara ya kiserikali huko Afrika Kusini lakini ameweza kuwahi na kushiriki ibada.

Mlikuwa wapi wakina Makonda, Hapi, Mabula, Bashiru, Biteko, Doroth G, Kabudi, Babu Tale, Mwana FA, Shigongo na wengine wengi ambao bila maamuzi na mapenzi yake binafsi msingekuwepo mlipo au kufikia ngazi mlizofika sasa
VIPI WABUNGE walioteuliwa na Magufuli badala ya KUPIGIWA KURA na Wananchi?
VIPI COVID 19 waliozawadia UBUNGE wa VITI MAALUMU na MAGUFULI?
Vipi waliounga JUHUDI MKONO na KIPEWA Vyeo kina Nassari Katambi MASHINGI Mkumbo ?
 
VIPI WABUNGE walioteuliwa na Magufuli badala ya KUPIGIWA KURA na Wananchi?
VIPI COVID 19 waliozawadia UBUNGE wa VITI MAALUMU na MAGUFULI?
Vipi waliounga JUHUDI MKONO na KIPEWA Vyeo kina Nassari Katambi MASHINGI Mkumbo ?
Ndio wanaingia kwenye kundi la 'na wengine'
 
SIoni kama ni kweli ni vile kijana hana uungwana, huyu hakutakiwa kuklsa kabisa maana ilifikia kuitwa 'Naibu Rais' , sidhani kama wanaotaka kumshtaki kama ndivyo anaogopa hawajui yuko wapi
Nadhani Bashite kaamua ku keep low profile ili watu wamsahau yasije mkuta ya Sabaya
 
Back
Top Bottom