mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Bashungwanae katumwa soon hatafamilia yake hautaendaMungu mbariki Bashungwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bashungwanae katumwa soon hatafamilia yake hautaendaMungu mbariki Bashungwa
Mbona Mkapa hajakumbukwaBila shaka ni watu ambao kwa namna moja au nyingine aliwabeba na kuwapa nafasi ya kuongoza, kujifunza na kupanda kisiasa
Aliziba masikio kelele za watu wengi dhidi ya baadhi yao na hata kukataa ushauri wa watu wa karibu na wataalamu juu ya kuwaweka pembeni, alifikia hatu kusema 'yeye ndio Rais na hapangiwi' ili tu kuendelea kuwabeba
Wengine bila yeye msingeweza kuwa mlipo sasa au kupata nafasi ambazo mlipata na mnaendelea kupata, baadhi walioneka kama 'outsiders' katika chama na serikali na hata wengine kupewa uraia ili tu mpate nafasi ya kumsaidia katika majukumu kama Mawaziri na wengine kutolewa 'Majalalani'
Wapi waliomea kipindi chake cha uongozi lakini cha kushangaza mmeshindwa kwenda kujumuika na familia na wenyeji katika sala na maombi kwa ajili yake.
Wabunge wengi ambao mlishika nafasi za 4 au chini au kuwa wageni kabisa katika chama lakini mkapewa nafasi kiasi hata kuwaacha watoto wake ili kuwapa ninyi. Wakazuia wapinzani mkashinda kiulaini Ubunge.
Nimemuona waziri wa ulinzi na kujenga Taifa Mh Innocent Bashungwa tu ambaye mbali ya kuwa ndio kwanza jana wametoka ziara ya kiserikali huko Afrika Kusini lakini ameweza kuwahi na kushiriki ibada.
Mlikuwa wapi wakina Makonda, Hapi, Mabula, Bashiru, Biteko, Doroth G, Kabudi, Babu Tale, Mwana FA, Shigongo na wengine wengi ambao bila maamuzi na mapenzi yakw binafsi msingekuwepo mlipo au kufikia ngazi mlizofika sasa
Ndugai,Gwajima,Bashiru Ally,Makonda,,Nape Nnauye aliyeenda kuomba msamaha na mijasho kibao, Wabunge waliongizwa kwa mchakachuo kibao,waliobebwa teuzi akina Mtaka ambao hata vetting ziligoma nk bila sifa za uongozi na kupewa post kibao,wapinzani waliobebwa na magufuli kupewa vyeo wakuwemo akina Dr Slaa ,nk wameingia mitini utafikiri walikuwa hawamjui.hata jina Magufuli ni nani walivyo wanafiki wakubwa List ndefu anyway itatumika mbele ya safariMungu mbariki Bashungwa
Tenda wema uede zako.Bila shaka ni watu ambao kwa namna moja au nyingine aliwabeba na kuwapa nafasi ya kuongoza, kujifunza na kupanda kisiasa
Aliziba masikio kelele za watu wengi dhidi ya baadhi yao na hata kukataa ushauri wa watu wa karibu na wataalamu juu ya kuwaweka pembeni, alifikia hatu kusema 'yeye ndio Rais na hapangiwi' ili tu kuendelea kuwabeba
Wengine bila yeye msingeweza kuwa mlipo sasa au kupata nafasi ambazo mlipata na mnaendelea kupata, baadhi walioneka kama 'outsiders' katika chama na serikali na hata wengine kupewa uraia ili tu mpate nafasi ya kumsaidia katika majukumu kama Mawaziri na wengine kutolewa 'Majalalani'
Wapi waliomea kipindi chake cha uongozi lakini cha kushangaza mmeshindwa kwenda kujumuika na familia na wenyeji katika sala na maombi kwa ajili yake.
Wabunge wengi ambao mlishika nafasi za 4 au chini au kuwa wageni kabisa katika chama lakini mkapewa nafasi kiasi hata kuwaacha watoto wake ili kuwapa ninyi. Wakazuia wapinzani mkashinda kiulaini Ubunge.
Nimemuona waziri wa ulinzi na kujenga Taifa Mh Innocent Bashungwa tu ambaye mbali ya kuwa ndio kwanza jana wametoka ziara ya kiserikali huko Afrika Kusini lakini ameweza kuwahi na kushiriki ibada.
Mlikuwa wapi wakina Makonda, Hapi, Mabula, Bashiru, Biteko, Doroth G, Kabudi, Babu Tale, Mwana FA, Shigongo na wengine wengi ambao bila maamuzi na mapenzi yakw binafsi msingekuwepo mlipo au kufikia ngazi mlizofika sasa
Umeongea kwa maskitiko sana.Ndugai,Gwajima,Bashiru Ally,Makonda,,Nape Nnauye aliyeenda kuomba msamaha na mijasho kibao, Wabunge waliongizwa kwa mchakachuo kibao,waliobebwa teuzi akina Mtaka ambao hata vetting ziligoma nk bila sifa za uongozi na kupewa post kibao,wapinzani waliobebwa na magufuli kupewa vyeo wakuwemo akina Dr Slaa ,nk wameingia mitini utafikiri walikuwa hawamjui.hata jina Magufuli ni nani walivyo wanafiki wakubwa List ndefu anyway itatumika mbele ya safari
Kisa wanaangalia matumbo yao tu na fursa
Watu hawana shukrani. Mtu kama.Mwana FA hawezi shida uchaguzi wa aina yoyote bila Nguvu ya JPMNa hakuna hata 1 aliyefika. Wakina Babu Tale wakawa hadi wabunge
Mbona tayari.Itafika kipindi watabakia familia yake Tu, hii ndiyo dunia Mzee
Huo ndiyo ukweliUmeongea kwa maskitiko sana.
Jpm watu hawakumpenda bali walimwogopa.
Nadhani sasa mmeelewa
Hata wasanii akina Dai na Mtwara wamesusa??Binadamu ni wanafiki mno
Kwa hiyo Raisi Mama Samia ni mtani wenu kwa hiyo hamumuogopi kwa lolote?Umeongea kwa maskitiko sana.
Jpm watu hawakumpenda bali walimwogopa.
Nadhani sasa mmeelewa
Hat wewe hujaendaMungu mbariki Bashungwa
Mbwa hutumwa na mwenye mbwaAlitumwa na nani?
Tuna mheshimu na kumpenda.Kwa hiyo Raisi Mama Samia ni mtani wenu kwa hiyo hamumuogopi kwa lolote?
PichaaBila shaka ni watu ambao kwa namna moja au nyingine aliwabeba na kuwapa nafasi ya kuongoza, kujifunza na kupanda kisiasa
Aliziba masikio kelele za watu wengi dhidi ya baadhi yao na hata kukataa ushauri wa watu wa karibu na wataalamu juu ya kuwaweka pembeni, alifikia hatu kusema 'yeye ndio Rais na hapangiwi' ili tu kuendelea kuwabeba
Wengine bila yeye msingeweza kuwa mlipo sasa au kupata nafasi ambazo mlipata na mnaendelea kupata, baadhi walioneka kama 'outsiders' katika chama na serikali na hata wengine kupewa uraia ili tu mpate nafasi ya kumsaidia katika majukumu kama Mawaziri na wengine kutolewa 'Majalalani'
Wapi waliomea kipindi chake cha uongozi lakini cha kushangaza mmeshindwa kwenda kujumuika na familia na wenyeji katika sala na maombi kwa ajili yake.
Wabunge wengi ambao mlishika nafasi za 4 au chini au kuwa wageni kabisa katika chama lakini mkapewa nafasi kiasi hata kuwaacha watoto wake ili kuwapa ninyi. Wakazuia wapinzani mkashinda kiulaini Ubunge.
Nimemuona waziri wa ulinzi na kujenga Taifa Mh Innocent Bashungwa tu ambaye mbali ya kuwa ndio kwanza jana wametoka ziara ya kiserikali huko Afrika Kusini lakini ameweza kuwahi na kushiriki ibada.
Mlikuwa wapi wakina Makonda, Hapi, Mabula, Bashiru, Biteko, Doroth G, Kabudi, Babu Tale, Mwana FA, Shigongo na wengine wengi ambao bila maamuzi na mapenzi yakw binafsi msingekuwepo mlipo au kufikia ngazi mlizofika sasa
Hamumuogopi kwa yeye kuwa Amiri jeshi wa majeshi yote? Wanajeshi wanamuogopa kwa cheo cha Amiri Jeshi nyie hamumuogopi ? Ni mtani wenu?Tuna mheshimu na kumpenda.
Mtu unawaponda wasomi na kuwaona wote wezi!! Unategemea mtu kama Generali Ulimwengu ataandaa kigoda Cha wasomi kumwelezea nini huyu baba!? By the way alidhalilisha sana utu WA watuItafika kipindi watabakia familia yake Tu, hii ndiyo dunia Mzee